OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
poa nimekusoma, am waiting for response! tunatumia text, niliweka msisitizo nikidhani hujaniona, ila sio kwamba sina subra.Narudia tena nitakujibu nikiwa na wasaa wa kukujibu kama tatizo lako ni la dharura wahi hosp iliyo karibu yako!Wewe mwenyewe huna utashi wa kufikiri kama unatakiwa uwe na subira?
Mungu akubariki
