Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
Zamani wakati nakua niliambiwa Wanawake kutoka kanda ya ziwa Ndiyo Wanawake wenye heshima kwa Hii Tanzania hususani kabila la Fulani Fulani la hayati kumbe bwana sio nilikuwa najidanganya tu.Hili kabila la former mkuu wa majeshi Wanawake zao ni jeuri na wana hasira Za kufa mtu aisee
Kwanza Nakiri kwenye mahari walinipiga Maana niliambiwa nitoe milioni 5 na kweli bwana nikatoa nikahisi yaliyomo yamo? Basi bwana Aaaah mwanamke kisirani mwanamke jeuri, na kila Aina ya Ujinga Ujinga anao aisee hawa wanyantuzu sio kabisa
Hawa wanyantuzu kwenye Mali sio kabisa Wakuu wanaweza kukufanya chochote kwa ajili ya Mali tu hata kukuua imradi wapate Mali tu! Najuta najuta
Kwanza Nakiri kwenye mahari walinipiga Maana niliambiwa nitoe milioni 5 na kweli bwana nikatoa nikahisi yaliyomo yamo? Basi bwana Aaaah mwanamke kisirani mwanamke jeuri, na kila Aina ya Ujinga Ujinga anao aisee hawa wanyantuzu sio kabisa
Hawa wanyantuzu kwenye Mali sio kabisa Wakuu wanaweza kukufanya chochote kwa ajili ya Mali tu hata kukuua imradi wapate Mali tu! Najuta najuta