Ustadh tongwe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2020
- 717
- 1,903
Behaviourist@Behaviourist msikilize huyu mat..k.oh
Kazi yake mola haina makosa" Guilty Consciousness "
hali hio watakuwa nayo wanamatusi wa humu na kwengineko dhidi ya ushujaa wa kamanda JPM.
Ina nguvu sana hio kitu itawaandama daima kwa matusi walio na wanayo toa kwa Baba yetu JPM ,its hard to escape from it
watajiona wanahusika moja kwa moja na kifo chake kama ilivyo kwako hapo sasa ( Mtakuja kujionea wenyewe )
Mkuu mat...k.oh yana hadhi kubwa sana.Huyu hastahili hata kuitwa mat....k.oh@Behaviourist msikilize huyu mat..k.oh
Pole sana! Inanikumbusha mimi miaka ya 90 mwanzoni. Nilikuwa nisafiri kwenda Dar bahati mbaya siku hiyo ndege ikaahirisha hai kesho yake. Basi ikanibidi nirudi zangu nyumbani. Ilipofika mida ya saa kumi na mja hivi, nikaamua kwenda sehemu kupata kiburudisha koo. Wakati naenda huko nilikutana na rafiki yangu, alikuwa akifanya kazi TRA, akataka niambatane naye, lakini akaghairi baadae kwani alidai ngoja aende kutazama sinema. Nilienda huko nilikokuwa nikienda na majira ya saa mbili usiku nilirudi zangu home. Nikiwa nimelala majira ya saa tano usiku niligongewa mlango, nikambiwa rafiki yako kachomwa kisu yuko hoi hospitali. Alichomwa kisu akiwa kabisa kakaribia nyumbani kwake mida ya saa nne akitoka kutazama sinema. Niliamka nikaongozana na majirani tukaelekea hospitali. Nakumbuka tulimkuta chumba cha daktari juu ya kitanda akiwa anakata roho. Na mimi nikamfunga macho!!!Wakuu Salaam,
Kama kichwa cha habari kinavyosema,
Niliwahi kuwa na rafiki yangu wa karibu sana,alikuwa sio mgonjwa au sikujua anaumwa. Tulikuwa tukikutana ana tabasamu zaidi ya mimi na muda wote alikuwa anafuraha mpaka mimi alikuwa ananishauri akiniona sina furaha.
Siku moja aliniambia anafikiria kujiua sikushtuka nikamshauri kidogo kama vile ushauri wa vijana, wiki mbili baadaye akajinyonga. Nimekaa na hili jambo muda mrefu sana lakini limegomakutoka kwenye nafsi yangu, sina furaha, najilaumu, ninahisi sikutimiza wajibu wangu sehemu fulani ambayo ukiniuliza ni sehemu ipi siijui lakini ninahisi kama rafiki yake nilifeli kumsaidia.
Huu ni mwaka wa 12 sasa naishi kwa maumivu makali sana na sijui nitajitoaje. Je, kuna mtu alishawahi kuwa katika mazingira kama yangu na alisahau vipi akawa na furaha na amani kama zamani?,Mimi nimeshindwa kutojilaumu! popote ulipo Suleiman Nisamehe!
Kama uliwahi kujutia kitu ambacho unahisi ungekifanya na hukukifanya hebu tirirka hapa tuone msaada unaoweza kupatikana.
Hembuuuu...?! sasa hii inahusiana nini na kujinyonga kwani JPM alisema anajinyonga na hatukufanya jambo kuepusha?" Guilty Consciousness "
hali hio watakuwa nayo wanamatusi wa humu na kwengineko dhidi ya ushujaa wa kamanda JPM.
Ina nguvu sana hio kitu itawaandama daima kwa matusi walio na wanayo toa kwa Baba yetu JPM ,its hard to escape from it
watajiona wanahusika moja kwa moja na kifo chake kama ilivyo kwako hapo sasa ( Mtakuja kujionea wenyewe )
Mkuu,mambo haya yanaumiza sana moyo,unahisi ungerudisha muda nyuma anagalau ufanye jambo la kumsaidia.Pole sana mkuu!Pole sana! Inanikumbusha mimi miaka ya 90 mwanzoni. Nilikuwa nisafiri kwenda Dar bahati mbaya siku hiyo ndege ikaahirisha hai kesho yake. Basi ikanibidi nirudi zangu nyumbani. Ilipofika mida ya saa kumi na mja hivi, nikaamua kwenda sehemu kupata kiburudisha koo. Wakati naenda huko nilikutana na rafiki yangu, alikuwa akifanya kazi TRA, akataka niambatane naye, lakini akaghairi baadae kwani alidai ngoja aende kutazama sinema. Nilienda huko nilikokuwa nikienda na majira ya saa mbili usiku nilirudi zangu home. Nikiwa nimelala majira ya saa tano usiku niligongewa mlango, nikambiwa rafiki yako kachomwa kisu yuko hoi hospitali. Alichomwa kisu akiwa kabisa kakaribia nyumbani kwake mida ya saa nne akitoka kutazama sinema. Niliamka nikaongozana na majirani tukaelekea hospitali. Nakumbuka tulimkuta chumba cha daktari juu ya kitanda akiwa anakata roho. Na mimi nikamfunga macho!!!
