Bongo senior
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 757
- 1,526
hivi si bora ungeomba codeWakuu hawa madada Poa sio Poa kabisa yaani Mimi mkulima wa ufuta ambaye almost miezi mitatu napambana na ufuta wanitapeli na kuniibia madada Poa wa morogoro wale washamba? Kweli simba ni simba hata akipakwa rangi ya pundamilia tu hapa juzi nilikuwa nawasifia madada Poa wa morogoro kumbe siku yangu Ulikuwa Bado?
Aisee baada ya mavuno Niliamua kwenda kuvinjari pale samaki samaki aisee nikamuona chick mmoja amejazia na ana minyama Sana wacha nidate mie mlima mfuta nikamset manzi nikaondoka nae kwwnye mark x yangu mpaka pale lodge x
Nilikuwa na kibegi changu kilikuwa na milioni kadhaa Sasa bwana usiku Mzima Ulikuwa mizagamuano tu kwa kwenda mbele Sasa bwana nilikuwa na kinywaji cha Heineken tulikuwa tunakunywa mule chumbani Sasa nikapitiwa na usingizi nahisi yule dada Poa akanitilia dawa nikalala mazima mpaka Asubuhi kujisachi kwenye begi langu hamna hela hata kidogo Wakuu aisee sio Poa kabisa ila Uzuri pesa nyingine niliweka bank nikangekuwa fambwa ningepigwa pesa zote
Kweli nimeamini simba ni simba tu hata ageuke swala yeye ni simba tu NAJUTA.
Ww n kiboko ukaendaje chuo mhasibu wa TYCS UKWATA KASFETAPole chief inaonekana bado hujafikia level ya kuwa mndewa kwenye tasnia husika,
Miaka hiyo! Nikiwa bado kijana wa makamo nasoma (advance) mwanza wilaya X shule X, nilikua na desturi nikifika stend enzi hizo stend ipo nata magari yanaingia usiku nilikua naenda sehemu moja hivi inaitwa makoroboi nang'oa mchuchu.
Sasa basi siku hiyo tuliingia Na bus night kali, wakati huo kulikua na viroba vya konyagi nilianza kuvinyonya maeneo ya Tinde kwaiyo mpaka nafika mwanza town nilikua nimeanza kuwaka. nikachukua room alaf kama kawaida nikaenda zangu makoroboi nakachagua pisi moja nyeusi tii na imeenda hewani hivi, namkumbuka hadi leo yule mwanaharamu.
Kilichotokea huko room baada ya kumaliza kuchakata mbususu nilipitiwa na usingizi wa ajabu uliosababishwa na ulevi, uchovu wa safari na uchovu wa kushindana na nilipotoka.
Nilipoamka asubuhi yule binti hakuwepo,
Kilichoniuma zaidi ni yule mshenzi aliondoka na nauli ya kunifikisha shule, Pocket money pamoja na ada enzi hizo tunalipa cash kwa muhasibu, na mimi nilikua kiongozi wa dini pale shule hivyo nilikua na michango ya graduation ya shule nayo alipita nayo.
Toka hapo sikulala tena na mademu wa kuokota mpaka sahivi, hivyo ndugu yetu apo na yeye kapata funzo.
A city mmetishaaaaaaaaHotel za Moshi na Arusha ukiingia na demu haruhusiwi kutoka mpaka upigiwe simu room kwako utowe go ahead ndio anaruhusiwa kutoka.
Inshort mademu wa Moshi Arusha hawana tabia za wizi, wanakuza utalii kwao.
๐น๐น๐น kubambiwa je hujawahi??Kuibiwa kupo mi nilikuwa naonaga wanaoibiwa simu kwenye mwendokasi malofa aisee na nilipigwa simu
ChaiMIMI mara ya Mwisho nililala na Melina nikafumua kuanzia Bafuni, tukahamia Sebleni tukarudi chumbani tukafuata Jikoni kisha tukaelekea dinning, kabla hatujaelekea kwenye parking yaan usiulize tulifuata nini na kote huko ni mwendo wa kuloweka tu full mimaji full kumwaga uji UJI mpaka Jogoo anawika
Ongea tena
๐น๐น๐น sio daftari la wapiga kura?Jichunguze vzr, wajakuchomeka sensa kwa nyuma kweli
๐น๐น๐น๐น๐น hatareeeeee sanaIlinikuta kahumba pale mwaka 2011. Nilichukua mdada fresh kabisa tukaenda gest pale pembeni, kwakuwa nilikuwa na hela nyingi na simu nikatundika suruali kwenye msumari wa mlangoni hela na simu vikiwepo.
Tukaenda bed kuanza libeneke,tulipiga game ya maana, demu akaanza kunikumbatia kwa nguvu huku analia , " mume wangu, mume wangu nipokeee, mume wangu nakojoaaa". Tukamaliza fresh.
Nikasema haya ngoja niondoke ( tulikuwa tumeshalipana kabla), nikaenda kutungua nguo yangu mlangoni niondoke... weee ile nazama mifukoni kucheki simu hakuna, pesa hakuna hata mia, na zilikuwa pesa za kununua vifaa site.
Namuuliza wewe pesa zangu zipo wapi? Anasema hata yeye hajui,si tulikuwa wote kitandani na hajaamka kabisa kama ninavyomuona( alikuwa bado kalala kitandani), tukawa tunagombana ndani mle, walinzi wa kimasai wakaja, wakanitishia kunichoma mikuki kama naleta fujo, demu akaondoka akaniacha ndani natafakari.
