Najuta kuoa mwanamke kutoka kanda ya ziwa, aisee najuta indeed!

Najuta kuoa mwanamke kutoka kanda ya ziwa, aisee najuta indeed!

Kwa mapungufu ulio nayo mpendwa hata kama ungeoa kutoka kwenu mngesumbuana naye! Nimeona mapungufu yako haya hapa

1: huyo mwanamke unamfanya mfanyakazi kazi wako humpi heshima ya mke, kwa sababu mke wako huwezi kumficha mshahara wako na huwezi kumficha tarehe ya mshahara wako kutoka! Hili doa kubwa kwako

2: mke wako mpaka namba ya simu ya mfanyakazi wenu hana anakuomba wewe hii ni hatari sana mwanaume mwenzangu,

3: unamdharau huyo mwanamke huwezi kumuita mtoto mdogo, wakati ni mke wako

4: simama kama mwanaume hakuna mwanamke mgumu mbele ya mwanaume,

5: usiwe na akili ya kuendeshwa na wanafamilia wako hasa wazazi wako na ndugu zako kuwa huyo mwanamke amekuja kukuchuna, ukiwa na mindset hiyo hutakaq na mwanamke wewe

6: kwa maelezo yako inaonekana wewe bahati mbaya amekufa huyo mke wako atanyanganywa mali familia yenu,

7: kuwa muwazi kwa mke wako kwa pato Lako lote na mali zako zote, kwa kuwa unamficha ndo maana anataka kupata information kutoka kwa watu baki


8: kuwa msiri kwa mke wako hilo ni bomu unalolitega mbeleni!

Wapi ulikosea
Hapa mwanaume mwenzangu ndipo ulipokosea unapaswa kurudi na kupazawasisha japo ni kwa maumivu

ulipaswa ulipomuoa wiki tatu za mwanzo umuonyeshe sura yako halisi
 
W
Kwanza vijana ambao hamjaoa please ukitaka kuoa jaribu kuoa karibu na zone.yenu au nyumbani kwenu kabisa kuliko.kuoa.far away na.pia ukitaka kuoa mwanamke sahihi ni mwenye hofu ya mungu kabisa aisee

Yamenikuta nilioa mwanamke kutoka kanda ya.ziwa.huko.wale.waupeee na wanao nyoa fanki wale aisee hawa wanawake.sio poa kabisa ila nanideclare interest sio wote ila.most of them ni hizo yaani ukimuoa kama wewe si mtu na kabila lao utakiona chamtema kuni dadeki sio poa kabisa

Kwanza ameenda kwao kwa sababu ni mgonjwa ila.sasa wakati wakurudi.amenipa masharti eti natakiwa kurudi na mganga wa kienyeji kisa eti kwasababu yeye ni mgonjwa hatakiwa kubeba dawa mganga pekee ndiye pekee anatakiwa kubeba dawa eeeeh whaaat? It is madness.😧😧

Sijaona watu hawa wana hasira balaa yaani yeye kurusha ngumi kwenye kawaida sasa najiuliza angeolewa na mkabila mwenzie angefanya huu ujinga? Kwasababu mimi ni kabila tofauti na yeye? Halafu ukiangalia mahari ni kubwa sasa kuna tofauti gani na kuoa hawa wanawake wa mahari rahisi? Binti lina hasira balaa

Mtu anakuuliza mshahara wako ni shilingi ngapi? Na unatoka tarehe ngapi?😧😧 and then anauliza nipe namba ya muuza duka wako for what? Hawa watu kwa ushirikina usiseme ni hatari sana aisee yaani kabisa anataka kuja na mganga wa kienyeji kisa eti hatakiwi kubeba dawa mganga pekee ndiye pekee mbebaji huu si ushirikina huu?

Isitoshe huu binti ni mdogo sana sasa amejuaje yote haya? Sio kama yuko coaching na ndugu zake?wanataka kuniua? Au wanataka kunikama nisiwe na kauli kwa huyu binti yao?

