Najuta kuwekeza kwenye kiwanja na nyumba ya mwanamke

Najuta kuwekeza kwenye kiwanja na nyumba ya mwanamke

Mchango wangu hajauthamini kabisa mwanamke amekua mbinafsi ghafla sana.

Wakuu tuwe makini kuwekeza hela na muda wako kwenye mali ya mwanamke ni kujichimbia kaburi.
Dah! Pole mkuu, umechelewa sana kuwajua hao viumbe. Namshukuru Mungu naishi katika nchi ambayo ukimuacha mwanamke anaondoka kama alivyo kuja, ujinga wa kugawana mali ambazo hakuzichuma haupo.
 
Wana MMU,

Naandika huu uzi kwa masikitiko na kujuta bora ile pesa ningenywea tu bia na kula kitimoto.

Nina mke na watoto, mke alikopa hela bank na kazini kwao akanunua uwanja. Ushauri huu nilimpa mimi

Nikasimamia ujenzi nyumba ikasimama ingawa kuna vitu vilikuwa havijakamilika nikaanza kuingia gharama kumalizia nyumba.

Kipato changu cha kuunga unga ila kwa kutambua nyumba ni ya familia tuna watoto na ndoa tumefunga nikaona niendeleze ukarabati.

Sasa bwana umetokea mgogoro mdogo mimi na mke wangu kanitamkia hapa sijachangia chochote kodi yote anakula yeye.

Basi nimeamua nianze mdogo mdogo kujitoa kwenye hii nyumba.

Mchango wangu hajauthamini kabisa mwanamke amekua mbinafsi ghafla sana.

Wakuu tuwe makini kuwekeza hela na muda wako kwenye mali ya mwanamke ni kujichimbia kaburi.

KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
Bro hawa wanawake waliozaliwa kuanzia miaka ya 1980 Ni wana roho ngumu ajabu..hao Ni special edition,hawakutoka Kwenye mbavu zetu..trust me
 
Kumbuka kwamba mkeo ni mama mzazi wa wanao. Wewe shupaza kichwa halafu siku wanao wakikugeuka hauna rangi utaiona.
Kwani kugeukwa ni nini? Unaogopa kugeukwa na wanao? Sitaki nikutukane. Mimi ni kijana mdogo wa miaka 24 ila baba zangu humu mna mawazo ya kitoto mno mpaka najiuliza sasa vijana tujifunze wapi.

We' mzee ni wa kuongea huo upupu? Whts kugeukwa by the way? Do you care?
 
Back
Top Bottom