Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

Ebu mnisaidie nyumba nzima tuna mafua makali tutumie dawa gani?
 
Hellow mtaalamu.
Ndg yangu anasumbuliwa na fangasi ukeni kwa muda mrefu, ametumia anibiotics mbalimbali zikiwemo za kuinset ukeni lkn hajapata nafuu kwa maana ugonjwa huwa unaondoka na baada ya muda unarejea. Na hili limewahi hata kusababisha ujauzito kutoka.
Naomba msaada ni wapi tunaweza pata mtaalamu wa kumaliza tatizo hili sugu kwa ndg yetu maana tulianza zahanati mbalimbali za hapa tunapoishi, hospitali ya rufaa mkoa na hata baadaye tulisafiri hadi Regency hospital Dsm na bado tatizo hili halijakwisha.
Tafadhali tunaomba msaada.
Natanguliza shukrani za dhati.
 
Ganzi miguuni na mikono(harafu inapata ubaridi) je kipimo gani kinatakiwa au dawa gani nitumie nipone?
Ganzi miguuno na mikono ni dalili ya Ugonjwa wa kisukari au pressure sometimes lakini pia upungufu wa vitamin flani kama Vit B hupelekea tatizo kama hili.. So kama huna hata moja ya matatizo hayo happ juu ebu jaribu kununua Dawa inatwa Pregabalin au Gabapentin na Vit B complex huwa ni dozi ya mwezi then ukishatumia angalia hali yako endapo hakuna mabadiliko inawezekana kuna Nerve damage au tatizo lingine kubwa so nenda hosp kafanyiwe vipimo ambavyo Dr atakuandikia
 
habarini wadau natafuta dawa ya genital whatts na ndugu yangu yupo kijijini kazipata zinamtesa sana


mawazo mgando usije sema ni mimi
Atafute Acyclovir Cream...!! Akiongezea na Acyclovir vidonge bhasi atakuwa poa zaidi..
 
Hellow mtaalamu.
Ndg yangu anasumbuliwa na fangasi ukeni kwa muda mrefu, ametumia anibiotics mbalimbali zikiwemo za kuinset ukeni lkn hajapata nafuu kwa maana ugonjwa huwa unaondoka na baada ya muda unarejea. Na hili limewahi hata kusababisha ujauzito kutoka.
Naomba msaada ni wapi tunaweza pata mtaalamu wa kumaliza tatizo hili sugu kwa ndg yetu maana tulianza zahanati mbalimbali za hapa tunapoishi, hospitali ya rufaa mkoa na hata baadaye tulisafiri hadi Regency hospital Dsm na bado tatizo hili halijakwisha.
Tafadhali tunaomba msaada.
Natanguliza shukrani za dhati.
Kama ni Fungus mkuu bhasi kuna dawa ya kuinsert inaitwa GYNAZOLE HII NI KIBOKOO...!! Lakini tatizo kubwa la Fungus kujirudi linasababishwa na

1. Mwanamke kurudia nguo za ndani mara nyingi bila kufua

2.Mwanamke kujisaidia kwenye Vyoo vichafu hasa vya Stand na maeneo ya public ikiwemo vyoo vya nyumba za kupanga kama sio visafi.

3.Akishapata dawa ya Fungus akipona kuanza upya sio ujinga ATUPE CHUPI ZA ZAMANI anunue mpya hii itamsaidia sana maana inawezekana zilw nguo za ndani zimeshakomalia fungus hata ufue vip stain za fungus zinabaki.

4.Apunguze kujisafisha ovyo ukeni kwa kiingiza vidole na sabuni yani hii inachangia sana kuumwa fungus.
 
Ebu mnisaidie nyumba nzima tuna mafua makali tutumie dawa gani?
Kama mnaumwa mafua bila kikohozi tafuta dawa inaitwa Loratadine au Cetrizine lakini ukiweza kupata Toff Plus au wanasema dawa za Chenga bhasi itakuwa Bora zaidi..!! Kama una kifua pia bhasi ongezea na Cough syrup kama Mucolyn au Zecuf..
 
