Umemaliza mjadala besty. Umeongea ukweli mtupu.Ukitaka kumtawala mwanamke unatakiwa uwe na pesa ya kuweza kumwambia ondoka kwangu, au Rudi kwangu....la sivyo u fail. Always mwanamke ni mbinafsi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemaliza mjadala besty. Umeongea ukweli mtupu.Ukitaka kumtawala mwanamke unatakiwa uwe na pesa ya kuweza kumwambia ondoka kwangu, au Rudi kwangu....la sivyo u fail. Always mwanamke ni mbinafsi sana
kabisa kabisa , mwanaume ukitaka kuua ndoto zako wewe oaHii kitu inaanza kuniingia kwenye akili polepole, NDOA INAFUNGA MAWAZO YA KIUTAFITI NA KUWAZA KWA MAPANA NA MAREFU ZAIDI, Mwenye ndoa anafungika mawazo na kubakia na mawazo ya kulisha kusomesha makazi bora na vya aina hii, huwazi tena vya kiuvumbuzi na kiutafiti, chunguza wavumbuzi wengi na watafiti hapo zamani walijifungia katika LABS, kuona wanafacilitate future.
Unaweza ukawa na hivyo vyote na ukapelekeshwa vilevile. Omba upate mwanamke mwenye hekima regadless ya kipato chake.View attachment 2543623
Good
Tazama hiyo[emoji1369]
Huyu alieandika ni mwanamke [emoji16]
Yuko sawa kwa 100% ,japo maneno yake yanaweza kua yanachoma ila ndio ukweli
Thus me sijawah kufikilia kuowa mwanamke mwenye fedha au anaejiweza
Pengine IKAPUNGUZA ng’ong’oso
Make sure una kibunda+ maendelea
A place to call home
2 USITUMIE HISIA!
3TUMIA AKILI.
Yaap hatukai pamoja mi naishi kwenye hii nyumba yeye anaishi mkoa jirani kikaziWewe na mke wako hamkai pamoja?
Umeukonga moyoUkitaka kumtawala mwanamke unatakiwa uwe na pesa ya kuweza kumwambia ondoka kwangu, au Rudi kwangu....la sivyo u fail. Always mwanamke ni mbinafsi sana
Kumbuka kwamba mkeo ni mama mzazi wa wanao. Wewe shupaza kichwa halafu siku wanao wakikugeuka hauna rangi utaiona.Mkeo sio ndugu yako, wala sio mamako mzazi, ni mwanamke mmoja tu ambae hawez kukuletea miyeyusho, ni mamako mzazi baaaasi, wanawake ni opportunist mzee, katembea na gap...wanawake kila kitu kwao ni kamari yan wako hivyo usiwazingatie saaaaana watakuumiza...
Aisee umeongea ukweli mtupu tuUkitaka kumtawala mwanamke unatakiwa uwe na pesa ya kuweza kumwambia ondoka kwangu, au Rudi kwangu....la sivyo u fail. Always mwanamke ni mbinafsi sana
Kwani cheti cha ndoa ya kidini kinatolewa na nani na cheti cha ndoa ya kiserikali kinatolewa nani?Kwanini mmefunga ndoa ya kiserikali na si ya kidini ambayo ni common
Daaa aisee wanawake wanawakeHakukopa alihongwa
Kinachokuuma hapo kitu gani ataishi na wanao na hata ikitokea kafa kesho hizo Mali zitakuwa za watoto wenu hakuna ulichopoteza.Kweli mkuu hapa naondoka namwachia nyumba yake atakaa na watoto wanapokuja huku likizo
Hata usemeje mkuu msimamo wangu uko pale pale wanangu wacha wadeal na mama yao, me wala sina shida, ive got my retirement plan on lock... Me wanawake siwaamini kabisaaaKumbuka kwamba mkeo ni mama mzazi wa wanao. Wewe shupaza kichwa halafu siku wanao wakikugeuka hauna rangi utaiona.
Wewe na mke wako mpo dini tofauti me nauliza tu mkuuKwani cheti cha ndoa ya kidini kinatolewa na nani na cheti cha ndoa ya kiserikali kinatolewa nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ndo nlimpa wazo la kununua kiwanja mara tu alipoajiriwa so nikamwambia nenda kakope hela kidogo utafute kiwanja then kujenga tutasaidiana mdogo mdogo maana tayari tumeanzisha familiaIla za wanawake sio za kupigia hesabu otherwise ziwe chini yako yaani atoe aweke mezani mjue Cha kufanya Kwa pamoja
Afadhali wew alikushirikisha kununua kiwanja kunawenzio wakezao Wana nyumba Hadi 3 za maana na waume hawajui
Wana MMU,
Naandika huu uzi kwa masikitiko na kujuta bora ile pesa ningenywea tu bia na kula kitimoto.
Nina mke na watoto, mke alikopa hela bank na kazini kwao akanunua uwanja. Ushauri huu nilimpa mimi
Nikasimamia ujenzi nyumba ikasimama ingawa kuna vitu vilikuwa havijakamilika nikaanza kuingia gharama kumalizia nyumba.
Kipato changu cha kuunga unga ila kwa kutambua nyumba ni ya familia tuna watoto na ndoa tumefunga nikaona niendeleze ukarabati.
Sasa bwana umetokea mgogoro mdogo mimi na mke wangu kanitamkia hapa sijachangia chochote kodi yote anakula yeye.
Basi nimeamua nianze mdogo mdogo kujitoa kwenye hii nyumba.
Mchango wangu hajauthamini kabisa mwanamke amekua mbinafsi ghafla sana.
Wakuu tuwe makini kuwekeza hela na muda wako kwenye mali ya mwanamke ni kujichimbia kaburi.
KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
Yaap mkuu tupo dini tofauti mi Islam yeye ChristianWewe na mke wako mpo dini tofauti me nauliza tu mkuu
Kabisa mkuuAisee umeongea ukweli mtupu tu