Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

Dr. Naomba ushauri kwenye bandiko hili!

Dr. Mke wangu hakuona siku zake na alipofanya 'pregnancy test' ilikuwa positive. Akashauriwa kutumia 'Misoprostal' vidonge vinne ambapo viwili alimeza na viwili alivitumbukiza ukeni. Usiku akaingia hedhi lakini damu ilitoka kwa kiwango kidogo sana. Baada ya siku 6 hivi akapima tena bado jibu likawa positive. Akatumia tena jana. Akaona tena hedhi damu ilikuwa nyingi kiasi lakini ilitoka kwa muda mfupi. Leo amefanya tena kipimo na jibu ni positive. Matukio yote haya yamefanyika ndani ya majuma mawili haya. Baada ya kuwasiliana na tabibu, pamoja na mambo mengine alimshauri kutumia tena lakini atumie wakati wa kulala.

Sasa, swali langu je ni ipi njia sahihi ya kutumia hizo dawa? Na, je, ni sawa akiirudia?

Natanguliza shukrani.

#Kaka

Mabandiko yangu haya hujayajibu bado na nasubiri majibu. Natanguliza shukrani.
 
Namshauri mama akacheki ugonjwa wa moyo(STABLE ANGINA PECTORIS).Dalili zake ni kuumwa na mkono na kufa ganzi kama unavyoeleza,na kuhisi kama kuna umeme unatembea kwenye mkono.Je ana matatizo kwenye kupumua na anasumbuliwa na mgongo na kiuno?anachoka akifanya activity yoyote nzito kama kupanda ngazi?kupanda kilima?
hata mamaangu anasumbuliwa na jambo hilo mkuu. akapima na kuambiwa ni ugonjwa wa baridi
 
Asante mkuu..ila ningeomba maelekezo ni hospitali gani kwa Dar naweza kupata Dr bingwa wa magonjwa ya koo ili niweze kwenda maana kikohozi kinanitesa na ni muda mrefu sasa.Natanguliza shukrani
 
Kikohiozi ni kikavu wala hakina makohozi ila kwasababu ila asubuh ninapopiga mswaki nakuwa kama nataka kutapika yanatoka some sort of makohozi yakiwa yamechanganyika na damu .hili linanipa wasiwasi.naomba msaada wako mkuu
 
Naamini alivyoshauriwa na daktari ndivyo alivyopaswa kuvitumia!Mimi sitaki kujihusisha ktk hili!Anatoa mimba kwaajili gani?
Mambo dokta?nini dawa/tiba ya mwenye tatizo la kujaa mate mdomoni anapokuwa kalala.usafi wa kinywa unafanyika sana atumie dawa gani
 
