Watu hawajawahi kubadilika...hii story itamtisha kidogo kwa siku mbili tatu baada ya wiki kashasahau anadunda mule mule. Ndivyo binadamu tulivyo.Na wao wanafanya ila wanawaza hawatashikwa. Ila kwenye jumbe na majadiliano Kama haya huwa watu wanabadilika!
unajuta wapi wewe , miaka 3 yote hukujua ulichokua unafanya dawa yako itakufikia utakoma na uache unaa na wako nae akiliwa unaenjoy sioPoleni na msiba wa kariakoo watanzania wenzangu.
Issue yangu iko hivi.kuna mwanamke ni rika langu tumekua nae toka utotoni huko kwa kifupi alikua ni my childhood sweetheart,so ktk harakati za maisha tukajikuta tumepotezana.tumekuja kukutana ukubwani tukiwa chuo kikuu tukayaendeleza yale mahusiano yetu lkn hayakudumu tukashindwana.
Tukapotezana tena na baada ya karibu miaka 10 hivi tukaja kukutana tena yeye akiwa kaolewa na mimi nikiwa nimeoa.kwa maelezo yake ni kwamba ndoa yake ilikua iko vizuri tu na mume wake alikua anampenda na kumjali kwa kila kitu,nikamshawishi baadae tukaanza kucheat,kwa kweli huyu mwanamke nikaanza kumdatisha as najua madhaifu yake,tumecheat kwa karibu miaka mitatu bila kushtukiwa na yeyote.sasa recently jamaa yake nadhani akashtukia kitu akaanza kufanya ujasusi kimya kimya akakamata mawasliano yetu.akambana mkewe na mkewe akakiri kila kitu ,hivi tunavyozungumza jamaa kamfukuza mkewe nyumbani tangu January mwaka huu.jamaa pia kanicheck mimi kanipa vitisho vingi mwishowe akaniambia ameniachia huyo mke nimuoe.sijapata bado mawasliano ya huyu ex wife wake nijue ana hali gani kwa sasa but najisikia vibaya sana kuivuruga hii ndoa ya huyu jamaa wakuu.
Najua kuonana na jamaa ni ngumu sana as yanaweza kutokea madhara makubwa,but natamani sana kumuomba jamaa msamaha na aelewe jinsi gani najutia hiki nilichokifanya.
Je wakuu nitumie mbinu gani kumfikishia jamaa msamaha wangu?
Duh!...Mtoa mada usikubali huu mtego...Tumia mbinu ya kuonana nae kama ulivyokuwa ukionana na mkewe...
Sio miongoni mwa hayo makabilaHapo SH usichezee mke wa mkinga na mpangwa
Watu hawajawahi kubadilika...hii story itamtisha kidogo kwa siku mbili tatu baada ya wiki kashasahau anadunda mule mule. Ndivyo binadamu tulivyo.
Ukiwa unacheat lazima ujiandae kisaikolojia kuwa hapa ikijulikana uwezekano wa kuachwa/kuuliwa ni asilimia 99. Wanawake wengi wanaocheat wameshajiandaa kwa hilo, ambae hajajiandaa ana matatizo ya akili.Duh nimefurahishwa na comment nyingi humu
Wanawake wajue kwamba hata Kama mwanaume anacheat na wewe Ila hapendi mwanamke anayecheat
Dah!...we jamaa una mrengo mkali sana wa kihafidhina kwenye mahusiano.Acha ufala wewe unajutia nini bwana. Kuwa mwanaume kamili hapo hamna vha kujjtia. Wanawake ni wetu sote ulichofanya ni kitu normal kabisa ata mke wake nae anapenda kutaste mambo tofauti.
Kwanza huyo mume wake bwege tuu. Dunia ya sada hakuna mwanamke au mwanaume wako peke yako. Thats the harsh reality. Mzeya wee endelea na maisha na wala usiombe msamahaa
Maungamo yana malipizi yake - kuwajibikia uovu wako.Hayo uliyoafanya kwanza ni makosa ya kibinadamu.
Kitendo pekee cha kujuta kufanya kosa, ndivyo ustaarabu unavyoelekeza kufanya na Mungu anapenda.
Ungama na kujuta dhambi hiyo kwa Mungu, ndiye atakayekusamehe na kuendelea kukubariki, si binadamu.
Kusema uende kwa jamaa ukaombe msamaha, hilo jambo halifai maana jamaa ataona hiyo ni gia ya kumpoza, ndipo ghadhabu na hasira zake zitapanda maradufu.
Hakikisha unapomuungamia Mungu wako, hilo jambo usilirudie kamwe, si kwa hao tu, bali kuingilia ndoa yoyote usije kufanya tena.
