mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
Sometimes unaacha tu kama yalivyoInasikitisha sana mkuu, familia moja mnakuwa na mabeef ya kijinga.
Braza alikuwa best sana yani, niwe na issue gani nisimwambie au yeye akiwa na mambo yake lazima aniambie. Ila sentensi moja tu ilivuruga mahusiano hadi leo.