Najuta kuoa mwanamke kutoka Kanda ya Kaskazini

Najuta kuoa mwanamke kutoka Kanda ya Kaskazini

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Sina haja ya kuwasilimia hata kidogo

Aisee hawa maduu kutoka Kanda ya kaskazini sio poa kabisa nusura nipigwe kipapai kwa maana niuliwe kisa mali aisee nyie wabara mnawezaje kuishi nao hilo kabila? Sio poa kabisa.

Yaani ni hivi Kuna duuu mmoja nilikutana nae pale old Moshi tukabadilisha contact, tumesiliana kama wiki mbili hivi ndipo nikaomba shoo nikapiga baada ya hapo nikaenda kutambulishwa ili niende kuoa kumbe yule binti na wazazi wake ni wachaga aisee ila nikaona kujitoa ni udhaifu nikapambana nikamuweka ndani.

Baada ya kumuweka ndani kilichonitokea siwezi kusahau kwanza picha imeanza nimewekea sumu kwenye chakula aisee siwezi endelea maana hapa nilipo nalia tu siwezi endelea hata kidogo.

Wachaga mungu anawaona acheni roho ya hivyo Kuna maisha baada ya kifo hizi mali zinapita tu 😢 😭 😿 😢 😭😢 😭 😿 😢 😭 😿 😢 😭 😿
 
Wanawake wa kaskazini wengi wamelelewa ktk mifumo dume unahitaji akili na nguvu sana, Nadhani wewe ndio umeolewa hapo hao wanaitwaga mamanzi sio wale wa vijora vya rangi ya chuichui, siku hizi wasukuma wanawaoa sana wachagga kuna vitabia vinaendana.
 
Sina haja ya kuwasilimia hata kidogo aisee hawa maduu kutoka Kanda ya kaskazini sio poa kabisa nusura nipigwe kipapai kwa maana niuliwe kisa mali aisee nyie wabara mnawezaje kuishi nao hilo kabila?sio poa kabisa.

Yaani ni hivi Kuna duuu mmoja nilikutana nae pale old moshi tukabadilisha contact,tumesiliana kama wiki mbili hivi ndipo nikaomba shoo nikapiga baada ya hapo nikaenda kutambulishwa ili niende kuoa kumbe yule binti na wazazi wake ni wachaga aisee ila nikaona kujitoa ni udhaifu nikapambana nikamuweka ndani.

Baada ya kumuweka ndani kilichonitokea siwezi kusahau kwanza picha imeanza nimewekea sumu kwene chakula aisee siwezi endelea maana hapa nilipo nalia tu siwezi endelea hata kidogo.

Wachaga mungu anawaona acheni roho ya hivyo Kuna maisha baada ya kifo hizi mali zinapita tu [emoji22] [emoji24] [emoji80] [emoji22] [emoji24]

[emoji22] [emoji24] [emoji80] [emoji22] [emoji24] [emoji80] [emoji22] [emoji24] [emoji80]
Sasa wewe wakati unaenda ulikua husomi JF. Nyie ndio mnao puuzia nyuzi za watu, na kusema ukabila, ungekunywa hiyo sumu, ndio ujifunze kwamba JF ina watu wengi wenye uzoefu mbalimbali na ni ukweli mtupu.
 
wanawake wa kaskazini wengi wamelelewa ktk mifumo dume unahitaji akili na nguvu sana, Nadhani wewe ndo umeolewa hapo hao wanaitwaga mamanzi sio wale wa vijora vya rangi ya chuichui, siku hizi wasukuma wanawaoa sana wachagga kuna vitabia vinaendana.
Ubabe
 
Back
Top Bottom