NAJUTA SANA: Nilizaa nje ya ndoa, mke wangu haniamini tena. Natamani siku zirudi nyuma

Inauma sana ila kusamehewa ndio kazi bro ila yameshamwagika hayazoleki jaribu kumwambia hivyo akuelewe
 
Huko kujutia na kujidogosha ndo kunakomwongezea credit, maana ni kweli umemwumiza so yeye anakukomesha. GIVE UP, MPOTEZEE.

Pambana na matokeo hayo, jali watoto wako, ilee familia yako kwa ukamilifu, hicho kdg utakachojaliwa ndo chako, usijilinganishe na watu wengine.

Akiona kuna haja ya kurudi kama zamani atakukalisha chini asipoona hivyo ndo inakuwa hivyo hadi mwisho.
 


Mwanamke mkubalie ume cheat endapo tu kakukuta uchi mmelaliana, na vimeingiliana.

Akikukuta uchi na mmelala havijaingiliana wewe goma kwamba asifikirie hivyo, uja cheat.

Wewe unaleta ushahidi home, blal gambush, itakugharimu for the rest of your life.

Mtoto wa nje msomeshe, akue huko huko kwa Mama yake, atazoea uzao wa uswazy maana hajui mwingine.

Omba Mungu, ndo namna pekee ya kurudisha mahusiano na mke wako, umeharibu mwenyewe.
 


Kwa hiyo Mungu kampa huu Mthihani? Jehovah Mungu uturehemu hata kwa maneno yetu.
 
Eti kuleta mtoto ni vizuri kuliko maradhi..kwa hiyo hapo anatakiwa ashukuru Mungu hakuletewa Ukimwi[emoji1787]

Haki acha tu wababa waendelee kuona kuchepuka hadi kuzaa ni haki yao..sio kwa mentality hii[emoji119]
Na siku yakiwakuta lawama kwa mke, uzuri visasi vya wanawake wanavijua akiamua hakosei

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo Mungu kampa huu Mthihani? Jehovah Mungu uturehemu hata kwa maneno yetu.
Kutmani nje ni mtihani wa wanaume na itabidi kuushinda ndo maana tunaambia tusizini tufanye tuoe.

Hapo kazini nje ya ndoa means mtihani umemshinda ila anaweza kuomba msamaha
 
Mchuma janga hula na wa kwao [emoji23]huyu mke ukute ameshajijengea lijumba walilopanga wajenge nacheka kama mazuri
Huyo alipopata taarifa kalia machozi na ndugu zake wakampa pole, haya dada yetu jipange umeshaanza kuletewa watoto huyo mmoja tu je waliofichwa [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
uzinzi haujawahi kumuacha mtu salama
 
Nikioa nitazingatia sana hili,hata hivyo mimi ni mtu wa kutosheka.Na inawezekana mkeo yupo hapo nawe kwa sababu ya watoto wake,vinginevyo!

Pole sana
 
Acha kulialia maisha yaendelee. Muache anune, so long us hajaomba talaka wewe kula maisha. Tena tafuta demu mkali mwingine zalisha
 
ninachoweza kusema... ulitoa BOKO Part I.... Ukabug ukatoa BOKO Part II... Pile sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…