Najuta na i'm going to divorce her
We ulikosea bro,
Ubaya hauna kwao,
Religous, ethinic background, biases, malezi,elimu, hivi vyote ndio humtengeneza mtu,
Mi ni mmakonde wa, Mtwara, nimeoa Mu Arusha!
Acha ujinga bro! Usihukumu kila mtu,
By the way shits happens, ur not special!
 
W

We ulikosea bro,
Ubaya hauna kwao,
Religous, ethinic background, biases, malezi,elimu, hivi vyote ndio humtengeneza mtu,
Mi ni mmakonde wa, Mtwara, nimeoa Mu Arusha!
Acha ujinga bro! Usihukumu kila mtu,
By the way shits happens, ur not special!
Mjinga weww sasa hapo ujinga wangu upo wapi?
 
Kwa mapungufu ulio nayo mpendwa hata kama ungeoa kutoka kwenu mngesumbuana naye! Nimeona mapungufu yako haya hapa

1: huyo mwanamke unamfanya mfanyakazi kazi wako humpi heshima ya mke, kwa sababu mke wako huwezi kumficha mshahara wako na huwezi kumficha tarehe ya mshahara wako kutoka! Hili doa kubwa kwako

2: mke wako mpaka namba ya simu ya mfanyakazi wenu hana anakuomba wewe hii ni hatari sana mwanaume mwenzangu,

3: unamdharau huyo mwanamke huwezi kumuita mtoto mdogo, wakati ni mke wako

4: simama kama mwanaume hakuna mwanamke mgumu mbele ya mwanaume,

5: usiwe na akili ya kuendeshwa na wanafamilia wako hasa wazazi wako na ndugu zako kuwa huyo mwanamke amekuja kukuchuna, ukiwa na mindset hiyo hutakaq na mwanamke wewe

6: kwa maelezo yako inaonekana wewe bahati mbaya amekufa huyo mke wako atanyanganywa mali familia yenu,

7: kuwa muwazi kwa mke wako kwa pato Lako lote na mali zako zote, kwa kuwa unamficha ndo maana anataka kupata information kutoka kwa watu baki


8: kuwa msiri kwa mke wako hilo ni bomu unalolitega mbeleni!

Wapi ulikosea
Hapa mwanaume mwenzangu ndipo ulipokosea unapaswa kurudi na kupazawasisha japo ni kwa maumivu

ulipaswa ulipomuoa wiki tatu za mwanzo umuonyeshe sura yako halisi
Takataka
 
Hoja yako ya kuoa mwanamke ambaye mko zone moja ama mna ufanano wa asili i second it.
 
Kwanza vijana ambao hamjaoa please ukitaka kuoa jaribu kuoa karibu na zone.yenu au nyumbani kwenu kabisa kuliko.kuoa.far away na.pia ukitaka kuoa mwanamke sahihi ni mwenye hofu ya mungu kabisa aisee

Yamenikuta nilioa mwanamke kutoka kanda ya.ziwa.huko.wale.waupeee na wanao nyoa fanki wale aisee hawa wanawake.sio poa kabisa ila nanideclare interest sio wote ila.most of them ni hizo yaani ukimuoa kama wewe si mtu na kabila lao utakiona chamtema kuni dadeki sio poa kabisa

Kwanza ameenda kwao kwa sababu ni mgonjwa ila.sasa wakati wakurudi.amenipa masharti eti natakiwa kurudi na mganga wa kienyeji kisa eti kwasababu yeye ni mgonjwa hatakiwa kubeba dawa mganga pekee ndiye pekee anatakiwa kubeba dawa eeeeh whaaat? It is madness.😧😧

Sijaona watu hawa wana hasira balaa yaani yeye kurusha ngumi kwenye kawaida sasa najiuliza angeolewa na mkabila mwenzie angefanya huu ujinga? Kwasababu mimi ni kabila tofauti na yeye? Halafu ukiangalia mahari ni kubwa sasa kuna tofauti gani na kuoa hawa wanawake wa mahari rahisi? Binti lina hasira balaa

Mtu anakuuliza mshahara wako ni shilingi ngapi? Na unatoka tarehe ngapi?😧😧 and then anauliza nipe namba ya muuza duka wako for what? Hawa watu kwa ushirikina usiseme ni hatari sana aisee yaani kabisa anataka kuja na mganga wa kienyeji kisa eti hatakiwi kubeba dawa mganga pekee ndiye pekee mbebaji huu si ushirikina huu?

