Nakubali Tundu Lissu awe Mwenyekiti na Mgombea Urais wa kambi yote ya Upinzani. Anza na kazi hii. Rudisha kundini kina Mdee na Wenzake.

Nakubali Tundu Lissu awe Mwenyekiti na Mgombea Urais wa kambi yote ya Upinzani. Anza na kazi hii. Rudisha kundini kina Mdee na Wenzake.

Kididimo

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
4,153
Reaction score
3,800
Ukweli usemwe. Kilichowaponza kina Mdee ni ule utawala wa mabavu wa awamu ileee. Ulishapita, Chadema ni muhimu ijengwe kuanzia ilikoishia kabla ya awamu hii.
 
Ungewashauri kina Mde na covid 19 wenzake waungame kwanza kwa dhambi ya usaliti waliyofanya, waombe msamaha na waeleze kila kitu bila kuficha then itakuwa jukumu la wanachama na wala siyo Lissu kuwasamehe au hapana, huwezi kumsamehe mtu ambaye hajakiri kutenda kosa na kuomba asamehewe,
 
Ungewashauri kina Mde na covid 19 wenzake waungame kwanza kwa dhambi ya usaliti waliyofanya, waombe msamaha na waeleze kila kitu bila kuficha then itakuwa jukumu la wanachama na wala siyo Lissu kuwasamehe au hapana, huwezi kumsamehe mtu ambaye hajakiri kutenda kosa na kuomba asamehewe,
Sure
 
Ukweli usemwe. Kilichowaponza kina Mdee ni ule utawala wa mabavu wa awamu ileee. Ulishapita, Chadema ni muhimu ijengwe kuanzia ilikoishia kabla ya awamu hii.
Kina Halima Mdee ni wasaliti, waendelee tu huko CCM wakamtumikie kafiri
 
Ungewashauri kina Mde na covid 19 wenzake waungame kwanza kwa dhambi ya usaliti waliyofanya, waombe msamaha na waeleze kila kitu bila kuficha then itakuwa jukumu la wanachama na wala siyo Lissu kuwasamehe au hapana, huwezi kumsamehe mtu ambaye hajakiri kutenda kosa na kuomba asamehewe,
Good. Huyu mleta mada anataka Lisu aikaribishe najisi chamani!!??
 
Haahaa wapiga kura ni wachaga tu? Wapiga kura wataamua, kikubwa uchaguzi uwe huru na WA haki.
 
Lisu hawezi na hajawahi kukubali hiking kitu,hata sababu Moja wapo ni hayo mazonge/mazingaumbwe ya mwenyekiti na watu wake kwa wabunge wa COVID-19,haiwezekan mseme hamuwatambui covid-19 afu humo hump ni wake/mahawara wao wanapika na kupakua pamoja.
Time will tell,ninja akipita basi ndo tutaona kivumbi na ushindani wa kweli kuliko haya maigizo ya chairman
 
Ukweli usemwe. Kilichowaponza kina Mdee ni ule utawala wa mabavu wa awamu ileee. Ulishapita, Chadema ni muhimu ijengwe kuanzia ilikoishia kabla ya awamu hii.
Litakua kosa kubwa sana la kiufundi kuwarudisha hao wahuni. Kwanza walishafukuzwa kwenye chama muda mrefu tu. Hao waende tu wakaanze maisha yao huko CCM.

Wakirudishwa ita set precedence mbaya, utashangaa fomu ya Urais isharudishwa au utasikia mdee anajipachika uenyekiti na msajili wa vyama anabariki.
 
CHADEMA ni Mali ya wachaga kamwe hawatakubali kukabidhi mikonono mwa Lisu. Wachaga wana malengo bi nafsi na hii nchi na CHADEMA ndo silaha pekee waliyonayo.
 
CHADEMA ni Mali ya wachaga kamwe hawatakubali kukabidhi mikonono mwa Lisu. Wachaga wana malengo bi nafsi na hii nchi na CHADEMA ndo silaha pekee waliyonayo.
Niko Kalambo. Wana Mbunge wa Chadema alishinda 2020 ila hakutangazwa. Huku nako ni Uchagga?
 
Lisu hawezi na hajawahi kukubali hiking kitu,hata sababu Moja wapo ni hayo mazonge/mazingaumbwe ya mwenyekiti na watu wake kwa wabunge wa COVID-19,haiwezekan mseme hamuwatambui covid-19 afu humo hump ni wake/mahawara wao wanapika na kupakua pamoja.
Time will tell,ninja akipita basi ndo tutaona kivumbi na ushindani wa kweli kuliko haya maigizo ya chairman
Mbona Ninja alibadili gia? Alisema hagombei Uenyekiti, ghafla vuu nagombea! Hapo vipi? Siwataki Covid, vu bin vuuu nawataka, utasemaje?
 
Ungewashauri kina Mde na covid 19 wenzake waungame kwanza kwa dhambi ya usaliti waliyofanya, waombe msamaha na waeleze kila kitu bila kuficha then itakuwa jukumu la wanachama na wala siyo Lissu kuwasamehe au hapana, huwezi kumsamehe mtu ambaye hajakiri kutenda kosa na kuomba asamehewe,
Hakika!
 
Back
Top Bottom