Hadi leo huwa najilauma na kujiambia endapo ningeongozana naye labda mauti yasingemkuta. Rest in eternal peace my friend T.
ThanksMkuu,mambo haya yanaumiza sana moyo,unahisi ungerudisha muda nyuma anagalau ufanye jambo la kumsaidia.Pole sana mkuu!
Asante mkuu kwa maneno yako ya faraja na ya kunizidisha nisonge.Nimejifunza mengi kutokana na kuondoka kwake,nimejifunza nichukue hatua kwa mtu mwingine akinishirikisha jambo kama hili tena.Kusahau ndio imeshindikana mkuu.Namuona hadi leo,nahisi kuna wajib sikuuitimiza katika kumshauri kwangu.mkuu pole kwa kubeba matatizo yasiyo kuhusu na unatembea nayo na yanakutesa haswaaaa
Kikubwa chukulia ushauri ulompatia ulikuwa sahihi sana ila jua kuwa kuna aina ya waomba ushauri wa aina hii;
1 kuna wale wanaomba ushauri na wako tayari kufanyia kazi ushauri wowote watakaopatiwa, maana huwa hawajui wafanye nini kwa wakati huo
2. kuna wale wanaomba ushauri ilihali wanamitizamo yao na huwa wanataka mtu wa kusarport kwa kile walichokifikiria yani, mtu anaomba ushauri ila anataka mtu ampe ushauri kulingana na jibu(mtizamo) alilo nalo kichwani mwake. mfano mtu anaomba ushauri ila ndani ya nafsi yake anaamini kujiua ndo ufumbuzi wa yotee, kwahiyo ukimshauri tofauti na kujiuo anaona ushauri wako hauna maana na ni ushauri usio na maana
Elewa hilo na chukulia alishakuwa na jibu lake ndani ya nafsi hata ka ungefanya jitihada gani
Kama alikwisha kufa msamaha unaoumba unapoteza muda wako,mgeukie Mungu wako akuondolee hiyo roho ya kujuta kwani mpaka hapo sioni kosa lako ni nini,wakati aliejiua ndio mwenye kosa mbele za Mungu.Wewe hata ungemshauri asijiue tayari mwenzako alikuwa na roho ya mauti inamfuatilia na kwakuwa hakusimama vizuri kiimani usingeweza kuzuia kujiua kwake...Wakuu Salaam,
Kama kichwa cha habari kinavyosema.
Niliwahi kuwa na rafiki yangu wa karibu sana,alikuwa sio mgonjwa au sikujua anaumwa. Tulikuwa tukikutana ana tabasamu zaidi ya mimi na muda wote alikuwa anafuraha mpaka mimi alikuwa ananishauri akiniona sina furaha.
Siku moja aliniambia anafikiria kujiua sikushtuka nikamshauri kidogo kama vile ushauri wa vijana, wiki mbili baadaye akajinyonga. Nimekaa na hili jambo muda mrefu sana lakini limegomakutoka kwenye nafsi yangu, sina furaha, najilaumu, ninahisi sikutimiza wajibu wangu sehemu fulani ambayo ukiniuliza ni sehemu ipi siijui lakini ninahisi kama rafiki yake nilifeli kumsaidia.
Huu ni mwaka wa 12 sasa naishi kwa maumivu makali sana na sijui nitajitoaje. Je, kuna mtu alishawahi kuwa katika mazingira kama yangu na alisahau vipi akawa na furaha na amani kama zamani?,Mimi nimeshindwa kutojilaumu! popote ulipo Suleiman Nisamehe!
Kama uliwahi kujutia kitu ambacho unahisi ungekifanya na hukukifanya hebu tirirka hapa tuone msaada unaoweza kupatikana.
pole sana, binafsi hakuna kitu huwa kinaniuma kama picha ya Patrick Lumumba mpambanaji wa Zaire, ile aliyopigwa wazungu wakiwa wamemkamata wamemfunga kamba na walikuwa wanaenda kumuua, hakuonekana hadi leo. it really pains, sijui waafrica tulikuwa wapi kipindi hicho. kuna watu wamezipigania sana hizi nchi, kwa damu, na wazungu walitufanyia unyama mkubwa sana.Wakuu Salaam,
Kama kichwa cha habari kinavyosema.