Nikaona sio kesi wacha niondoke zangu,nikatoka gesti kile kibarabara cha kutoka kahumba kutokelezea jengo la ccm.nikakuta wamejipanga wengi kikundi wanapena mchapo na yule changu akiwepo.nilipofika pale wakaangua kicheko, "heheeeee halo halooooo". Nilikasirika nikataka kuanzisha vurugu nikaona kuna mateja wamekuja kuwatetea nikaachana nao.
Ilivyokuwa... wakati yule changu kapandisha midadi kunibana kwa kumbato huku akinililia utamu kumbe huku nyuma changu mwingine alifungua mlango na kuingiza mkono kwenye mifuko ya suruali pale mlangoni na kuondoka na vilivyomo.
Tangu siku hiyo niliacha kwenda pale na miezi michache mbele nikaoa mke kabisa ili kuachana na huo ujinga wa kununua wanawake.
๐น๐น๐น๐น Baba ametoa, changu ametwaa.Pole chief inaonekana bado hujafikia level ya kuwa mndewa kwenye tasnia husika,
Miaka hiyo! Nikiwa bado kijana wa makamo nasoma (advance) mwanza wilaya X shule X, nilikua na desturi nikifika stend enzi hizo stend ipo nata magari yanaingia usiku nilikua naenda sehemu moja hivi inaitwa makoroboi nang'oa mchuchu.
Sasa basi siku hiyo tuliingia Na bus night kali, wakati huo kulikua na viroba vya konyagi nilianza kuvinyonya maeneo ya Tinde kwaiyo mpaka nafika mwanza town nilikua nimeanza kuwaka. nikachukua room alaf kama kawaida nikaenda zangu makoroboi nakachagua pisi moja nyeusi tii na imeenda hewani hivi, namkumbuka hadi leo yule mwanaharamu.
Kilichotokea huko room baada ya kumaliza kuchakata mbususu nilipitiwa na usingizi wa ajabu uliosababishwa na ulevi, uchovu wa safari na uchovu wa kushindana na nilipotoka.
Nilipoamka asubuhi yule binti hakuwepo,
Kilichoniuma zaidi ni yule mshenzi aliondoka na nauli ya kunifikisha shule, Pocket money pamoja na ada enzi hizo tunalipa cash kwa muhasibu, na mimi nilikua kiongozi wa dini pale shule hivyo nilikua na michango ya graduation ya shule nayo alipita nayo.
Toka hapo sikulala tena na mademu wa kuokota mpaka sahivi, hivyo ndugu yetu apo na yeye kapata funzo.
The town without ocean ๐น๐น๐นKama ni morogoro kwanza kwa ulifanywa we shukuru snaaa MUNGU wako angalau hata papuchi nayo umekula kuna wenzako wanapigwa hata papuchi hawapati na malaya wanajilipa wenyewe unabakishwa na pu......bu tu.
๐ Wanawake nyie wahuni sana yn ๐๐น๐น๐น๐น๐น hatareeeeee sana
Eti โmume wangu najojoaโ na wewe ukajiona KIDUME mwenyewe ๐
Nimecheka sanaโa hii kali
๐ Ww jamaa fala sana ynTukaenda bed kuanza libeneke,tulipiga game ya maana, demu akaanza kunikumbatia kwa nguvu huku analia , " mume wangu, mume wangu nipokeee, mume wangu nakojoaaa"
Kwamba hawakumsawazishia matuta yake ๐Haukufanyiwa budding?Maana ....!๐
Karibu JF๐น๐น๐น๐น๐น hatareeeeee sana
Eti โmume wangu najojoaโ na wewe ukajiona KIDUME mwenyewe ๐
Nimecheka sanaโa hii kali
Karibu sana JF๐น๐น๐น๐น Baba ametoa, changu ametwaa.
Jina la genye lihimidiwe
Wakati huo kuna wenzio wakifika ni kupoint tu wanashika na kuelekezea kibra Wewe unajilizaliza ukifika kamata na Wewe elekezea kibra usianze kujiuliza na kujilizaliza nani ananiona kwani anakusaidia kutomba mtoto wa kiume unajizungusha wenzio wanatomba, kamata tomba usianze kujiulizauliza sijui hapa nani ananijua hapa nani ataniona akikujua atakupa umtombe? Wewe ukipata angle kamata tomba. Fikria vizuri acha kua zezetaWadau Kuna kademu Ka chuo Nina wiki 2 nae mazoea tu ila nimeenda kwake kama mara mbili ila najikuta namshindwa KUMDINYa ila ishu nyingine ila ishu Kila nikimpanga aje kwangu kalenda nyingi ila kwake freshi naenda ila pale anapokaa najuana na watu wengi so nashindwa KUMDINYa kinguvu so wadau nipeni mautundu,
Namlaje huyu demu yaani nikienda kwake nakosa nguvu confidence hata nikipanga leo lazima nifosi ila najikuta nikifika kwake daah mambo yanakuwa mengi
Na shida nikimtongoza najua mambo yatakuwa mengi kuanzia kuhudumia huku mzigo unazungushwa
Umetukana mara nyingi kishenziWakati huo kuna wenzio wakifika ni kupoint tu wanashika na kuelekezea kibra Wewe unajilizaliza ukifika kamata na Wewe elekezea kibra usianze kujiuliza na kujilizaliza nani ananiona kwani anakusaidia kutomba mtoto wa kiume unajizungusha wenzio wanatomba, kamata tomba usianze kujiulizauliza sijui hapa nani ananijua hapa nani ataniona akikujua atakupa umtombe? Wewe ukipata angle kamata tomba. Fikria vizuri acha kua zezeta
Haya mambo si kwa ajili ya kila mwanaume, watuachie watoto wa mjini.A city mmetishaaaaaaaa
Wanakuza utalii ๐น๐น๐น