Nakiri kuwa hii ni moja ya zawadi bora kwenye maisha yangu

Ushauri nzuri sana
 
Inasikitisha sana mkuu, familia moja mnakuwa na mabeef ya kijinga.

Braza alikuwa best sana yani, niwe na issue gani nisimwambie au yeye akiwa na mambo yake lazima aniambie. Ila sentensi moja tu ilivuruga mahusiano hadi leo.
Mkuu ERoni hapo kwenye sentesi, uli mu undermine nini???
 
Mkuu umefukua tena,
Aliniambia kitu kikanikwaza, sikuvunga nikamwambia bro umezungua na sijapenda, si unajua zama hizi hata ukiwa mdogo unasema tu! That's how it started.
Hahaha, sija fukua kwa makusudi. Nili kuwa nasoma kitu.
Ndo nika ona hiyo sentence, but make sure you talk about it.

Fanya hata kesho umpigie, mwambie nakupa hi bro. Mwaka mpya huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…