Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukizidisha matumizi ya omeprazole kuliko kawaida overodose unapatwa na dalili za mapito kama kichefchef,kuumwa na tumbo,kizunguzungu,kutapika,kuhara,kuumwa na kichwa,depression na hata kuchanganyikiwa!Hongera kwa uzi huu, hakika unatoa faida kubwa, madhara gani hupatikana kwa kukithirisha matumizi ya Omeprazole?
inawezekana!gorgeousmimi nilikwenda pharmacy kutafuta hiyo misoprostosol wakakataa kuniuzia ni lazima cheti cha daktari?
wapi nitapata librium aka chlorodiazepoxideHellow wapendwa,
Nakaribisha maswali yoyote kuhusu dawa zozote zenye active ingredients (DRUGS). Kama una maswali kuhusu matumizi yake, matumizi yake pamoja na dawa nyingine, vyakula (interactions), athari zake (side effects) au hata kama unataka kujuzwa jinsi dawa inavyofanya kazi kutibu ugonjwa!!
Karibuni sana..
Diazepam iko classified kama benzodiazepinederivate. Benzodiazepines zinajiunga kwenye receptor mwilini iliyopo kwenye ubongo inayoitwa GABA-receptor.
Na inasababisha muongezeko wa inflow ya chloride ions kwenye nervecells.Matokeo yake inapooza baadhi ya parts za ubongo. Hali hio inaweza kuleta;
Pshycological effects: Nazo ni anxiety withdrawal au sedative effect (kusaidia mwili urelax kama mfano unatakiwa kufanyiwa surgical procedure)
Hypnotical effect: Inachosha ubongo kwahio inaweza kutumika kama sleeping inducer (dawa ya usingizi), Au inaweza kutumika kama muscel relaxer na kusaidia na cramps/spasms!
Tumia Hydrocortison cream in a thin layer mara mbili kwa siku kwa muda wa wiki moja/ mbili.pia kuna mtu ana ile cjui ni fangas ambayo wanaitaga utango tango ndo imemuanza maeneo ya usoni,anaweza kutumia dawa gani
Pole sana mkuu sidhani kama tatizo lako naweza kukusaidia kwasababu liko nje ya uwezo wangu.Dokta nilivunjika mguu mifupa yote miwili 27/8/2004, muhimbili walinitibia vbaya, mguu mpaka leo bado unauma Mara moja moja. Cwezi kukimbia wala kuvaa viatu vyenye visigino virefu kiasi. Nitumie dawa gani dokta?
Namshauri mama akacheki ugonjwa wa moyo(STABLE ANGINA PECTORIS).mama anasumbuliwa na maumivu ya mkono kuanzia kwnye bega mpaka mwisho,pia unawasha kwa ndani na unakufa ganzi, umri yuko kwenye 50's
Mkuu anakohoa wakati gani na je anapata shida(exertion) kupumua akikohoa?Huu Uzi nimeupenda sana...nini dawa ya dry coughing ?mgonjwa ana kama 3yrs ameshatumia dawa za vikohozi nyingi napia dawa za minyoo kikohozi kinatulia muda mfupi kinaanza tena.
Njia ya uzazi wa mpango inaweza kusaidia tatizo kama lako lisitokee. Au endelea kutumia dawa za maumivu kama ulivyoshauriwa na daktari lakini unapaswa kufanya hivo kila mwezi ukipata hedhi.Doctor nasumbuliwa sana na tumbo nikiwa mp hata kazi siwezi kufanya naweza tumia dawa zipi ili niweze kuondoa tatizo permanent ikishindikana hata temporarily nimechoka na hii hali kwa kweli
Typing error...= muscle
Nyuzi kama hizi ndiyo zenye maana, zina faida kubwa sana kwa jamii na zitatufundisha mengi wengi.
Ahsante sana mleta mada.
Nitakujatia magonjwa tofauti yanayoweza kupeleka mtu kupatwa na kikohozi kikavu kwasababu mm sijui mhusika amepata tiba gani mpaka sasa,kama ana magonjwa mengine au ni mvutaji wa sigara au kama yupo exponated na vumbi/moshi n.kSiyo mtoto ni MTU mzima .miaka mitatu anakohoa akipumzika ni kama wiki au mwezi anaanza tena.hana tatizo la kupumua na minyoo pia hana.