Prednisolone ni sythethic glucocorticoid ambayo inafanya kazi kwa kustimulate glucocorticoid receptor iliyopo kwenye cells tofauti za mwili.Glucocorticoid inapunguza inflammation response:Inapunguza inflammation kwa kupitia vyanzo kadhaa mfano inapunguza release ya chembechembe zinazosababisha inflammation itokee.
Glucocorticoid inatengenezwa pia mwilini kwenye adrenocortopic hormone.Ukiwa unatumia glucocorticoid bila mpangilio hasa systemic inasababisha negative feedback kwenye kwahio uzalishaji wake kwenye pitutary glands una pungua.Unaweza kuepka hilo kwa kula dawa wakati wa asubuhi kwasababu production ya cortisol mwilini inakuwa juu asubuhi ili kuepuka adrenal suppression.Na ukiwa unataka kuacha kutumia dawa unaacha kwa kuwithdraw taratibu kwa wiki kadhaa,ukiacha ghafla tu mwili hautopata muda kwa kuanzisha utengenezaji wa glucocorticoid kama awali kwenye pitutary glands na inaweza kupeleka dalili za ukosaji wa glucocorticoids ambayo hupeleka maumivu kwenye joints and muscles.
Glucocorticoid inafanya kazi kwenye baadhi ya viungo kama mifupa inazuia osteoblast kwenye bone tissue na kupeleka kuongezeka kulika kwa bone tissue na kupeleka kusababisha ugonjwa kama OSTEOPOROSIS ni sideeffect mmojawapo ya matumizi ya glucocorticoid kwa muda mrefu.Na ndio maana tunashauri ukiwa unatumia prednisolone kwa muda mrefu ule calcium tablets with vitamin D[SUB]3[/SUB] ili kuepuka chances za kupata Osteoporosis,Calcium inasaidia kujenga mifupa kuwa imara na Vitamin D[SUB]3 [/SUB]inaongeza absorption ya calcium kutoka kwenye utumbo mpana.
Effects nyingine ni kama metabolic effects:Kuongezeka kwa sukari(bloodsugar),Tendency ya kupata infection haswa ukiwa unatumia dozi kubwa inasababisha immunosuppressive effect.Na kuongeza tendency ya kupata viralinfecton kama herpes au fungiinfection kama candida.
Side effects ziko tofauti nimeshaorodhesha osteoporosis na high bloodsugar/diabetes juu lakini ukumbuke zinapatikana baada ya matumizi ya muda mrefu na nyingine ziko kwenye picha niloiweka.
View attachment 236146
Dawa hii inatumia kutibu magonjwa mengi mno kuanzia astma/chronic obstructive pulmonary disease,allergies,reumathoid arthithis,mpaka cancer(in combination with other drugs).Kama ilivyo kila dawa kuna faida na kuna hasara.Tukipata tiba tunaipa kipaumbele afya yetu na ugonjwa unaotukabili.Side effects zina variety na ziko individual si kila mtu atapata athari nilizoorodhesha ila ni possibilty.Usiache kutumia dawa bila kushauriana na watu wa afya.Uwe na siku njema.
Doctor
#gorgeousmimi ... on the side effects hiyo diabetic impact is it permanent au temporal I once used this med..I ended up urinating frequently nlivoacha nikarudi katika hali ya kawaida... I was prescribed of a almost one week n something dosage...
 
#gorgeousness
reason for being prescribed of this medicine was I had a patch n still it is on skin a round one more darkish (like mtu alovilia dam) compared to my skin It started as a lil one as it is on the one side of my back the time I noticed it thought it would disappear... a time passed likely months if nat a yr ahead I noticed it has increased in size hapaumi wala hapa washi papo tuu.. what could possibly be the problem.
Thank you.
 
DR hivi ni tiba ipi nzuri kwa mtu aliyekua na vijipande vya mawe katika figo na mtu kama huyu ana hitajika asitumie vyakula gani ili kuweza kutatua tatizo na nini chanzo cha huu ugonjwa.......
 
Kikohiozi ni kikavu wala hakina makohozi ila kwasababu ila asubuh ninapopiga mswaki nakuwa kama nataka kutapika yanatoka some sort of makohozi yakiwa yamechanganyika na damu .hili linanipa wasiwasi.naomba msaada wako mkuu
Hio ni dalili mojawapo ya cancer ya mapafu mkuu please wahi hosp mm siwezi kukusaidia zaidi ya nilivyokusaidia.Kila la kheri!!
 
Doctor
#gorgeousmimi ... on the side effects hiyo diabetic impact is it permanent au temporal I once used this med..I ended up urinating frequently nlivoacha nikarudi katika hali ya kawaida... I was prescribed of a almost one week n something dosage...
Yah it is a sideeffect.How serious the side effect is inategemea na muda uloutumia dawa na kiasi ulichotumia.But in your case its just temporal.
 
Nitakujibu nikiwa na nafasi una haraka sana nenda hosp iliyokaribu yako.Ahsante!
labda uniambie utanijibu.......ila kusema nina haraka na ka vipi niende kwenye hosp iliyokaribu naona kama umekuwa-harsh kwangu.unless otherwise ungebadili heading ukasema wenye matatizo waende kwenye hosp zilizokaribu nao.btw am sorry for disturbing.
 
labda uniambie utanijibu.......ila kusema nina haraka na ka vipi niende kwenye hosp iliyokaribu naona kama umekuwa-harsh kwangu.unless otherwise ungebadili heading ukasema wenye matatizo waende kwenye hosp zilizokaribu nao.btw am sorry for disturbing.
Narudia tena nitakujibu nikiwa na wasaa wa kukujibu kama tatizo lako ni la dharura wahi hosp iliyo karibu yako!Wewe mwenyewe huna utashi wa kufikiri kama unatakiwa uwe na subira?
 
Back
Top Bottom