IFRS
JF-Expert Member
- Dec 19, 2014
- 2,915
- 5,233
Kaka achana na wamachame, mimi nimeishi moshi, wanaume wachaga wanaotoka maeneo mengine pele moshi wanaogopa hata kudate na mmachame, sio kuoa kudate tu wanaogopaMwanaume ukitaka mafanikio basi owa mchaga achana na hizi ngonjera.
Tena hata hadithi za wachaga wa machame ni wale wa zamani ndio wana kashfa ya kuuwa waume zao lakini hiki kizazi jipya kipo tofauti sana.
Msipende kuowa wanawake akili bongo lala.