min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Ila mnaodeka wazuri mno , ila huyo anaye fanya kisirani ili umdekeze huwa wanakera mda mwingne.Mimi huwa sijifanyishi, mimi ni mtoto🤸
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila mnaodeka wazuri mno , ila huyo anaye fanya kisirani ili umdekeze huwa wanakera mda mwingne.Mimi huwa sijifanyishi, mimi ni mtoto🤸
Jidanganyeeeeee!"Ubongo UTAKUPA BINTI WA KIKE, Akili ITAMBADILISHA huyo BINTI kua MKE MWEMA"
MKE 👉 jinsia ya kike iliyopevuka Akili
Kuna tofauti kati ya kupevuka mwili na akili
Tatizo ni wewe muoaji huyo MWANAMKE hana kosa lolote wala kasoro yoyote kwasababu umeona Mwanamke badala ya kuoa MKE 😁
Kama ni story ya Kweli Kaa chini Jitathmini hujachelewa anza KUMBADILISHA uyo Mwanamke kua MKE na sio rahisi kuna gharama kubwa Sana na inahitaji HEKIMA na AKILI otherwise atakuwekea hata sumu ufilie mbali
Mwanamke wa kichagga au kipare sijuwi, labda huyo wako ni msukule tu.Hakuna kitu rahisi kama kuishi na mwanamke wa kichaga , wewe fanya majukumu yako tu , akipig kelele zake potezea ,usimlazimishe akutengee chakula akiweka sawa asipo weka sawa ishi bila kumzingatia sana mtafika miaka 100 ya ndoa yenu .
😁Mwanamke wa kichagga au kipare
Utakuta mwingine anajifanya kashukiwa na Allah na kupewa majini, basi hao majini bwana, eheeeeee😀😱.....watakuendesha mpaka utajuta. Wakisikia tu majirani wanapika pilau au kuchoma nyama utaona na yeye Maimuna anapandisha mashetani akidai sinia nzima ya biryani iliyoshehena kuku wa kienyeji na anatakiwa ale peke yake chumbani huku akivunja mifupa. Maimuna akisikia tena harufu ya mishikaki toka kwa majirani au wapangaji wenzake hivyo hivyo atataka anunuliwe mbuzi nusu alie chumbani bila kutizamwa wala kusumbuliwa na mumewe au wanawe. Kosa tu aone shoga yake kavaa cheni ya dhahabu, atapandisha majini ya Allah ili anunuliwe cheni na hereni za Tanzanite. Kuna wanawake wengine si wa kuoa kabisa, ni majini watu....full vituko.Ila mnaodeka wazuri mno , ila huyo anaye fanya kisirani ili umdekeze huwa wanakera mda mwingne.
Kosa kubwa la kifundi ulilofanya..kweny uchumba kama uliona dalili..kwenye ndoa ndo mvua itanyesha +radio na mawe ya kutoshaNilihisi angebadilika kwenye ndoa mkuu
Nyie Vijana wa kileo nyieee. Sehemu ya kutumia makofi mazito mazito unataka kutumia akili na mashauriano.Zamani wakati nakua niliambiwa Wanawake kutoka kanda ya ziwa Ndiyo Wanawake wenye heshima kwa Hii Tanzania hususani kabila la Fulani Fulani la hayati kumbe bwana sio nilikuwa najidanganya tu.Hili kabila la former mkuu wa majeshi Wanawake zao ni jeuri na wana hasira Za kufa mtu aisee
Kwanza Nakiri kwenye mahari walinipiga Maana niliambiwa nitoe milioni 5 na kweli bwana nikatoa nikahisi yaliyomo yamo? Basi bwana Aaaah mwanamke kisirani mwanamke jeuri, na kila Aina ya Ujinga Ujinga anao aisee hawa wanyantuzu sio kabisa
Hawa wanyantuzu kwenye Mali sio kabisa Wakuu wanaweza kukufanya chochote kwa ajili ya Mali tu hata kukuua imradi wapate Mali tu! Najuta najuta
Jidanganyeeeeee!
Yani mkiwazungumzia hivyo wachagga moyo wangu unaishiwa nguvu kabisa, mchumba wangu ni mchagga.Hakuna kitu rahisi kama kuishi na mwanamke wa kichaga , wewe fanya majukumu yako tu , akipig kelele zake potezea ,usimlazimishe akutengee chakula akiweka sawa asipo weka sawa ishi bila kumzingatia sana mtafika miaka 100 ya ndoa yenu .
Wanyantuzu wenzangu oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!Zamani wakati nakua niliambiwa Wanawake kutoka kanda ya ziwa Ndiyo Wanawake wenye heshima kwa Hii Tanzania hususani kabila la Fulani Fulani la hayati kumbe bwana sio nilikuwa najidanganya tu.Hili kabila la former mkuu wa majeshi Wanawake zao ni jeuri na wana hasira Za kufa mtu aisee
Kwanza Nakiri kwenye mahari walinipiga Maana niliambiwa nitoe milioni 5 na kweli bwana nikatoa nikahisi yaliyomo yamo? Basi bwana Aaaah mwanamke kisirani mwanamke jeuri, na kila Aina ya Ujinga Ujinga anao aisee hawa wanyantuzu sio kabisa
Hawa wanyantuzu kwenye Mali sio kabisa Wakuu wanaweza kukufanya chochote kwa ajili ya Mali tu hata kukuua imradi wapate Mali tu! Najuta najuta
Hizo ni story tu mkuu wala hawana shida kabisaYani mkiwazungumzia hivyo wachagga moyo wangu unaishiwa nguvu kabisa, mchumba wangu ni mchagga.
Mkuu huu ujumbe umejaa unafiki sana, we nichane ukweli tuu.Hizo ni story tu mkuu wala hawana shida kabisa
Pesa haijawai kuwa shida aiseeHela ulioibiwa na dada poa Moro uliipata? Au umeamua tu kusamehe?
Shida ni huyo mnyantuzu tu kazi kukuzaba makofi daily, pole shemegi....akizidi, siku moja toroka mwaya atakuua.Kwangu
Pesa haijawai kuwa shida aisee
Hahaha..Hela ulioibiwa na dada poa Moro uliipata? Au umeamua tu kusamehe?
Jamaa ana id kama tatu za kuletea visa 🤣🤣🤣 halafu utakuta kuna watu wapo vere siriaz kutoa ushauri wa maana.hivi nimtu mmoja?! jamaa anapitia majaribu sana sema atayashinda