Najuta kuoa Single mother, kila nikimtazama huyu mtoto wake Moyo wangu Unaumia kwa machungu makali. Nahitaji msaada

Sema tu umemla mtoto wa watu umemchoka. Hana tena jipya kwako. Huenda haibani tena kama zamani. Unatafuta kisingizio umteme.
 
Tunza tu baba yake nipo hapa nitawaita waje tujue maendeleo ndani na nje ya mkeo
 
Serious hiyo ni roho mbaya mtoto kafanya nin? Malaika asiyejua A au B amekukosea nin? Hajawah saidia watoto yatima? Watoto wa mtaan je?? Ingekua huyo mwanamke anamawasiliano na mzaz mwenzake bas iyo ni mbaya
Huyo Malaika si ana Baba Yake?
 
To yeye umesikia anavyosema mwenzio? Yaan pamoja na kuoa singomaza bado anakwea mnazi kwa mkono mmoja
you have a problem somewhere, unapata wapi mda wa kufukunyua thread ya two years ago? Na huyo niliyemuombea ushauri he was my young Bro.

Mkuu tafadhari stay aside this's serious issue nahitaji msaada zaidi ya hichi unacho fanya.
 
Kwenye maelezo yako hujasema kama mtoto anakupa shida yoyote. Anakudharau au anakuwekea kiburi? Kama yupo vizuri mi naona shida kubwa ipo kwako wewe.
 
Kwenye maelezo yako hujasema kama mtoto anakupa shida yoyote. Anakudharau au anakuwekea kiburi? Kama yupo vizuri mi naona shida kubwa ipo kwako wewe.
Nafsi mkuu haikubali.....hasa pale unakuta Dogo anaumwa hamjalala usiku kucha. Ila unasikia Baba yake jana alikuwa kalewa anagombana na Bar Maid.

Lakini Mtoto anaitwa kwa jina la mlevi sio lako wewe unayehustle.
 
Ili kweje? Kwani kukomoana?
Huyo mtoto wa kambo akipata dada zake na wadogo zake watamuita kaka/dada, tayari umetengeneza bond kati ya damu yako na damu isiyokuhusu. Inasaidia kuondoa chuki za kishamba.
 
Sio maybe mkuu. Inasaidia sana kuimarisha mahusiano. Kama una single mother wako unamkubali na unaona anafaa step one ni kumpa mtoto wake wadogo zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…