Mfate mama yako akushauri tena kama ulivyomuomba mwanzoMkuu ndoa yetu ni ya kikatoliki,
Sexy tunaendelea fresh hajawahi kuninyima,
Ila ni ule ushirikiano wa kimaendelea ya familia ndo haonyeshi kabisa. Majukumu mengine kama mke anafanya fresh.
Ni ushirikiano hana kabisa na mimi, hata kunishauri kama mwanzo hakuna.
Umeyajuaje haya wewe mzee wa kataa ndoa?hakuna ndoa tena hapo
kaa tayari kwa tukio takatifu maana kwa visasi hao hawajambo
Mke wa pili kwa nani?Wewe kwa uandishi huu utakuwa mke wa pili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
EwaaaaMatatizo ni mawili tu hapo.
1. Kumtegemea mke katika kipato
2. Kuwa vuguvugu na kukosa akili ya mahusiano. (Walokole huwa na hili tatizo)
Suluhisho ni moja tu.
1. Kuwa mwanaume mwenye uwezo wa kujisimamia kifedha na kimsimamo.
Kila la heri.
Kama ndoa utapeli we ulipatikana vipi?,Kataa ndoa kwani ndoa ni utaperi
BroKaka kinachoniuma ni ule ushirikiano wa mwanzo ambao ulikuwa unaleta matunda kwenye familia , yani mafanikio makubwa , tulikuwa na ndoato kubwa Safi sana, Amini bro tulinunua kiwanja ili baadae tushishe mjengo mmoja.
Hayo yote yamekatika kaka,
Kupambana najitahidi sana mimi binafsi coz mimi ndio Baba wa famialia.
Ila kokosa ushirikiano hata wa mawazo kutoka kwa mke inaniuma sana.
Maana niliona mwanzoni mawazo yake na ushirikiano wake ulivyokuwa na mafanikio.
Anglia mwanao bro wanawake siyo wa kuwaamini maisha,Mkuu ndoa yetu ni ya kikatoliki,
Sexy tunaendelea fresh hajawahi kuninyima,
Ila ni ule ushirikiano wa kimaendelea ya familia ndo haonyeshi kabisa. Majukumu mengine kama mke anafanya fresh.
Ni ushirikiano hana kabisa na mimi, hata kunishauri kama mwanzo hakuna.
Ilikuwaje kaka tupeane uzoefu kidogoKastory kanafananq na changu ila tofauti mimi sijazaa nje
Huyo huyo uliye naye ha ha haMke wa pili kwa nani?
Kwani huyo aliyezaa naye sio mwanamke? Vipi kama alimbambikia naye kabeba na kwenda kumpa sonona mkewe, acheni ubnafsi.Bro
Anglia mwanao bro wanawake siyo wa kuwaamini maisha,
Usilolijua......
Vzuri
Wewe kwa uandishi huu utakuwa mke wa pili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]