Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

mie tatizo langu ni chafya.
sina mafua kabisa ila per hour Zinafika hata kumi.
zinanifanya pia kichwa kuuma.
je kuna tiba?
Kuna uwezekano una allergy nakushauri uchukue allergy test hosp!
 
Natokwa na vinundu usoni cha ajabu haviumi hata uvibinye kwa nguvu je ili tatizo lasababishwa na nini
 
Yaani katika siku nimefurahi kuwa JF ni leo....na nina furaha sana kwamba ni Mwanamke amenifurahisha hivi.Ubarikiwe sana na Mwenyenzi Mungu Gourgeousmimi, Mungu azidishe moyo huu. Am so proud of you.Tuonekane kwa mazuri zaidi ya jinsia yetu.
Thanks lovely Michelle for you encouragement and support!!
 
Last edited by a moderator:
Kaka nasumbuliwa jipu kwenye kwapa.. nilienda hospital wiki iliyopita nikapewa dawa inaitwa ampoxin nikaitumia jipu likaisha but wiki hii naona kama tena linaanza.. kuna dawa nyingine naweza kutumia lakin isiwe sindano..Natanguliza shukurani
Ndio unaweza kula antibiotic ya kumeza inayoenda kwenye whole system na fucidin cream kupaka eneo lenye jipu!
 
Mtaalam, nimewahi kujichua(punyeto) na nafika kileleni mapema sana( ndani ya dk 2) pia uume hausimami vizuri wakati wa kurudia tendo. je nifanyeje nguvu zangu za kiume zirudi kama kawaida? Kiukweli mara nyingi simfikishi mke wangu kileleni
 
Hellow wapendwa,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu dawa zozote zenye active ingredients (DRUGS). Kama una maswali kuhusu matumizi yake, matumizi yake pamoja na dawa nyingine, vyakula (interactions), athari zake (side effects) au hata kama unataka kujuzwa jinsi dawa inavyofanya kazi kutibu ugonjwa!!

Karibuni sana..

Dr.naomba kujibiwa swali langu,nasumbuliw na fungus wa mdomoni yan umekuw mwekundu(mdomo wa chini) na nikila pilipili au mboga ya chumvi nyingi unazid kuw mwekundu na siku hizi kooni kuna washawasha nataman kuw nameza mate kla mara, halaf mikono na miguu ilianza kupooza km ganzi nmeenda hospitalin nikapew dawa ya ugonjwa wa kuparalyze.

Dr.naomba uniokoe,ni miaka kama nane mpaka sasa,toka 2007 na ulianza kwa kuchanikachanika nikawa nacngzia jua,lkn madhara yake yakaja kuw kama ninayoyasema. So naomba unisaidie tatzo ni nn na tiba yake nn ? Ili niweze kuondoa tatzo hili. Nmetumia dawa nyng mno.

Hope you are going to help me. To sincerely thanks you doctor,is my pleasure.
 
Asante kwa mada hiiNina maswali 1. Nini dawa ya constipation?2. Nina ndugu yangu mwanamke amejifungua mwezi mmoja uliopita anapata constipation ambayo inampelekea kutokwa na damu wakati wa kujisaidia haja kubwa, tatizo ni nini? dawa gani zitamsaidia kumbuka ananyonyesha? 3. Madhara ya constipation na/au hemmoroids ni yapi kwa mwanamke?send to: @gorgeousmimi, Riwa, MziziMkavu na wengine wote wenye ujuzi bila ubaguzi

Pole kwa kukusubirisha dia,Maswali yako yanahitaji majibu yenye maelezo mengi ndio maana nikachukua muda nilotulia ili kukujibu.

Dawa za constipation zipo tofauti kutokana na aina ya constipation,umri wa mtu na sababu za constipation.

Constipation inasababishwa na kupungua kwa bowel movements kwasababu ya kukosekana kwa fibers za kutosha kulainisha choo au kutokuwa na fluids za kutosha kwenye utumbo mpana.

