Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Mtu mzima haitakiwi kuwa mshabikishabiki, ukishabikia wanasiasa.Acha ujinga basi, yule alichokuwa anaongea ni tofauti na anachotenda. Tena umetukumbusha kutuletea mfano hai. Ile familia ya Sumry waliokuwa wakilia mahindi yao kuharibika kwa kuzuiwa kuuza nje ilikuwa kipindi cha Rais Nyerere au?
Sijakuelewa unakusudia kusemaje
Magufuli hajawahi kusema acha uchawa
Kufunga mipaka ndiyo kulileta hao middlemen wanyonyaji. Ukifungua mipaka na wananchi wakiwa na kwingi kwa kuuza hutawaona "Walanguzi"Hapo wanaofaidika ni middlemen, wakulima wa chini wataendelea na hali zao zilezile kama hawauzi mazao yao kwenye vyama vyao vya ushirika
Hata sumry alisema ana gunia 46k ambazo ni sawa na tani kama 800 hiv na huyo ni top Farmer kwenye nch halafu unataka wa kawaida wawe na tani 500? Kuwa realistic basMtu akinionyesha mkulima mwenye tani 500 za mahindi store,nitampa milioni 5 bure.
Nasisitiza mkulima aliyelima na kuhifadhi tani 500 store.
Si mchezo akazie hapo hapo, ndio dawa ya kuvunja vijiwe. Mwakani hizi kelele hazitakuwepo, kwani wapiga kelele wote watakimbilia Shambani na kupigania mbolea za ruzuku.Serikali ikishikilia msimamo huo, na Mimi mwaka huu nalima.
Yaani Kuna majitu yanacheza karata asubuhi mpaka jioni, mkulima anamenyeka shambani, halafu baadae yanataka yake chakula Cha Bure.
Serikali ikikazia hapo, hata wimbi la vijana kuwa bodaboda na kukimbilia mijini litakwisha, utajiri utarudi vijijini.
La msingi ni kuondoa madalali tu
Acha uwongo wewe,mi mbona siuzii madalali,na wenzangu pia hawauzii madalali..wakenya wanakuja tunawauzia wao moja kwa moja,unaleta story za kubumba hapa,kulima hulimi unakuna fangas kwenye korodani unaongea uwongo!!Na kwa akili zenu mnadhani wakulima wanafaidika?
Wanaofaidika ni madalali. Mteja (tajiri) anatoka Dar au nje ya nchi anaenda kijijini kutafuta mazao, madalali wanamdaka wanamwambia we tulia usihangaike sisi tutakutaftia kwa bei nzuri, wao ndo wanawajua wakulima, wanaenda wanawalangua kwa bei wanayo taka wao madalali, wakipeleka bidhaa kwa mteja wanapandisha cha kwao.
Sasa hiyo nimeongelea wale wakulima wa chini kabisa. Hamna faida ya tofauti wanayopata ila middle men ndo wanafaidika. Mkulima ukigoma kutoa mazao kwa bei wanayotaka wanaenda kusambaza mtaani kwamba bidhaa yako haina ubora. So ili visidode mkulima anaamua tu akubali.
Na kumbuka sio wakulima wote wenye uwezo wa kusafirisha mazao yao wenyewe kwenda nje. Wanawategemea madalali. Things are absurd kwa ground
Mbwa nini. Umesoma ukaelewa? Hujaona nimeandika hapo neno ‘sio wote’ na nimeandika wakulima wa chini. Kwani nimesema ni wakulima wote? So wakulima wote huko nje wanauzia wakenya hand to hand? Unatetea ujinga . Pumbaf na fungas zako kichwani.Acha uwongo wewe,mi mbona siuzii madalali,na wenzangu pia hawauzii madalali..wakenya wanakuja tunawauzia wao moja kwa moja,unaleta story za kubumba hapa,kulima hulimi unakuna fangas kwenye korodani unaongea uwongo!!
