Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,683
- Thread starter
- #301
Kumbe nutritonists mpo jamani si mngesaidia kujibu lol!!Well answered... I don't have anything to add here
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe nutritonists mpo jamani si mngesaidia kujibu lol!!Well answered... I don't have anything to add here
Kumbe nutritonists mpo jamani si mngesaidia kujibu lol!!
Kuna mtu nimemjibu kuhusu oligomenorrhea ambayo ipo classified kama amenorrhea isipokuwa amenorrhea inaweza kuanzia miaka 16 na hedhi inaweza ipotee zaidi ya miezi 6.Na jinsi inavyosababishwa nimeandika pia.Nikagusia polycystic ovarian syndrome(kupata viuvimbe/cysts vingi kwenye mayai) ambayo husababishwa na kuongezeka/disturbance ya homoni ya kiume(androgens) ambayo husaabishwa pia imbalance ya homoni nyingine kama estrogen. Hii hupelekea msawajiko ktk mfumo wa hedhi,kuota kwa ndevu au vinyoleo kwa wanawake,matatizo kwenye mfumo wa uzazi na hata kisukari(Diabetes Type II).Hali hio hujitokeza kipindi cha balehe mpaka miaka 19 na watu wenye tatizo hili mara nyingi wanasumbuliwa na uzito vilevile.
Tiba ni tofauti:
- Kama unataka ujauzito ni clomifen.
- Kupunguza male characteristics vidonge vya uzazi wa mpango vinaweza kutumika mf ethinylestradiol(vinasaidia kuweka sawa mfumo wa hedhi,NB:inachukua miezi 8 mpaka uone mabadiliko) au spironolactone(aldactone) na dexamethasone ili kupunguza production ya homoni za kiume.
- Kama una kisukari dawa za kisukari zinahusika mf metformin/Glucophage.Hizi itasaidia kucontrol kisukari na kupunguza uzalishaji wa homoni za kiume,kuuweka mfumo wa hedhi sawa,na hatimae kuongeza possibilties za kupata ujauzito.
Hellow wapendwa,
Nakaribisha maswali yoyote kuhusu dawa zozote zenye active ingredients (DRUGS). Kama una maswali kuhusu matumizi yake, matumizi yake pamoja na dawa nyingine, vyakula (interactions), athari zake (side effects) au hata kama unataka kujuzwa jinsi dawa inavyofanya kazi kutibu ugonjwa!!
Karibuni sana..
Nadhani tatizo lako unalijua mkuu...Unakuwa una anxiety na una stress jamiiana kabla?Hali hii ilishajitokeza au inajitokeza kwasababu hamjawahi kukutana kimwili!![/
hiyo anxiety sijajua maana yake na je, kuna dawa ya kukabiliana na hiyo hali
Nimekuwekea link naomba uisome inahusiana na swali uloliuliza !Pole na majukumu mimi naomba kujua tatizo la mtu kutokwa na jasho jingi husababishwa na nini au ana tatizo gani?
Sijawahi kuona doxylin ikitumika kwaajili ya infection kwenye mkojo/mafigo.Sijui daktari alokupatia tipa amechukua maamuzi hayo kwa minadhili gani lakini nakushauri uendelee na tiba ulopatiwa since umeshaanza.Dawa inayotumika kwa tatizo ulonalo ni trimetoprim-sulfametoxazol(septrin) au flourokinoloner kama cirpofloxacin au cephalosporines mf cefalaxin,cefuroxim n.k na tiba inatakiwa iwe ya siku 7-10.Nilienda kupima mkojo dr akaniambia ninabakteria na wameanza kushambulia figo,amenipa doxy za siku tano,je nitapona kwa hii dawa? Naomba Msaada wa tiba nyingine pia. Asante
Tiba ya Endometriosis ni aidhaUgonjwa wa endomestrium dawa yake ni nini
Athari ziko tofauti mkuu kutokana na aina ya tiba unayopata,muda wa tiba,umri wa muhusika na jinsia.Nakuorodheshea athari zinazoweza kuwapata jinsia ya kiume:Dr naomba kujua dawa ambazo zinaongeza hormone za kiume na side effects Zake, shukurani
Zinaweza kuwa athari za kawaida za dawa ambazo zinapotea ukimaliza tiba.Maliza tiba kisha utazame kama hali hio bado inaendelea!Dr nina tatizo la malaria nimetumia dawa ya mseto mwishoni mwa mwezi february 2015 nimepima tarehe 15 March nimekutwa tena na malaria na nimerudia dawa hiyo ya mseto tena
Kwa sasa sijisikii vzr !kichwa kinauma na viungo vinauma pia
Dr naomba ushauri wako-nifanyeje na nitumie dawa gani kukabiliana na tatizo hili
Nashukuru sana
Nimekuwekea link naomba uisome inahusiana na swali uloliuliza !
Bonyeza hapa
https://www.jamiiforums.com/jf-doct...wilini-mara-kwa-mara-chanzo-tiba-ushauri.html
Anxiety ni kama uoga au hofu flani.Tatizo lako ni la kisaikolojia zaidi.Hali hio imeanza hivi karibuni au ulikuwa hivo wakati wote??Nadhani tatizo lako unalijua mkuu...Unakuwa una anxiety na una stress jamiiana kabla?Hali hii ilishajitokeza au inajitokeza kwasababu hamjawahi kukutana kimwili!![/
hiyo anxiety sijajua maana yake na je, kuna dawa ya kukabiliana na hiyo hali
nipo hv mara nyingi, utakuta akiondoka ndio namuhtaji haswa, nashindwa kuelewa njia ya kujinasua na aibu hii, msaada wako mkuuAnxiety ni kama uoga au hofu flani.Tatizo lako ni la kisaikolojia zaidi.Hali hio imeanza hivi karibuni au ulikuwa hivo wakati wote??
Nutritionists watakuwa na ujuzi zaidi wa hili au trainers!!Kwa watu wanaofanya mazoezi makali hawahitaji zaidi 2g per body weight of protein per day.Ukitumia zaidi ya kiwango hiko hutanufaika na chochote.Ni muhimu pia ukitumia vyanzo asilia vya protein kama nyama,samaki,kuku,mayai n.k
Ni muhimu pia kula vitu vyenye protein kabla na baada ya mazoezi changanya na carbohydrates + maji ya kutosha,kwasababu carbohydrates(mf mtindi/peanutcream/mkate) inaongeza release ya hormone ya insulin mwilini ambayo inasaidia misuli kuchukua amino acids kutoka kwenye proteins.
Ukizidisha kiwango cha protein kukithiri haswa inaongeza risk ya mtu kupata matatizo ya moyo na high cholesterol.