Mambo ya hawara yako na ndoa yake, wala usisumbuke kuvifuatilia, iachie dunia itaamua mustakabali wao, wewe endelea na mambo yako mengine.
Yeah! Kwamba oa sasa *****!Ila jamaa amefanya uamuzi mzuri wa kiume.
Wapo wanaobadilika lakini ni wachache. Na hii story inaweza isimbadilishe mtu yoyote...na kuna mtu humu aliyecomment baadae anaenda kumla mke wa mtuInasikitisha; Hauamini kabisa kwa Msaliti kubadilika? Unaamini pakitulia ataendelea?
Ni suala la kukubaliana na reality on the ground mzeya. Wake zetu wanagegedwa huko maofisini ni mwendo wa kushare tuu hizi mbususu. I am totaly against the falacy ya kwamba mwanamke hana matamanio ya kuonja de liboloz tofauti tofajti kama zie wanaume tunavyopenda kuonja mbusush tofauti tofauti. Huo ni ubinadamu na tuishi nao.Dah!...we jamaa una mrengo mkali sana wa kihafidhina kwenye mahusiano.
Umeona tulivyokuwa wanafiki. Mie ndio haya mambo ya ayonikera sometimes kuhusu sie wanaume.Hizi comments za humu zinafurahisha sana. Eti wanaume wote walio comment hapa kasoro mzabzab hawajawahi kabisa kula mke wa mtu, leo wana mkana mwenzao. Maajabu haya
Hebu nipishe...Umeona tulivyokuwa wanafiki. Mie ndio haya mambo ya ayonikera sometimes kuhusu sie wanaume.
Wee mke wa mtu akijilengesha mgegede bwana sii ndio anachokitaka na mnaenjoy wote.
Alafu ufala wa kumlawiti mwanaume mwenzio eti kisa mmeo kampa mbususu bila kubakwa ndio upuuzi katika upuizi wote duniani.
Anyways vipi mrembo. Sii tunakuta pale baadae nile tamuu ya mumeo😜
Mwanaume kusamehe kwa hayo mambo hua ni ngumuPoleni na msiba wa kariakoo watanzania wenzangu.
Issue yangu iko hivi.kuna mwanamke ni rika langu tumekua nae toka utotoni huko kwa kifupi alikua ni my childhood sweetheart,so ktk harakati za maisha tukajikuta tumepotezana.tumekuja kukutana ukubwani tukiwa chuo kikuu tukayaendeleza yale mahusiano yetu lkn hayakudumu tukashindwana.
Tukapotezana tena na baada ya karibu miaka 10 hivi tukaja kukutana tena yeye akiwa kaolewa na mimi nikiwa nimeoa.kwa maelezo yake ni kwamba ndoa yake ilikua iko vizuri tu na mume wake alikua anampenda na kumjali kwa kila kitu,nikamshawishi baadae tukaanza kucheat,kwa kweli huyu mwanamke nikaanza kumdatisha as najua madhaifu yake,tumecheat kwa karibu miaka mitatu bila kushtukiwa na yeyote.sasa recently jamaa yake nadhani akashtukia kitu akaanza kufanya ujasusi kimya kimya akakamata mawasliano yetu.akambana mkewe na mkewe akakiri kila kitu ,hivi tunavyozungumza jamaa kamfukuza mkewe nyumbani tangu January mwaka huu.jamaa pia kanicheck mimi kanipa vitisho vingi mwishowe akaniambia ameniachia huyo mke nimuoe.sijapata bado mawasliano ya huyu ex wife wake nijue ana hali gani kwa sasa but najisikia vibaya sana kuivuruga hii ndoa ya huyu jamaa wakuu.
Najua kuonana na jamaa ni ngumu sana as yanaweza kutokea madhara makubwa,but natamani sana kumuomba jamaa msamaha na aelewe jinsi gani najutia hiki nilichokifanya.
Je wakuu nitumie mbinu gani kumfikishia jamaa msamaha wangu?
Ndio ajute na kukaa kwa password mwanamke kamkalia kimya hapo ina maana amesharealize nani wa muhimu kwake. Huyu ameona hatafutwi so ule usweetheart aliokuwa anausema akijiona yeye ndio mwamba anaona tofauti sasa. Ukweli ndio huu na ndio inayomuumiza we unadhani huyo mwanamke angekuwa anamtafuta huyu jamaa angekuja kujiliza huku? Si ndio angekuwa anajiona mwamba na amepata ya burebure kabisa maana sio wa kuia na amemkubali jamaa??Ni kawaida kujuta baada ya madhara kutokea.
Hazina maana siku hiziKataa ndoa tumepata point 3 zingine