Najuta kuoa huyu mwanamke! Kununua, kususa na ujeuri juu

Najuta kuoa huyu mwanamke! Kununua, kususa na ujeuri juu

"Ubongo UTAKUPA BINTI WA KIKE, Akili ITAMBADILISHA huyo BINTI kua MKE MWEMA"


MKE 👉 jinsia ya kike iliyopevuka Akili


Kuna tofauti kati ya kupevuka mwili na akili


Tatizo ni wewe muoaji huyo MWANAMKE hana kosa lolote wala kasoro yoyote kwasababu umeona Mwanamke badala ya kuoa MKE 😁


Kama ni story ya Kweli Kaa chini Jitathmini hujachelewa anza KUMBADILISHA uyo Mwanamke kua MKE na sio rahisi kuna gharama kubwa Sana na inahitaji HEKIMA na AKILI otherwise atakuwekea hata sumu ufilie mbali
Jidanganyeeeeee!
 
Hakuna kitu rahisi kama kuishi na mwanamke wa kichaga , wewe fanya majukumu yako tu , akipig kelele zake potezea ,usimlazimishe akutengee chakula akiweka sawa asipo weka sawa ishi bila kumzingatia sana mtafika miaka 100 ya ndoa yenu .
Mwanamke wa kichagga au kipare sijuwi, labda huyo wako ni msukule tu.
 
Ila mnaodeka wazuri mno , ila huyo anaye fanya kisirani ili umdekeze huwa wanakera mda mwingne.
Utakuta mwingine anajifanya kashukiwa na Allah na kupewa majini, basi hao majini bwana, eheeeeee😀😱.....watakuendesha mpaka utajuta. Wakisikia tu majirani wanapika pilau au kuchoma nyama utaona na yeye Maimuna anapandisha mashetani akidai sinia nzima ya biryani iliyoshehena kuku wa kienyeji na anatakiwa ale peke yake chumbani huku akivunja mifupa. Maimuna akisikia tena harufu ya mishikaki toka kwa majirani au wapangaji wenzake hivyo hivyo atataka anunuliwe mbuzi nusu alie chumbani bila kutizamwa wala kusumbuliwa na mumewe au wanawe. Kosa tu aone shoga yake kavaa cheni ya dhahabu, atapandisha majini ya Allah ili anunuliwe cheni na hereni za Tanzanite. Kuna wanawake wengine si wa kuoa kabisa, ni majini watu....full vituko.
 
Zamani wakati nakua niliambiwa Wanawake kutoka kanda ya ziwa Ndiyo Wanawake wenye heshima kwa Hii Tanzania hususani kabila la Fulani Fulani la hayati kumbe bwana sio nilikuwa najidanganya tu.Hili kabila la former mkuu wa majeshi Wanawake zao ni jeuri na wana hasira Za kufa mtu aisee

Kwanza Nakiri kwenye mahari walinipiga Maana niliambiwa nitoe milioni 5 na kweli bwana nikatoa nikahisi yaliyomo yamo? Basi bwana Aaaah mwanamke kisirani mwanamke jeuri, na kila Aina ya Ujinga Ujinga anao aisee hawa wanyantuzu sio kabisa

Hawa wanyantuzu kwenye Mali sio kabisa Wakuu wanaweza kukufanya chochote kwa ajili ya Mali tu hata kukuua imradi wapate Mali tu! Najuta najuta
Nyie Vijana wa kileo nyieee. Sehemu ya kutumia makofi mazito mazito unataka kutumia akili na mashauriano.
Kaza sauti mkoromee mara kadhaa kama alert after there ataona vinyota nyota believe me ukimtoa lock mara moja au mbili atanyooka kama rula.
 
Hakuna kitu rahisi kama kuishi na mwanamke wa kichaga , wewe fanya majukumu yako tu , akipig kelele zake potezea ,usimlazimishe akutengee chakula akiweka sawa asipo weka sawa ishi bila kumzingatia sana mtafika miaka 100 ya ndoa yenu .
Yani mkiwazungumzia hivyo wachagga moyo wangu unaishiwa nguvu kabisa, mchumba wangu ni mchagga.
 
Zamani wakati nakua niliambiwa Wanawake kutoka kanda ya ziwa Ndiyo Wanawake wenye heshima kwa Hii Tanzania hususani kabila la Fulani Fulani la hayati kumbe bwana sio nilikuwa najidanganya tu.Hili kabila la former mkuu wa majeshi Wanawake zao ni jeuri na wana hasira Za kufa mtu aisee

Kwanza Nakiri kwenye mahari walinipiga Maana niliambiwa nitoe milioni 5 na kweli bwana nikatoa nikahisi yaliyomo yamo? Basi bwana Aaaah mwanamke kisirani mwanamke jeuri, na kila Aina ya Ujinga Ujinga anao aisee hawa wanyantuzu sio kabisa

Hawa wanyantuzu kwenye Mali sio kabisa Wakuu wanaweza kukufanya chochote kwa ajili ya Mali tu hata kukuua imradi wapate Mali tu! Najuta najuta
Wanyantuzu wenzangu oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
Piga huyo ndo mtaelewana lugha.
We unaleta mapenzi mapenzi mwenzio mapenzi kwake ni ngumi.
 
hivi nimtu mmoja?! jamaa anapitia majaribu sana sema atayashinda
Jamaa ana id kama tatu za kuletea visa 🤣🤣🤣 halafu utakuta kuna watu wapo vere siriaz kutoa ushauri wa maana.

Kuna hii ya kuteseka na ndoa, kuna ile ya mkulima ana mil 40 akatapeliwa na dada poa moro, kuna nyingine nesi anazalisha na anakula wagonjwa 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom