Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,683
- Thread starter
- #161
Mkuu kama una weak immune system fungus ya kawaida inavamia deeper tissues.Nakushauri urudi hosp uchukuliwe vipimo vya dam kujua kama una tatizo hilo au lah.Na kama unalo utahitaji triazole mfano voriconazole au amphotericin(hii ni toxic kwa mafigo).nilienda kwa dokta akaniambia nina fungus wa mdomo na alisema wakikaa kwa muda mrefu tumbo nalo huweza kuathiriwa. Na kweli kuna mda tumbo lilikuwa linaunguruma na kuumwa chin ya ktovu lkn saiv halitokei. Sasa sikujua kama ni systemic fungus hakunambia. Na dawa alizonipa ni MICONAZOLE OROMUCOSAL GEL BP 20g ya kumung'unya then unaimeza kwa kujaza kijiko kidogo. Pia fungus ktk sehem za siri na alinipa dawa ya ktumia lkn kwnyw nilipona na huw nikiona dalili naitumia hiyo iitwayo FUNGIGEN CREAM/MICONAZOLE CREAM BP 2%. Naomba unisaidie hyo SYSTEMIC FUNGUS INA DALILI GANI NA NINI TIBA YAKE ? NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU DR.JF
Dalili ni tofauti kutoka kwa mtu na mtu, kama homa, kikohozi, baridi, kutoka jasho usiku, kupoteza ham ya kula, kupungua uzito, kuchoka na depression.
Kila la kheri mkuu

