Ulitumia dawa gani? Lakini pia ulifanya full blood picture? Kama ni ndiyo utanitajia dawa ulizotumia tuone tunafanyajeWakuu naomben msaada kama kuna anayejua tiba ya ugonjwa wa ngozi kuwasha na kutengeneza mabaka mwilini kama unavoonekana kwenye picha hapo. Ni mwezi sasa, nmeenda kmhospital na kupata vipimo nkaambiwa mchafuko wa dam na kuoewa dawa ambazo hazijanisaidia mpaka sasa.View attachment 2104129
PID hiyoDoctor
Mke wangu anatokwa na maji maji ukeni mazito kama usaha meupe / rangi ya maziwa ,akienda hospitali wanamwambia NI UTI anapewa dawa za uti ule ute ute unaacha kutoka ,lakin sasa wakati wa tendo uchi wake unakuwa mkavu hata umuandae vipi ute ute wa kuashiria yupo tayar hautoki,na kama utatoka ni kidogo saaana ,,kingine anapata maumivu wakati wa tendo na tumbo kumsumbua chini ya kitovu,,
Nb; UTI huwa tunatibiwa wote kwa ufasaha lakin tatzo semultaneously repeatin), naombeni kuelewesha kwa assumption hizo shida inaweza kuwa ni nn?,
Naomba majibu kama mtajali yaje yaje inbox tafadhali[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]
Umetumia dawa gani ?Wakuu naomben msaada kama kuna anayejua tiba ya ugonjwa wa ngozi kuwasha na kutengeneza mabaka mwilini kama unavoonekana kwenye picha hapo. Ni mwezi sasa, nmeenda kmhospital na kupata vipimo nkaambiwa mchafuko wa dam na kuoewa dawa ambazo hazijanisaidia mpaka sasa.View attachment 2104129
Tumia aloe veraHabar zenu ndugu znguu,,mwezenu na Kama mwaka sas nasumbuliwa na tatizo la kuwaka Moto miguun na kushika ganzi pia(miguu yote miwil)...na sas imepelekea kukosa nguvu miguun hata nnavyo tembea huwaga napepesuka Kama vle nmelewa.......plz naomba ushauri ndugu znguu Ni ipi tiba au dawa ya kutumia ili npate kuponaaa[emoji120]
Je una kisukari pia?Umetumia dawa gani ?
dokta ubarikiwe. mama angu ana tatizo la mifupa, yaani inampekecha miguu na mikono. inapelekea kukakamaa. nini tatizo
Njoo Sterica clinic hapa Ubungo, kwa kipimo bei ndogo kisha nitakupa dawa halisi. +255767440707 mawasiliano ya clinic ipo nyuma ya Mic Hotel karibu na stand ya zamani ya ubungo (mabasi ya mkoa)Wakuu naomben msaada kama kuna anayejua tiba ya ugonjwa wa ngozi kuwasha na kutengeneza mabaka mwilini kama unavoonekana kwenye picha hapo. Ni mwezi sasa, nmeenda kmhospital na kupata vipimo nkaambiwa mchafuko wa dam na kuoewa dawa ambazo hazijanisaidia mpaka sasa.View attachment 2104129
Sina chochote zaidi ya vidonda tena ndo vinaanza!Je una kisukari pia?
Njoo Sterica clinic hapa Ubungo, kwa kipimo bei ndogo kisha nitakupa dawa halisi. +255767440707 mawasiliano ya clinic ipo nyuma ya Mic Hotel karibu na stand ya zamani ya ubungo (mabasi ya mkoa)
MAAMBUKIZI YA VIRUSI (IKIWEPO PIA KANSA /SARATANI)Hellow wapendwa,
Nakaribisha maswali yoyote kuhusu dawa zozote zenye active ingredients (DRUGS). Kama una maswali kuhusu matumizi yake, matumizi yake pamoja na dawa nyingine, vyakula (interactions), athari zake (side effects) au hata kama unataka kujuzwa jinsi dawa inavyofanya kazi kutibu ugonjwa!!
Karibuni sana.
A
B
C
D
E
F
Kauliza kuhusu mawe kwenye mfuko wa nyongo sio figo.Mawe kwenye Figo ni muunganiko wa acid na salts ambazo huwa ni taka mwili kupelekea kutengeneza vidude kama mawe hivii.. Zamani walikuwa lazima ufanyiwe operation kuondoa lakini siku hizi huwa MLOGANZILA wana namna ya kudissolve hayo nawe bila surgery alafu kazi yako ni Kunywa maji mengii kupita maelezo kuclear hivyo vimawe.
Inaweza ikawa infection, abortion au mimba zabibu, n.k.Habari zenu ndugu zanguni.
Swali: mwanamke miaka 27 mjamzito (miezi 2,mimba ya kwanza ) ila bado anapata matone kdogo ya damu kuptia njia yake ya haja ndogo...je tatizo linaweza kuwa ni nn? Na nn suluhisho la tatzo husika japo mimba haijatoka
Sent from my KYV40 using JamiiForums mobile app