Constipation imegawanyika katika makundi mawili makubwa nayo ni Primary constipation au secondary consitpation.

  • Primary constipation inasababishwa na mabadiliko katika lifestyle mfano hunywi vimiminika vya kutosha,kutokula vyakula vyenye fibers nyingi,kutokuwa physically active au ukiwa na irritable bowel syndrome.
  • Secondary constipation inasababishwa na kuwa constipate kwa muda mrefu na inatokana na magonjwa kama cancer coli,hormon and electrolye imbalance as well as drugs like opoids.Dawa kama opoids(morfin,codein like ukila kwa muda mrefu daily unaondokana na constipation.
  • Kuna tiba tofauti nazo ni:

  1. Emollient agents:Hizi agents zinajiunga na maji yaliyopo kwenye utumbo mpana na kuongeza volume ya contents zilizopo kwenye utumbo na kulainisha choo.Inachukua siku kadhaa mpaka upate choo cha kawaida na inaweza kutumika kwa muda mrefu bila ya kuwa na madhara kwenye mwili.
  2. Hyperosmotic laxatives:Hizi products zinasaidia kuzuia maji kwenye utumbo yasiwe absorbed kwenye mwili yaani vina absorb,kuongeza contents ziliopo kwenye utumbo na hence kuongeza colonic peristalsis mfano ni lactulose,
  3. Stimulant agents :Hizi agents zinafanya kazi kwenye kwa kujiunga kwenye receptor iliyopo kwenye utumbo.Zipo in tablets and supporitory form,Supporitory inafanya kazi within 20mins,tablets within 12hrs na inapaswa ule usiku ili upate choo siku ya pili yake.Dawa hizi hazitakiwi zitumike kwa muda mrefu kwasababu zinaweza kusababisha utumbo kutengeneza addiction. mfano bisacodyl,senna extract
  4. Lubricant agents:Hizi ni agents zenye kama mafuta mfano paraffin zinasaidia kulainisha choo
  5. Bulk-forming agents:Inaweza kuwa matunda yalokaushwa,whole grains(lin seeds, n.k Vitu kama hivo vinalainisha choo na kusaidia kutoka kwa urahisi
  6. Enema:Hizi ni fludis zinazoweka kwenye sehem ya hajakubwa,ziko chupa kubwa na ndogo.Kubwa ni kwaajili ya kuempty haja zote hasa kama uenda kufanyiwa examination ya utumbo.Ndogo zinatumika kwaajili ya kusaidia choo kitoke kwa urahisi.Ziko zenye mafuta pia. mfano(bisacodyl,microlax, lauryl sulphate,glycerol)
enema.jpg

Dawa ninayomshauri kutumia ni lactulose au bulk forming agents kwasababu ananyonyesha akila dawa zingine kuna uwezekano ziende kwenye maziwa.Inachukua muda kama wa siku 2-3 kabla hajapata effect ya lactulose.

Namshauri pia ni vyema akinywa vimiminika vya kutosha na kula vyakula vyenye fibers nyingi.

Hali ya yeye kutoka damu ni kiashiria kama choo ni kigumu na inawezekana ana bawasili(haemorrohid).Anaweza kutumia alcos-anal haipiti kwenye maziwa mtoto akinyonya.
 
Hellow wapendwa,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu dawa zozote zenye active ingredients (DRUGS). Kama una maswali kuhusu matumizi yake, matumizi yake pamoja na dawa nyingine, vyakula (interactions), athari zake (side effects) au hata kama unataka kujuzwa jinsi dawa inavyofanya kazi kutibu ugonjwa!!

Karibuni sana..

Moyo huu~ukarimu huu~upendo huu ni mkubwa!Shule hii na ufahamu huu kwenda kwa jamii ni sadaka tosha!Mungu akubariki na kukuongoza kwa yote!
 
