Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo Nini?nakufa dr
So napata dawaHydrocele inaweza kuondolewaa na Surgery ndogo tuu lakini pia Cause yake ni nini?? Inaweza kuwa ni Parasites so lazima pia upewe dawa ya kuwaclear hao minyooo...
So napata dawa then nafanya surgery au nafanya surgery along side na dawa.na wapi nitapata wataalamu wa hili tatizo? (Hospital & doctor)Hydrocele inaweza kuondolewaa na Surgery ndogo tuu lakini pia Cause yake ni nini?? Inaweza kuwa ni Parasites so lazima pia upewe dawa ya kuwaclear hao minyooo...
Naitumia kwa muda gani mkuu ?Tafuta Vitamin B mkuuu...!! Itakusaidia sana...
Mwezi mkuu...!! Unameza kimoja dailyNaitumia kwa muda gani mkuu ?
Hapa kufanua Surgery hakukwepekii ili kutoa yale majii...!! Kuna hospital wanafanya ofcoz lakini lazima upewe dawa ili kuua ao parasitesSo napata dawa
So napata dawa then nafanya surgery au nafanya surgery along side na dawa.na wapi nitapata wataalamu wa hili tatizo? (Hospital & doctor)
Tafuta Cream inaitwa Acyclovir...!! Alafu upate na Vidonge vyake kwa siku kumi tu..dawa ya genita watts ni ipi wakuu
Kichomi ni dalili ya kuwa una Pheumonia hasa kama unaishi mikoa ya baridi ni rahisi sana kupata hili tatizo...!! Pia ugonjwa huu unahusishwa na watu ambao immunity zao zina shida somehow ndo maana most of cases watoto ni rahisi kupata japo mtu mzima immunity ikicheza pia Inakupata so dawa zake huwa ni AMOXCLAV syrup kwa watoto.. Mtu mzima Amoxclav tab au ukipata Azithromycin tab itakusaidiaDokta nashukuru kutuelimisha
Dokta Nina vichomi mwili mzima hasa ninapohisi njaa hata kidogo hii Hali unitokea,Na pia inakuwa kama ndani ya mifupa poa SA Nyingine mbavumi
Kuna njoa za kienyeji ambazo wengine wanadai Kuwekewa maziwa ya Nguruwee kwenyw Pombee...!! Yani utakionaa cha mtemaa kunii itakuwa kila ukiona pombe unageuza njia hata harufu hutatala kuisikia lakini pia.wazee naulizia dawa ya kuacha pumbe naona nashindwa kila namna ninayo jaribu
Asante mkuu! Ila nahitaji kufahamu wapi nitapata specialist wa hili tatizo. Naomba msaada please!Hapa kufanua Surgery hakukwepekii ili kutoa yale majii...!! Kuna hospital wanafanya ofcoz lakini lazima upewe dawa ili kuua ao parasites
Na naweza kujua aina na jina la hizo dawa please.Asante mkuu! Ila nahitaji kufahamu wapi nitapata specialist wa hili tatizo. Naomba msaada please!
Wewe upo wapi kwani???? Maana muhimbili wanafanyaAsante mkuu! Ila nahitaji kufahamu wapi nitapata specialist wa hili tatizo. Naomba msaada please!
mkuu unaweza kwenda hospital na usipone kikubwa kula vizuri imarisha kinga yako ya mwili kwa kula matunda mboga mbogaNa naweza kujua aina na jina la hizo dawa please.
Asante sanaKichomi ni dalili ya kuwa una Pheumonia hasa kama unaishi mikoa ya baridi ni rahisi sana kupata hili tatizo...!! Pia ugonjwa huu unahusishwa na watu ambao immunity zao zina shida somehow ndo maana most of cases watoto ni rahisi kupata japo mtu mzima immunity ikicheza pia Inakupata so dawa zake huwa ni AMOXCLAV syrup kwa watoto.. Mtu mzima Amoxclav tab au ukipata Azithromycin tab itakusaidia