Najuta kuwekeza kwenye kiwanja na nyumba ya mwanamke

Najuta kuwekeza kwenye kiwanja na nyumba ya mwanamke

Wana MMU,

Naandika huu uzi kwa masikitiko na kujuta bora ile pesa ningenywea tu bia na kula kitimoto.

Nina mke na watoto, mke alikopa hela bank na kazini kwao akanunua uwanja. Ushauri huu nilimpa mimi

Nikasimamia ujenzi nyumba ikasimama ingawa kuna vitu vilikuwa havijakamilika nikaanza kuingia gharama kumalizia nyumba.

Kipato changu cha kuunga unga ila kwa kutambua nyumba ni ya familia tuna watoto na ndoa tumefunga nikaona niendeleze ukarabati.

Sasa bwana umetokea mgogoro mdogo mimi na mke wangu kanitamkia hapa sijachangia chochote kodi yote anakula yeye.

Basi nimeamua nianze mdogo mdogo kujitoa kwenye hii nyumba.

Mchango wangu hajauthamini kabisa mwanamke amekua mbinafsi ghafla sana.

Wakuu tuwe makini kuwekeza hela na muda wako kwenye mali ya mwanamke ni kujichimbia kaburi.

KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
Kwani huwa mnafeli wapi? Mnataka tuwaoe auu?? Kupindisha asili ya Mungu ni kosa kubwa mnafanya wanaume, asili yetu ni kukaa kutunza mume na kuzingatia watoto malezi mazuri, swala la mwanamke kuwa na pesa zaidi ya mwanaume uo ni ugonjwa ukimbieni wanaume, yaan mwanamama akikuzidi pesa basi kubali kua mkia si kichwa tena.
Wachache sana tutakubali kuwazidi pesa na tukawakabidhi kadi za benk na paswed zake, tena kwangu mimi ni kwa mashart mana mnasemaga mmeumbiwa umalaya kama sitahidi hata kwa mbali kaharufu ka ukitombi basi hata salary yangu utakua unadroo wewe kidume then tunapanga matumiz.
Hilo kosa mnaloendelea nalo kwa kisingizio cha maisha magumu mtateseka sana ndugu zangu.
Hatujawahi kua na huruma na pesa zetu kuwapa wanaume tena wanaume wapenda chini, unaoa bado unaishi kama uko single.
USIOE MWANAMKE ANAEKUZIDI KIPATO.
 
Wana MMU,

Naandika huu uzi kwa masikitiko na kujuta bora ile pesa ningenywea tu bia na kula kitimoto.

Nina mke na watoto, mke alikopa hela bank na kazini kwao akanunua uwanja. Ushauri huu nilimpa mimi

Nikasimamia ujenzi nyumba ikasimama ingawa kuna vitu vilikuwa havijakamilika nikaanza kuingia gharama kumalizia nyumba.

Kipato changu cha kuunga unga ila kwa kutambua nyumba ni ya familia tuna watoto na ndoa tumefunga nikaona niendeleze ukarabati.

Sasa bwana umetokea mgogoro mdogo mimi na mke wangu kanitamkia hapa sijachangia chochote kodi yote anakula yeye.

Basi nimeamua nianze mdogo mdogo kujitoa kwenye hii nyumba.

Mchango wangu hajauthamini kabisa mwanamke amekua mbinafsi ghafla sana.

Wakuu tuwe makini kuwekeza hela na muda wako kwenye mali ya mwanamke ni kujichimbia kaburi.

KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
Mjinga ni wewe. Kama ulimshauri akooe anunue kiwanja, maanake kiwanja ni chake. Unalalamika nini.

Umngemshauri akope mnunue kiwanja na siyo anunue kiwanja. [emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom