Utapewa CDM endapo utafuata utaratibu wote na hasa hasa wa kinidhamu; kitu pekee cha gharama kubwa ni kukilinda chama. Kama chama kitaingia katika.mikono isiyo salama lawama zote ni kwa Mh. Mbowe, kazi yote aliyoifanya miaka zaidi ya 30 itakuwa sifuri.
Kama Lissu hana baraka za uongozi wa sasa wa chama kwa hayo anayotaka kuyafanya basi tafsiri nyepesi ni mapinduzi.