Dr.naomba kujibiwa swali langu,nasumbuliw na fungus wa mdomoni yan umekuw mwekundu(mdomo wa chini) na nikila pilipili au mboga ya chumvi nyingi unazid kuw mwekundu na siku hizi kooni kuna washawasha nataman kuw nameza mate kla mara,halaf mikono na miguu ilianza kupooza km ganzi nmeenda hospitalin nikapew dawa ya ugonjwa wa kuparalyze. Dr.naomba uniokoe,ni miaka kama nane mpaka sasa,toka 2007 na ulianza kwa kuchanikachanika nikawa nacngzia jua,lkn madhara yake yakaja kuw kama ninayoyasema. So naomba unisaidie tatzo ni nn na tiba yake nn ? Ili niweze kuondoa tatzo hili. Nmetumia dawa nyng mno. Hope you are going to help me. To sincerely thanks you doctor,is my pleasure.
Ushawahi kucheki kama una systemic fungus?na umeshawahi kupata tiba ya systemic fungus??
 
Ushawahi kucheki kama una systemic fungus?na umeshawahi kupata tiba ya systemic fungus??

nilienda kwa dokta akaniambia nina fungus wa mdomo na alisema wakikaa kwa muda mrefu tumbo nalo huweza kuathiriwa.

Na kweli kuna mda tumbo lilikuwa linaunguruma na kuumwa chin ya ktovu lkn saiv halitokei. Sasa sikujua kama ni systemic fungus hakunambia. Na dawa alizonipa ni MICONAZOLE OROMUCOSAL GEL BP 20g ya kumung'unya then unaimeza kwa kujaza kijiko kidogo.

Pia fungus ktk sehem za siri na alinipa dawa ya ktumia lkn kwnyw nilipona na huw nikiona dalili naitumia hiyo iitwayo FUNGIGEN CREAM/MICONAZOLE CREAM BP 2%. Naomba unisaidie hyo SYSTEMIC FUNGUS INA DALILI GANI NA NINI TIBA YAKE ? NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU DR.JF
 
Naomba kufahamu juu ya homoni kutobalance. na namna ya kutibu.
 
Kaka nasumbuliwa jipu kwenye kwapa.. nilienda hospital wiki iliyopita nikapewa dawa inaitwa ampoxin nikaitumia jipu likaisha but wiki hii naona kama tena linaanza.. kuna dawa nyingine naweza kutumia lakin isiwe sindano..
Natanguliza shukurani
 
Kaka nasumbuliwa jipu kwenye kwapa.. nilienda hospital wiki iliyopita nikapewa dawa inaitwa ampoxin nikaitumia jipu likaisha but wiki hii naona kama tena linaanza.. kuna dawa nyingine naweza kutumia lakin isiwe sindano..
Natanguliza shukurani
Nimekujibu mkuu!
 
Mtaalam, nimewahi kujichua(punyeto) na nafika kileleni mapema sana( ndani ya dk 2) pia uume hausimami vizuri wakati wa kurudia tendo. je nifanyeje nguvu zangu za kiume zirudi kama kawaida? Kiukweli mara nyingi simfikishi mke wangu kileleni
Fanya mazoezi ya mwili na kegel exercise.Ukienda kujisaidia haja ndogo fanya kama unakojoa kidogo kisha unazuia mkojo usitoke hesabu mpaka tano,kojoa kidogo kisha zuia tena kwa kucontrol misuli(usichanganye misuli hii na ya miguu,tumbo na makalio) na usijizuie kupumua!!!Rudia zoezi hilo mara 10 kwa siku mara tatu.Kila la kheri mkuu
 
Mimi ni msichana wa miaka 24 nina tatizo la siku zangu kusogea mbele mara kwa mara nikahama mkoa au kama niliumwa nikatumia dawa yoyote basi zinaenda mbele sana mpaka napata wasiwasi je hili ni tatizo au ni kitu cha kawaida
 
Back
Top Bottom