Hellow mtaalamu.
Ndg yangu anasumbuliwa na fangasi ukeni kwa muda mrefu, ametumia anibiotics mbalimbali zikiwemo za kuinset ukeni lkn hajapata nafuu kwa maana ugonjwa huwa unaondoka na baada ya muda unarejea. Na hili limewahi hata kusababisha ujauzito kutoka.
Naomba msaada ni wapi tunaweza pata mtaalamu wa kumaliza tatizo hili sugu kwa ndg yetu maana tulianza zahanati mbalimbali za hapa tunapoishi, hospitali ya rufaa mkoa na hata baadaye tulisafiri hadi Regency hospital Dsm na bado tatizo hili halijakwisha.
Tafadhali tunaomba msaada.
Natanguliza shukrani za dhati.
ili apone cha kwanza usafi kwanzia nguo ya ndani pamoja na taulo
pia kuna cream inaitwa ellycorty anaweza akawa anapaka muda wa kulala au fungstart ni pm kwa maelekezo
 
Tiba ya kipanda uso ya asili mkuu
Kipanda uso husababishwa na vitu mbali mbali ambapo hutokea mara chache sana may be kama mtu ana magonjwa ya kudumu kama Pressure hiv.. Kwa hali kama hii kuna dawa inaitwa Beraserc husaidia sana kwa ishu ya Natural remedies Mara nyingi mafuta mepesi yanayopatikana kwenye mimea mbali mbali kam Tangawizi hutumika ambapo mtu huvuta kama mtu anaevuta ugoroo. Njia nyingine ni Massage...Kipanda uso sio ugonjwa wa kudumu na ndo maana wengi hio hali huisha yenyewe lakini kama wewe hutokea mara kwa mara bhasi vyema ukaenda Hospital pia.
 
Diazepam iko classified kama benzodiazepinederivate. Benzodiazepines zinajiunga kwenye receptor mwilini iliyopo kwenye ubongo inayoitwa GABA-receptor.

Na inasababisha muongezeko wa inflow ya chloride ions kwenye nervecells.Matokeo yake inapooza baadhi ya parts za ubongo. Hali hio inaweza kuleta;

Pshycological effects: Nazo ni anxiety withdrawal au sedative effect (kusaidia mwili urelax kama mfano unatakiwa kufanyiwa surgical procedure)

Hypnotical effect: Inachosha ubongo kwahio inaweza kutumika kama sleeping inducer (dawa ya usingizi), Au inaweza kutumika kama muscel relaxer na kusaidia na cramps/spasms!
MKUU MIMINAOMBA NISHAURI DAWA YA KUWASHWASEHEMU ZA SIRI SINA VIPERE LAKINI NAWASHWA TU NA NI MUDA MREFU SASA
 
MKUU MIMINAOMBA NISHAURI DAWA YA KUWASHWASEHEMU ZA SIRI SINA VIPERE LAKINI NAWASHWA TU NA NI MUDA MREFU SASA
Kama huna vipele bhasi hiyo ni Fungus...!! Tafuta cream inaitwa TERBIBAFINE itakusaidia.. Akikisha unapooga unajikausha vizuri sana huko chini.. Usirudie kuvaa boxer mara mbili.
 
Kama huna vipele bhasi hiyo ni Fungus...!! Tafuta cream inaitwa TERBIBAFINE itakusaidia.. Akikisha unapooga unajikausha vizuri sana huko chini.. Usirudie kuvaa boxer mara mbili.
uu ubarikiwe sana nahifadhi id yako nitakuopa mrejesho baada ya matumizi ya muda fulani
 
uu ubarikiwe sana nahifadhi id yako nitakuopa mrejesho baada ya matumizi ya muda fulani
Yaah mkuu pole sana ungekuwa na vipele ningekuandikia Cream yenye mchanganyiko wa Dawa tatu ambayo ingeondoa na upele pia ila hiyo ni Fungus.. Zingatia usafi na kujifutaaa vizuri ukitoka kuoga
 
Yaah mkuu pole sana ungekuwa na vipele ningekuandikia Cream yenye mchanganyiko wa Dawa tatu ambayo ingeondoa na upele pia ila hiyo ni Fungus.. Zingatia usafi na kujifutaaa vizuri ukitoka kuoga
nashukuru sana kaka naenda kuinunua sasa hivi niko kwa ofisi
 
Nmekuwa nasumbuliwa na UTI hadi imefikia kipindi saivi uume unatoa usaha na maumivu wakati na kojoa naweza kutumia Dawa gani itakayo nisaidia
 
Nmekuwa nasumbuliwa na UTI hadi imefikia kipindi saivi uume unatoa usaha na maumivu wakati na kojoa naweza kutumia Dawa gani itakayo nisaidia
Daah hii ni ugonjwa wa ngono kaka...!! Tafuta dawa inaitwa Azithromycin itakusaidia.
 
Back
Top Bottom