Nilikuwaga mzembe sana miaka ile, kabla ya tukio hilo pale pale kahumba miaka ya 2007 nilipigwa nondo nikaporwa simu nzuri ziliitwa tnm za batan😂😂😂😂😂Unatakiwa upigwe makwenzi mengi sana.Askari unaachaje SMG/LMG kizembe hivyo?Wasomali wakapita nayo.
Nazungumzia Dar zimetapakaa km zote kitu km kwako vile kumbe umechukua per day Malaya akija ni mwendo wa selfie 🤳🏼 tu huku chupi inaendelea kuloaNazungumzia hizo apartment za kukodisha 'short time'.
Kumbe we ni Mzee wa Matukio 😂 AlubatiiiNilikuwaga mzembe sana miaka ile, kabla ya tukio hilo pale pale kahumba miaka ya 2007 nilipigwa nondo nikaporwa simu nzuri ziliitwa tnm za batan
Hii inaitwa don't try this at home akikuotea utalia km MbwaMmoja aliweka pesa ktk mkoba wa changudoa kisirisiri, demu usiku kaamka anaanza kusachi ili aibe aondoke, kakuta jamaa kalala fofofo, mabegi yake hayana hata mia.
Demu akaona huyu jamaa inamaana hata pesa ya kunilipa hana, itabidi amuamshe ili adai pesa usiku huo aone kama jamaa hana pesa ya kumlipa au kaficha wapi, jamaa alivyoamkq akamwambia demu lete mkoba wako, demu alijilaumu sana kukosa mapesa mengi vile, hakujua.
Kwahiyo zile 40M umepigwa mzeee?Wakuu hawa madada Poa sio Poa kabisa yaani Mimi mkulima wa ufuta ambaye almost miezi mitatu napambana na ufuta wanitapeli na kuniibia madada Poa wa morogoro wale washamba? Kweli simba ni simba hata akipakwa rangi ya pundamilia tu hapa juzi nilikuwa nawasifia madada Poa wa morogoro kumbe siku yangu Ulikuwa Bado?
Aisee baada ya mavuno Niliamua kwenda kuvinjari pale samaki samaki aisee nikamuona chick mmoja amejazia na ana minyama Sana wacha nidate mie mlima mfuta nikamset manzi nikaondoka nae kwwnye mark x yangu mpaka pale lodge x
Nilikuwa na kibegi changu kilikuwa na milioni kadhaa Sasa bwana usiku Mzima Ulikuwa mizagamuano tu kwa kwenda mbele Sasa bwana nilikuwa na kinywaji cha Heineken tulikuwa tunakunywa mule chumbani Sasa nikapitiwa na usingizi nahisi yule dada Poa akanitilia dawa nikalala mazima mpaka Asubuhi kujisachi kwenye begi langu hamna hela hata kidogo Wakuu aisee sio Poa kabisa ila Uzuri pesa nyingine niliweka bank nikangekuwa fambwa ningepigwa pesa zote
Kweli nimeamini simba ni simba tu hata ageuke swala yeye ni simba tu NAJUTA.
HaNesi mkunga katika one en two
Kwahiyo zile 40M umepigwa mzeee?
Watu watakuonea huruma kumbe unawanywesha tu kahawaKausha! Mbona unafungua code?
Ha
Mwenzangu hata sielewagi sometimes ni me sometimes ni ke.Is "it" a she and a male at a time?(nimeuliza kwa accent ya Leeds).
Kataka kuibiwa mwenyeweUnajifunza, malegendary siku hizi hatutembei na cash ni mwendo wa lipa namba tu, hata service chaji unamrushia na ya kutolea, kawalet unakuwa na senti mbuzi tu za kuzugia au dharura.
Chukuwa material hapa usiwe fala next time.
Unakumbuka kisa cha Adam Malima akiwa Waziri wa JK, cha kuibiwa akiwa hotelini hukohuko Morogoro?Wakuu hawa madada Poa sio Poa kabisa yaani Mimi mkulima wa ufuta ambaye almost miezi mitatu napambana na ufuta wanitapeli na kuniibia madada Poa wa morogoro wale washamba? Kweli simba ni simba hata akipakwa rangi ya pundamilia tu hapa juzi nilikuwa nawasifia madada Poa wa morogoro kumbe siku yangu Ulikuwa Bado?
Aisee baada ya mavuno Niliamua kwenda kuvinjari pale samaki samaki aisee nikamuona chick mmoja amejazia na ana minyama Sana wacha nidate mie mlima mfuta nikamset manzi nikaondoka nae kwwnye mark x yangu mpaka pale lodge x
Nilikuwa na kibegi changu kilikuwa na milioni kadhaa Sasa bwana usiku Mzima Ulikuwa mizagamuano tu kwa kwenda mbele Sasa bwana nilikuwa na kinywaji cha Heineken tulikuwa tunakunywa mule chumbani Sasa nikapitiwa na usingizi nahisi yule dada Poa akanitilia dawa nikalala mazima mpaka Asubuhi kujisachi kwenye begi langu hamna hela hata kidogo Wakuu aisee sio Poa kabisa ila Uzuri pesa nyingine niliweka bank nikangekuwa fambwa ningepigwa pesa zote
Kweli nimeamini simba ni simba tu hata ageuke swala yeye ni simba tu NAJUTA.
Ajali kazini...