To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
😜Umeukonga moyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😜Umeukonga moyo
Pamoja wanguUmemaliza mjadala besty. Umeongea ukweli mtupu.
HatareeDah! Pesa pesa ,mali mali...... Tumekwisha 😱😱😱
Unanitisha, ni;iangalia profile yako na maneno Yako ya mwisho naogopa😂Na huu ndo ukweli mchungu. I love you[emoji7]
Kweli akae Kwa kutulia.Halafu anataka pesa za wapangaji wale wote ,si ajabu akipewa naye anaenda kugawa huko, nakushauri kaa kwa kutulia hiyo pia faida ya watoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ndio nimepata jibu kwanini mmeamua kuoana ndoa ya kiserikali vipi lakini kuna changamoto kubwa ilikuwepo na mnapitia kutokana na kuwa na dini tofauti?
Dah! Pole mkuu, umechelewa sana kuwajua hao viumbe. Namshukuru Mungu naishi katika nchi ambayo ukimuacha mwanamke anaondoka kama alivyo kuja, ujinga wa kugawana mali ambazo hakuzichuma haupo.Mchango wangu hajauthamini kabisa mwanamke amekua mbinafsi ghafla sana.
Wakuu tuwe makini kuwekeza hela na muda wako kwenye mali ya mwanamke ni kujichimbia kaburi.
Bro hawa wanawake waliozaliwa kuanzia miaka ya 1980 Ni wana roho ngumu ajabu..hao Ni special edition,hawakutoka Kwenye mbavu zetu..trust meWana MMU,
Naandika huu uzi kwa masikitiko na kujuta bora ile pesa ningenywea tu bia na kula kitimoto.
Nina mke na watoto, mke alikopa hela bank na kazini kwao akanunua uwanja. Ushauri huu nilimpa mimi
Nikasimamia ujenzi nyumba ikasimama ingawa kuna vitu vilikuwa havijakamilika nikaanza kuingia gharama kumalizia nyumba.
Kipato changu cha kuunga unga ila kwa kutambua nyumba ni ya familia tuna watoto na ndoa tumefunga nikaona niendeleze ukarabati.
Sasa bwana umetokea mgogoro mdogo mimi na mke wangu kanitamkia hapa sijachangia chochote kodi yote anakula yeye.
Basi nimeamua nianze mdogo mdogo kujitoa kwenye hii nyumba.
Mchango wangu hajauthamini kabisa mwanamke amekua mbinafsi ghafla sana.
Wakuu tuwe makini kuwekeza hela na muda wako kwenye mali ya mwanamke ni kujichimbia kaburi.
KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
Na wakikuona hufi wanakuuwa.Wanawake wote huamini wanaume tunakufa mapema kabla yao
Kwenye inshu ya dini hakuna changamoto yoyote tuliyopitiaHapa ndio nimepata jibu kwanini mmeamua kuoana ndoa ya kiserikali vipi lakini kuna changamoto kubwa ilikuwepo na mnapitia kutokana na kuwa na dini tofauti?
Hiyo nimei note, ila siyo kwamba hawapo wasotawalika. Utafiti wako unaonekana upo 50/50Mwanamke wa sasa hatawaliki, Na mwanaume akijifanya ana shingo ngumu atauwawa na mali ataiacha hapahapa mwanamke anajisevia
Anaonekana anabahatisha huyoSawa mkuu
Kwani kugeukwa ni nini? Unaogopa kugeukwa na wanao? Sitaki nikutukane. Mimi ni kijana mdogo wa miaka 24 ila baba zangu humu mna mawazo ya kitoto mno mpaka najiuliza sasa vijana tujifunze wapi.Kumbuka kwamba mkeo ni mama mzazi wa wanao. Wewe shupaza kichwa halafu siku wanao wakikugeuka hauna rangi utaiona.
Na wakikuona hufi wanakuua[emoji38] dawa ni wewe nawe kuwa mafia tu! Wengi wanaouawa ni makapuku na wenye vihela. Matajiri wakubwa hasa Ulaya sisikii haya mambo. Ni huku Afrika tuNa wakikuona hufi wanakuuwa.
😁😁😁 Aiseee yupo mmoja huyo anachakatwa jamani balaa mnoExactly,, mbaya umtoe kijijini uje kuishi naye town,, atachakatwa na vi-born town vingi sana tena vile vijinga vijinga haswaa.
Anipelekeshaje ? Yaan unapelekeshwaje?Unaweza ukawa na hivyo vyote na ukapelekeshwa vilevile. Omba upate mwanamke mwenye hekima regadless ya kipato chake.
Watabaki mdomo waz kuona wanaondoka wao saa 12 asubuhi na ubinafsi na Tamaa zao za pesa zinazosindikizwa na usaliti.Wanawake wote huamini wanaume tunakufa mapema kabla yao
Sanamu lako lijengwe wapi? ChaguaUkitaka kumtawala mwanamke unatakiwa uwe na pesa ya kuweza kumwambia ondoka kwangu, au Rudi kwangu....la sivyo u fail. Always mwanamke ni mbinafsi sana