Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Wameona wengi sana hao wataniNi nadra kuona mchaga na mpare kuoana? Una uhakika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameona wengi sana hao wataniNi nadra kuona mchaga na mpare kuoana? Una uhakika?
😂😂😂😂😂😂Mkuu tulia kwanza au sumu ndo inafanya kazi taratibu
Kunywa maji kaa kivulini relax halafu utuambie yaliyokukuta. Hatuwezi kukuelewa kwa mhemko ulionaoSina haja ya kuwasilimia hata kidogo aisee hawa maduu kutoka Kanda ya kaskazini sio poa kabisa nusura nipigwe kipapai kwa maana niuliwe kisa mali aisee nyie wabara mnawezaje kuishi nao hilo kabila?sio poa kabisa.
Yaani ni hivi Kuna duuu mmoja nilikutana nae pale old moshi tukabadilisha contact,tumesiliana kama wiki mbili hivi ndipo nikaomba shoo nikapiga baada ya hapo nikaenda kutambulishwa ili niende kuoa kumbe yule binti na wazazi wake ni wachaga aisee ila nikaona kujitoa ni udhaifu nikapambana nikamuweka ndani.
Baada ya kumuweka ndani kilichonitokea siwezi kusahau kwanza picha imeanza nimewekea sumu kwene chakula aisee siwezi endelea maana hapa nilipo nalia tu siwezi endelea hata kidogo.
Wachaga mungu anawaona acheni roho ya hivyo Kuna maisha baada ya kifo hizi mali zinapita tu 😢 😭 😿 😢 😭
😢 😭 😿 😢 😭 😿 😢 😭 😿
Wakati sumu haionjwi,kajuwaje kua ni sumu!? Utaweza kuta kawekewa iliki au abdalasini kwa chai yeye asema ni sumu!!Umejuaje kuwa umewekewa sumu???
Kwani wwe unajua Wachaga wanauwa kuanzia Mali ya kiasi gani hadi unazarau malalamiko ya mwenzio kisa Mali zake chache!!!!??Umeamua kudhalilisha kabila kwa story ya uongo. Hiyo ni police case umeripoti???
Mali gani uliyonayo mpaka dada wa kaskazini akuue wewe. Hakuna hizo tabia hata ukisikiliza news makabila mengine ndio wanauana rarely wa kaskazini. Tafuta hela uwe na akili.
Hana akiliKwani wwe unajua Wachaga wanauwa kuanzia Mali ya kiasi gani hadi unazarau malalamiko ya mwenzio kisa Mali zake chache!!!!??
Vawulence Eng ibirdPeace in not an option View attachment 2453993
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28] nimechekaHuu mwandiko sio wa mtu mwenye mali.
Namaanisha mali.
Msinipopoe mi napita tu, hata simu janja ni mali
Tucheke tu😅😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28] nimecheka
Wewe mwenyewe ndio una shida, mkiambiwa tulieni mwombe Mungu awasaidie mnajifanya mnajua kila kituSina haja ya kuwasilimia hata kidogo aisee hawa maduu kutoka Kanda ya kaskazini sio poa kabisa nusura nipigwe kipapai kwa maana niuliwe kisa mali aisee nyie wabara mnawezaje kuishi nao hilo kabila?sio poa kabisa.
Yaani ni hivi Kuna duuu mmoja nilikutana nae pale old moshi tukabadilisha contact,tumesiliana kama wiki mbili hivi ndipo nikaomba shoo nikapiga baada ya hapo nikaenda kutambulishwa ili niende kuoa kumbe yule binti na wazazi wake ni wachaga aisee ila nikaona kujitoa ni udhaifu nikapambana nikamuweka ndani.
Baada ya kumuweka ndani kilichonitokea siwezi kusahau kwanza picha imeanza nimewekea sumu kwene chakula aisee siwezi endelea maana hapa nilipo nalia tu siwezi endelea hata kidogo.
Wachaga mungu anawaona acheni roho ya hivyo Kuna maisha baada ya kifo hizi mali zinapita tu 😢 😭 😿 😢 😭
😢 😭 😿 😢 😭 😿 😢 😭 😿
muandiko wa mtu aliyeishia darasa la 4 C anapata wapi mali[emoji16][emoji16]Tucheke tu[emoji28][emoji28]