Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ukinipiga fresh muhimu uwe unanipa hela na zawadi za kutoshaNapenda kupiga af sina dogo wa kumuonea
Sigara?🤪 nikiwa na stress sana sana labda..yaani stress zikizidi navuta, ila imekuwa siri sana...angalau, ila wewe na kaka huwa mna vuta sigara??.
Nina sababu ya kuuliza hivyo.
Na wewe una mtoto wako unayempenda sana kuliko wote?Nadhani niambo ya kiroho zaidi, Sina hakika.
Kwa mfano ; mama yangu baada ya baba yao (babu yangu) kufariki , vikao vya ukoo vilimteua yeye kuwa msimamizi mkuu wa familia pamoja na kuwa wapo kaka zake wakubwa na aliyependekeza hilo ni mama yao (bibi yetu).
Sijushangaa kwasababu bibi na babu walimpenda sana mama tangu Mimi nakua nililiona hilo halikufichika. Walibahatika kupata watoto 11
bahati nzuri au mbaya, mi Sio mchafuzi wa dada za watu.Dah imagine vle unafanya watoto wa watu ndo mdogo wako afanyiwe
Sina baya katika zawadi ila nikikukuta na mwanaume kosa moja kubwa sanaHata ukinipiga fresh muhimu uwe unanipa hela na zawadi za kutosha
We nae! Mbona wewe unasimama na dada za watuSina baya katika zawadi ila nikikukuta na mwanaume kosa moja kubwa sana
Hahaha hata mimi sija wahi tumia kilevi au sigara, basi tumia chakula Cha pamoja Kama familia ili mkutane.Sigara? Never! Sio yeye wala mimi.
pamoja Sana mkuu.Sisi tumelelewa kinyampara mkuu. ishi nae vyema
Katika watoto wangu wanne Kuna mmoja namkubali sana kuliko wenzie. Ni makini, mtulivu, hakurupuki, hakunisumbua shuleni, mkweli, muwazi, anapenda usawa, mtiifu, mnyenyekevu, ukimuagiza jambo hachelewi analitekeleza, ana adabu sana, mpole lakini mkali sana ukimkosea kwa namna ya kumuonea na kadhalika na kadhalikaNa wewe una mtoto wako unayempenda sana kuliko wote?
kweli Sana, dogo ana ingia la 4 ali taka kupelekwa boarding.wanatuokoaga sana kimaisha binafsi broo zangu walinishika sana mkono kiuchumi hilo nakiri
Ahaha ilo haijalishi bhnaWe nae! Mbona wewe unasimama na dada za watu
Labella atakuja aseme unataka kuapproachPole kwa kuto kuwa nae, ila waweza nichukulia Kama kaka ako.
Tuna weza tusiwe ndugu wa damu, ila Ina pendeza kuona, nakuwa chanzo Cha furaha au tegemezi kwa mtu mwingine.
Hela za mihogo na kachori ehh😂😃Hata ukinipiga fresh muhimu uwe unanipa hela na zawadi za kutosha
Naomba niwe kaka yako wa hiariNawaonea wivu watu wenye kaka
Ulivyo na mdomo! Si utanisimanga kila sikuNaomba niwe kaka yako wa hiari
ona Sasa 😆😆Ulivyo na mdomo! Si utanisimanga kila siku