Isitoshe huu binti ni mdogo sana sasa amejuaje yote haya? Sio kama yuko coaching na ndugu zake?wanataka kuniua? Au wanataka kunikama nisiwe na kauli kwa huyu binti yao?

Najuta na i'm going to divorce her
Ukute alikufanyia Dawa ukamuoa😅😅
 
Kwa mapungufu ulio nayo mpendwa hata kama ungeoa kutoka kwenu mngesumbuana naye! Nimeona mapungufu yako haya hapa

1: huyo mwanamke unamfanya mfanyakazi kazi wako humpi heshima ya mke, kwa sababu mke wako huwezi kumficha mshahara wako na huwezi kumficha tarehe ya mshahara wako kutoka! Hili doa kubwa kwako

2: mke wako mpaka namba ya simu ya mfanyakazi wenu hana anakuomba wewe hii ni hatari sana mwanaume mwenzangu,

3: unamdharau huyo mwanamke huwezi kumuita mtoto mdogo, wakati ni mke wako

4: simama kama mwanaume hakuna mwanamke mgumu mbele ya mwanaume,

5: usiwe na akili ya kuendeshwa na wanafamilia wako hasa wazazi wako na ndugu zako kuwa huyo mwanamke amekuja kukuchuna, ukiwa na mindset hiyo hutakaq na mwanamke wewe

6: kwa maelezo yako inaonekana wewe bahati mbaya amekufa huyo mke wako atanyanganywa mali familia yenu,

7: kuwa muwazi kwa mke wako kwa pato Lako lote na mali zako zote, kwa kuwa unamficha ndo maana anataka kupata information kutoka kwa watu baki


8: kuwa msiri kwa mke wako hilo ni bomu unalolitega mbeleni!

Wapi ulikosea
Hapa mwanaume mwenzangu ndipo ulipokosea unapaswa kurudi na kupazawasisha japo ni kwa maumivu

ulipaswa ulipomuoa wiki tatu za mwanzo umuonyeshe sura yako halisi
Ndio maana mimi nimesema amlete mkewe tuwahoji wote
 
Umeoa watu wa Musoma au Ukerewe wewe hiyo imemtokea mshikaji wangu. Na alimhudumia sana hiyo demu. Kamfungulia duka, kampangia nyumba na Kodi alikuwa analipa moaka nikawa namshangaa Mtu ana duka bado unamlipia Kodi hiyo biashara monthly unamwongezea hela ajaze mzigo, na mahari alipotoa kama 3 M na kila weekend demu alikuwa anataka msosi wa Pizza Hut. Na mambo mengi ya luxury mengi sana. Lakini hiyo demu ni kiburi sijapata kuona. Pole sana Mkuu next time punguza mihemko Fanya utafiti wa kutosha kabla hujamchukua Mwanamke wankuishi naye.
wanawake wa kanda ya ziwa, meru, machame kama ukiwa kidume falafala watakupelekesha sana. unatakiwa uwe mwanaume kamili. hao viumbe tunawaweza sisi wameru na wakurya.
 
Pole mkuu!! Ni msukuma ? Au Mtusi ? Au Mnyatunzu ? Mim wa Kanda ya Ziwa ila nimeoa MBENA, wabena wako poa sana na ni wachapakazi sana.


Piga chini nenda ubenani
Umeoa binti aliye smart sio kabila smart

Huyo kaoa mwanamke mjinga sio kabila la wajinga

NB
UKIBUGI KUOA JILAUMU WEWE NA MWANAMKE WAKO, SIO KABILA

Hakuna kabila takatifu wala kabila ovu.

Hata watoto wa familia moja hutofautiana, Kila mtu huwa na tabia yake sometimes.