Niliwahi kuwa na rafiki yangu wa karibu sana,alikuwa sio mgonjwa au sikujua anaumwa. Tulikuwa tukikutana ana tabasamu zaidi ya mimi na muda wote alikuwa anafuraha mpaka mimi alikuwa ananishauri akiniona sina furaha.
Siku moja aliniambia anafikiria kujiua sikushtuka nikamshauri kidogo kama vile ushauri wa vijana, wiki mbili baadaye akajinyonga. Nimekaa na hili jambo muda mrefu sana lakini limegomakutoka kwenye nafsi yangu, sina furaha, najilaumu, ninahisi sikutimiza wajibu wangu sehemu fulani ambayo ukiniuliza ni sehemu ipi siijui lakini ninahisi kama rafiki yake nilifeli kumsaidia.
Huu ni mwaka wa 12 sasa naishi kwa maumivu makali sana na sijui nitajitoaje. Je, kuna mtu alishawahi kuwa katika mazingira kama yangu na alisahau vipi akawa na furaha na amani kama zamani?,Mimi nimeshindwa kutojilaumu! popote ulipo Suleiman Nisamehe!
Kama uliwahi kujutia kitu ambacho unahisi ungekifanya na hukukifanya hebu tirirka hapa tuone msaada unaoweza kupatikana.
Huyo nae hana muda,utasikia keshajipachika kitanziKuna jamaa nae leo ni mteja wangu sema kama baharia tu anapiga vibarua vya hapa na pale kaniambia anataka kujiua
Huyu lumumba alifanya nini mpaka akafa?pole sana, binafsi hakuna kitu huwa kinaniuma kama picha ya Patrick Lumumba mpambanaji wa Zaire, ile aliyopigwa wazungu wakiwa wamemkamata wamemfunga kamba na walikuwa wanaenda kumuua, hakuonekana hadi leo. it really pains, sijui waafrica tulikuwa wapi kipindi hicho. kuna watu wamezipigania sana hizi nchi, kwa damu, na wazungu walitufanyia unyama mkubwa sana.View attachment 1803578View attachment 1803579
hujasoma historia mzee, umeishia darasa la ngapi?Huyu lumumba alifanya nini mpaka akafa?
Kifo chake kilikuaje?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kafungue uzi wa malamiko huko tumechoka wamekufa wangapi hamkusema haya?" Guilty Consciousness "
hali hio watakuwa nayo wanamatusi wa humu na kwengineko dhidi ya ushujaa wa kamanda JPM.
Ina nguvu sana hio kitu itawaandama daima kwa matusi walio na wanayo toa kwa Baba yetu JPM ,its hard to escape from it
watajiona wanahusika moja kwa moja na kifo chake kama ilivyo kwako hapo sasa ( Mtakuja kujionea wenyewe )
Inaniuma sana hii na mimi?Huu ni usaliti wa waafrika mkuu!pole sana, binafsi hakuna kitu huwa kinaniuma kama picha ya Patrick Lumumba mpambanaji wa Zaire, ile aliyopigwa wazungu wakiwa wamemkamata wamemfunga kamba na walikuwa wanaenda kumuua, hakuonekana hadi leo. it really pains, sijui waafrica tulikuwa wapi kipindi hicho. kuna watu wamezipigania sana hizi nchi, kwa damu, na wazungu walitufanyia unyama mkubwa sana.View attachment 1803578View attachment 1803579
Aliyempiga picha mtoto wakati anahitaji msaada,akamuacha akaliwa na Tai.Picha ile ilimpa umaarufu sana yule bwana.Alikuwa anaitwa Kevin Carter,aliulizwa baada ya kumpiga ile picha mtoto ilikuwaje kilichoendelea?Cha ajabu hakuwa na jibu na ikajulikana jibu ni alimuacha afe,watu wakaunganisha kwamba aliliwa na tai baada ya yeye kuondoka bila kumsaidia!Wazungu Bhana!hii kitu usipokuwa makini inaweza kukukuta kama yule mpiga picha kule darfur sudan yaliyompataga
Marehemu alikuwa hana utimamu hata umteteeje" Guilty Consciousness "
hali hio watakuwa nayo wanamatusi wa humu na kwengineko dhidi ya ushujaa wa kamanda JPM.
Ina nguvu sana hio kitu itawaandama daima kwa matusi walio na wanayo toa kwa Baba yetu JPM ,its hard to escape from it
watajiona wanahusika moja kwa moja na kifo chake kama ilivyo kwako hapo sasa ( Mtakuja kujionea wenyewe )