Najuta nikikumbuka nilivyokataa kuzima kamera ili wezi waibe mgodi wa Mzungu

Baada ya Acacia kuachia uongozi watu weusi chini ya operator Landgold imekuwa vituko sana , sisi watu weusi ni wezi mno .
Sasa angalia mpaka watu wanaiba wanaficha mabilioni tena senior managers Tu .
Mpaka wanahatarisha maslahi ya wafanyakazi wengine hasa waliokuwa chini ya contractors Maana contractors
WA drilling nk wanang'oa mashine kabisa na kupunguza wafanyakazi ,hii sio indication nzuri ,tabia za kipuuzi hizi
 
Bora kidogo cha halali kuliko kikubwa cha kukwapua ndugu! No regrets in Life
 
Shukrani za punda ni mateke....

Kuna kitu kimempa msukumo wa kujutia UZALENDO wake....
Anawaona wenzie waliokubali mchongo wanavyoponda maisha!
Yeye akaona kuliko mali ibaki nchini ni bora kwake azilinde mzungu azichukue azipeleke kwao!!
Anavuna alichopanda!
Atakufa masikini huku akijilisha upepo wa uzalendo.
 
Anawaona wenzie waliokubali mchongo wanavyoponda maisha!
Yeye akaona kuliko mali ibaki nchini ni bora kwake azilinde mzungu azichukue azipeleke kwao!!
Anavuna alichopanda!
Hii comment niliandikaga zamani SANAA.
Huu Uzi una makachero maana huwezi futa comment ukiandika nadhani ni kwa faida ya umma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…