Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu anaemia zipo aina tofauti kama nilivyokujibu awali inaweza kusababishwa na blood loss(mfano kutokana na kujifungua,vidonda vya tumbo,matumizi ya baadi ya dawa n.k), mapungufu ya uzalishaji wa chembechembe nyekundu za dam(mf. erytropoetin hormone inayotengenezwa kwenye figo ili kustimulate uzalishwaji wa chembechembe nyekundu kutoka kwenye bone marrow haiwajibiki ipasavyo) au kuharibika kwa chembechembe nyekundu za dam kwasababu zinatengenezwa zenye kasoro(sickle cell anemia)!
Haemoglobin ikiwa chini ya 13g/dL cells za mwiloihazitopata oxygen ya kutosha.Na dalili mojawapo ni mwili kuchoka ni kwasababu viungo vya mwili vinakosa mahitaji muhimu ili vifunction ipasavyo.
1:Mkuu,naomba kujua kama kuna permanent pharmacological remedy for masterbation-induced premature ejaculation,loss of morning erections and weak erections2:Ni astringent gani nzuri itumike in management of external hemorrhoids
Ahsante mkuu...have a lovely weekend too!Dear Gorgeousmimi,
A token of appreciation from me.
Have a good weekend. Stay blessed.
View attachment 236437
Mkuu kumbuka njia ya hewa iko karibu na njia ya chakula kwahio si jambo laajabu kilichopuani kwenda mdomoni mf ukikosea kula ukipaliwa punje ya wali inaweza itokee kwa njia ya hewa.Ninatatizo aleji ya vumbi,pua zinawasha kupita maelezo+chafya za nguvu kila mara mpaka kichwa na macho vinauma na kupoteza nguvu ya kuona+kamasi sisizo kauka+harufu mbaya ya kamasi na pua kwa ujumla na kunakipindi niliwahi kutoa kamasi zenye mchanganyiko na damu kwa njia ya mdomo.inasabashwa na nn?Na Nini tiba yake?
Mkuu kumbuka njia ya hewa iko karibu na njia ya chakula kwahio si jambo laajabu kilichopuani kwenda mdomoni mf ukikosea kula ukipaliwa punje ya wali inaweza itokee kwa njia ya hewa.Allergy inasababishwa na allergens inapojiunga kwenye IgE-antibody na inapostimulate mastcells kuproduce inflammatory substance like histamine.Histamine inasababisha tunapata allergic reaction!Allergens ni vitu kama vumbi,vyakula n.k!Na ndio maana tukiwa na allergy tunatakiwa tutumie anti-histamins kama cetirizin,loratadin,kestine/ebastin,desloratadin au phexofenadinhydrochloride!Kama una running nose na macho yanaewashwa unapaswa kutumia cortison nostril spray ili kupunguza inflammation kwenye pua au antihistamin nostril spray na antihistamin eyedrops kwaajili ya macho yanayowasha!
Mkuu salito,Hali ya mkeo kula udongo na mchele mbichi kipindi cha ujauzito ni carving inayotokana na ujauzito.Ni aghalabu kushauri tiba kwa wajazito kama wanaafya njema na wanatatizo kama la mkeo.Mjamzito anapaswa apate tiba pale tu inapoidi kwa sababu afya yake ni muhimu na ugonjwa wake unaweza kuwa na madhara kwa mtoto.Ningependa kama ungefunguka zaidi je mkeo ana washwa ukeni?amekuwa mwekundu kwenye eneo la uke?
Kuna mtu ameuliza juu kuhusu dawa ya genital warts naomba uscroll ukasome!
Asante kwa mada hii
Nina maswali
1. Nini dawa ya constipation?
2. Nina ndugu yangu mwanamke amejifungua mwezi mmoja uliopita anapata constipation ambayo inampelekea kutokwa na damu wakati wa kujisaidia haja kubwa, tatizo ni nini? dawa gani zitamsaidia kumbuka ananyonyesha?
3. Madhara ya constipation na/au hemmoroids ni yapi kwa mwanamke?
send to: @gorgeousmimi, Riwa, MziziMkavu na wengine wote wenye ujuzi bila ubaguzi
Inaweza kutumika kwenye warts zilizosababishwa na human papilloma virus!Ili kupata warts si lazima uwe umezini skin contact is enough to transmit it!OK nimeona ukishauri dawa iitwayo condolyine/wartec. Nina swali bado kuhusu hili, warts ni magonjwa ya zinaa lakini hii ya pearly penile papules haiambukizi na haihusiki na magonjwa ya zinaa, sasa unaimanisha hiyo dawa inatibu kotekote? Thanks
Ana fungus kwenye uke!Atumie clomatrizol 1% ointment + vaginal tablett !kuhusu kula udongo ni craving anayotakiwa aache coz udongo si kitu kinachohitajika kwenye mwili wa mwanaadamu hasa kwenye utumbo mpana/appendix thats a foreign substance!Hapana docta,mke wangu sio mjamzito ila kula udongo na mchele mbichi ndio kawaida yake,hapana kwenye uke hakujawa kwekundu,ila anasema anawashwa kidogo sio sana.