Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndioo ulipokosea mkuu,usioe au kuolewa ukitegemea mtu atabadilika.Oa au olewa kama mapungufu aliyonayo yanavumilika.Nilihisi angebadilika kwenye ndoa mkuu
Shukuru pesa za ccm usingejidai kutoa 5M kwa mtu ambaye wengine walikula bure bila hata mia wakazagamua kama wanachimba dhahabu.Zamani wakati nakua niliambiwa Wanawake kutoka kanda ya ziwa Ndiyo Wanawake wenye heshima kwa Hii Tanzania hususani kabila la Fulani Fulani la hayati kumbe bwana sio nilikuwa najidanganya tu.Hili kabila la former mkuu wa majeshi Wanawake zao ni jeuri na wana hasira Za kufa mtu aisee
Kwanza Nakiri kwenye mahari walinipiga Maana niliambiwa nitoe milioni 5 na kweli bwana nikatoa nikahisi yaliyomo yamo? Basi bwana Aaaah mwanamke kisirani mwanamke jeuri, na kila Aina ya Ujinga Ujinga anao aisee hawa wanyantuzu sio kabisa
Hawa wanyantuzu kwenye Mali sio kabisa Wakuu wanaweza kukufanya chochote kwa ajili ya Mali tu hata kukuua imradi wapate Mali tu! Najuta najuta
Mnawaonea hao hao Mapunda😂😂😂Ulim'bembeleza halafu akaendelea kununa? Akinuna m'bembeleze
Mwanaume asiyejua kubembeleza❌
🚴🚴🚴🚴🚴🚴Yani mkiwazungumzia hivyo wachagga moyo wangu unaishiwa nguvu kabisa, mchumba wangu ni mchagga.
Njoo nikubembelezeMimi huwa sijifanyishi, mimi ni mtoto🤸