wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Mimi mwenyewe nimeoa huko, unayosema ni kweli mtupu
Kwa hiyo umekushakufa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mwenyewe nimeoa huko, unayosema ni kweli mtupu
Wewe umetokea Nyasa wamarangu na warombo umewaonea Dar. Sisi tumeoa huko na tunakaa nao.Wamarangu hawana dharau, Bali wamekwenda shule, inferiority complex ndio inakufanya unaona wana dharau.
Umezoea kukutana na Warombo waliojaa majikoni kuchoma nyama.
Sio wachaga wote wako ivyoooo ....mm ni mchaga tena wamarangu mbona siko hivyo. Lakin wamachame nawarombo mmmhhh sijuiSina haja ya kuwasilimia hata kidogo aisee hawa maduu kutoka Kanda ya kaskazini sio poa kabisa nusura nipigwe kipapai kwa maana niuliwe kisa mali aisee nyie wabara mnawezaje kuishi nao hilo kabila?sio poa kabisa.
Yaani ni hivi Kuna duuu mmoja nilikutana nae pale old moshi tukabadilisha contact,tumesiliana kama wiki mbili hivi ndipo nikaomba shoo nikapiga baada ya hapo nikaenda kutambulishwa ili niende kuoa kumbe yule binti na wazazi wake ni wachaga aisee ila nikaona kujitoa ni udhaifu nikapambana nikamuweka ndani.
Baada ya kumuweka ndani kilichonitokea siwezi kusahau kwanza picha imeanza nimewekea sumu kwene chakula aisee siwezi endelea maana hapa nilipo nalia tu siwezi endelea hata kidogo.
Wachaga mungu anawaona acheni roho ya hivyo Kuna maisha baada ya kifo hizi mali zinapita tu 😢 😭 😿 😢 😭
😢 😭 😿 😢 😭 😿 😢 😭 😿
Ilikuwaje mkuu yakwako.Mimi mwenyewe nimeoa huko, unayosema ni kweli mtupu
Irine nnNimekaa kwenye mahusiano na wadada wa kichaga zaidi ya watatu. Walakh nawaambia mkisikia siku nimeoa mchaga mjue nimelogwa. Yani HAWAFAI hata kwa kujaribu. HAPANA
Kwani haya majina na Uchaga yana shabianaIrine nn