So msiangalie makabila angalieni mnaowaoa
 
Kwanza vijana ambao hamjaoa please ukitaka kuoa jaribu kuoa karibu na zone.yenu au nyumbani kwenu kabisa kuliko.kuoa.far away na.pia ukitaka kuoa mwanamke sahihi ni mwenye hofu ya mungu kabisa aisee

Yamenikuta nilioa mwanamke kutoka kanda ya.ziwa.huko.wale.waupeee na wanao nyoa fanki wale aisee hawa wanawake.sio poa kabisa ila nanideclare interest sio wote ila.most of them ni hizo yaani ukimuoa kama wewe si mtu na kabila lao utakiona chamtema kuni dadeki sio poa kabisa

Kwanza ameenda kwao kwa sababu ni mgonjwa ila.sasa wakati wakurudi.amenipa masharti eti natakiwa kurudi na mganga wa kienyeji kisa eti kwasababu yeye ni mgonjwa hatakiwa kubeba dawa mganga pekee ndiye pekee anatakiwa kubeba dawa eeeeh whaaat? It is madness.😧😧

Sijaona watu hawa wana hasira balaa yaani yeye kurusha ngumi kwenye kawaida sasa najiuliza angeolewa na mkabila mwenzie angefanya huu ujinga? Kwasababu mimi ni kabila tofauti na yeye? Halafu ukiangalia mahari ni kubwa sasa kuna tofauti gani na kuoa hawa wanawake wa mahari rahisi? Binti lina hasira balaa

Mtu anakuuliza mshahara wako ni shilingi ngapi? Na unatoka tarehe ngapi?😧😧 and then anauliza nipe namba ya muuza duka wako for what? Hawa watu kwa ushirikina usiseme ni hatari sana aisee yaani kabisa anataka kuja na mganga wa kienyeji kisa eti hatakiwi kubeba dawa mganga pekee ndiye pekee mbebaji huu si ushirikina huu?

Isitoshe huu binti ni mdogo sana sasa amejuaje yote haya? Sio kama yuko coaching na ndugu zake?wanataka kuniua? Au wanataka kunikama nisiwe na kauli kwa huyu binti yao?

Najuta na i'm going to divorce her
Mawili hukusimama na kuweka mipaka kama mwanaume au malezi au mtu pembeni
 
Hadi sasa Kataa ndoa wanaongoza msimamo wa ligi 😅😅😅
 
Kwa mapungufu ulio nayo mpendwa hata kama ungeoa kutoka kwenu mngesumbuana naye! Nimeona mapungufu yako haya hapa

1: huyo mwanamke unamfanya mfanyakazi kazi wako humpi heshima ya mke, kwa sababu mke wako huwezi kumficha mshahara wako na huwezi kumficha tarehe ya mshahara wako kutoka! Hili doa kubwa kwako

2: mke wako mpaka namba ya simu ya mfanyakazi wenu hana anakuomba wewe hii ni hatari sana mwanaume mwenzangu,

3: unamdharau huyo mwanamke huwezi kumuita mtoto mdogo, wakati ni mke wako

4: simama kama mwanaume hakuna mwanamke mgumu mbele ya mwanaume,

5: usiwe na akili ya kuendeshwa na wanafamilia wako hasa wazazi wako na ndugu zako kuwa huyo mwanamke amekuja kukuchuna, ukiwa na mindset hiyo hutakaq na mwanamke wewe

6: kwa maelezo yako inaonekana wewe bahati mbaya amekufa huyo mke wako atanyanganywa mali familia yenu,

7: kuwa muwazi kwa mke wako kwa pato Lako lote na mali zako zote, kwa kuwa unamficha ndo maana anataka kupata information kutoka kwa watu baki


8: kuwa msiri kwa mke wako hilo ni bomu unalolitega mbeleni!

Wapi ulikosea
Hapa mwanaume mwenzangu ndipo ulipokosea unapaswa kurudi na kupazawasisha japo ni kwa maumivu

ulipaswa ulipomuoa wiki tatu za mwanzo umuonyeshe sura yako halisi
Acha upimbi wewe unampoteza mwenzako amwambie mkewe mshahara wewe ukimwambia mke wako inatosha.... unataka aanze kupangiwa matumizi ya mshahara wake.
 
Huyo mganga ndio anayemdinya huyo mkeo full stop.
Fukuza kenge maji huyo karne hii bado kuna watu wanaabudu uganga na uchawi wa kingese.??
 
Back
Top Bottom