Najuta kuwekeza kwenye kiwanja na nyumba ya mwanamke

kabisa kabisa , mwanaume ukitaka kuua ndoto zako wewe oa

hapo mwendo umeumaliza, kwisha habari yako kabisa
 
Unaweza ukawa na hivyo vyote na ukapelekeshwa vilevile. Omba upate mwanamke mwenye hekima regadless ya kipato chake.
 
Kumbuka kwamba mkeo ni mama mzazi wa wanao. Wewe shupaza kichwa halafu siku wanao wakikugeuka hauna rangi utaiona.
 
Umri wako haujakusaidia kutambua kuwa hela ya mwanamke ni ya mwanamke tu? Mwanamke akinunua kitu kwa ajili ya familia inatakiwa iwe labda ni kitu cha kula amekutana nacho kinauzwa akakipenda.
 
Biblia Takatifu imesema tuishi nao kwa akili, haikumaanisha michepuko, ilimaanisha wake zetu tena tuliofunga nao ndoa.

Mwanamke hata achangie chakula nyumbani kea wiki moja lazima atakubadilikia tu ni wachache sana watakubaliana na hali

Kushindwa kwako kutumia akili vizuri haihalalashi kuwa ndoa haifai.

Kuna sifa za mke wa kuoa, sasa Kama ukatizama uzuri ukaacha tabia unategemea nini?

Hii campaign ya KATAA NDOA, INAMAANA WANAUME WAMESHINDWA KUWA WANAUME, NA KAMA WANAUME WAMESHINDWA KUWA WANAUME, WANATAKA KUWA NINI?
 
Kwamba kwa sababu magari yanapata sana ajali basi watu wasipande magari?

Kwamba kwa sababu vyakula vimepanda bei basi watu wasile.

Wakuu, hii campaign nyuma ipo LGBT..., nasema ukweli, kwamba binadamu kasahau Mungu katuleta hapa duniani na katupa mwongozo.
 
Ila za wanawake sio za kupigia hesabu otherwise ziwe chini yako yaani atoe aweke mezani mjue Cha kufanya Kwa pamoja
Afadhali wew alikushirikisha kununua kiwanja kunawenzio wakezao Wana nyumba Hadi 3 za maana na waume hawajui
Mimi ndo nlimpa wazo la kununua kiwanja mara tu alipoajiriwa so nikamwambia nenda kakope hela kidogo utafute kiwanja then kujenga tutasaidiana mdogo mdogo maana tayari tumeanzisha familia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umejua Leo kaka?,hii ni asili yao Cha msingi ni kuwa unapokuwa kwenye ndoa hakikisha una kuwa na upeo mkubwa wa kutambua kuwa wao wako hivo na walau uwe na sehemu tofauti tofauti za kuishi ikitokea la kutokea una kuwa salama maana ni kiasi Cha kuamia sehemu nyingine na maisha yanaendelea.Vinginevyo unaweza fukuzwa Kama mbwa hawa hawanaga kufikili mlianzaje maisha ,wanaangalia kile kilichopo kwa wakati huo.Nina classmate wangu alikimbia mji wake apo dar.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…