Hao wakulima wa chini wa wapi Kama siyo uwongo na mazao gani!?..unajua hata utaratibu wakulima hutumia kuuza mazao yao!!!?..kalime ule kenge wewe,hakuna wa kukulimia kujaza Hilo puto lako juu ya kinenaMbwa nini. Umesoma ukaelewa? Hujaona nimeandika hapo neno ‘sio wote’ na nimeandika wakulima wa chini. Kwani nimesema ni wakulima wote? So wakulima wote huko nje wanauzia wakenya hand to hand? Unatetea ujinga . Pumbaf
Acha nisemee wakulima wa chini
We itakua ni punga. Sibishani na wapumbavu mimi.Hao wakulima wa chini wa wapi Kama siyo uwongo na mazao gani!?..unajua hata utaratibu wakulima hutumia kuuza mazao yao!!!?..kalime ule kenge wewe,hakuna wa kukulimia kujaza Hilo puto lako juu ya kinena
Yani nyie ndo mnaoirudisha nchi nyuma na mlitakiwa muwe mnatupwa kwenye viroba!Hao wakulima wa chini wa wapi Kama siyo uwongo na mazao gani!?..unajua hata utaratibu wakulima hutumia kuuza mazao yao!!!?..kalime ule kenge wewe,hakuna wa kukulimia kujaza Hilo puto lako juu ya kinena
Lima...mbuzi wewe,au nunua kwa Bei iliyopo uache kulia watu wapige hela,wakati tunahangaika shamba nyi mnanyonyana nyuchi vyumbani,kuuza mnataka mtupangie,kunyweni utoko mnaonyonyana wangese nyieWe itakua ni punga. Sibishani na wapumbavu mimi.
Hakuna access ya kuwapata wakenya moja kwa moja we mjinga,wakenya hufuata mpunga mashineni,atakutana na mkulima anayekoboa,atanunua na Kama haitoshi atapewa na huyo mkulima namba za wakulima wengine,mkenya anawapigia biashara inafanyikaYani nyie ndo mnaoirudisha nchi nyuma na mlitakiwa muwe mnatupwa kwenye viroba!
Wewe mwenye access ya kuwapata wakenya moja kwa moja utajifananisha na mkulima anaevuna gunia 20 za mpunga? Nani atawasemea hao ikiwa mbwa kama nyie mnakuja kuvuruga tunapowasemea shida zao. Kama kwako kuna ahueni acha tuwaongelee wengine.
Ningekua nakujua wallahi ningekunasa makofi yasiyohesabika
Kwahiyo wakulima wote wanashinda ghalani kusubiri wateja. Unaongea kama mpuuzi.Hakuna access ya kuwapata wakenya moja kwa moja we mjinga,wakenya hufuata mpunga mashineni,atakutana na mkulima anayekoboa,atanunua na Kama haitoshi atapewa na huyo mkulima namba za wakulima wengine,mkenya anawapigia biashara inafanyika
Wapi mi nimeandika wakulima wanashinda ghalani!?..uelewa wako uko vipi!?..Mimi nimesema mashineni,Mimi binafsi huwa napigiwa simu na wakenya, wanyaruanda nkKwahiyo wakulima wote wanashinda ghalani kusubiri wateja. Unaongea kama mpuuzi.
Nimelima mpunga mbarali, kyela na ifakara. Unafika machineni unakuta watu wenye uwezo tu. Wakulima wengi hawakoboi wanauzia mazao shambani. Na matajiri wengi hawaendi mashambani wanaenda ghalani. Ghalani wananunua mpunga ambao watu wamenunua kutoka kwa wakulima mashambani tena kwa kukusanya. Matajiri wengi hawazunguki mashambani kwa direct farmers unless wawe na access.
Naongea kitu kwa experience yangu mbwiga we. Jinga sana wewe
Sasa kuna machine isiyo na ghala? Kumbe kweli we ndezi. Kwahiyo hao wakenya wote wana namba za wakulima wa mbarali wanaovuna eka moja moja.Wapi mi nimeandika wakulima wanashinda ghalani!?..uelewa wako uko vipi!?..Mimi nimesema mashineni,Mimi binafsi huwa napigiwa simu na wakenya, wanyaruanda nk
Hoja zako zinalenga kuua kilimo mbolea Iko juu mafuta yako juu hivyo pembejeo zingine zote lazima ziwe juu Kwa muktadha huo unaweza kweli ukawanyamazisha wakulima ila njia hiyo inawaondoa watu wote wanaofikiri vizuri kwenye shughuli za kulima watabakia kulima wazee na wengine waliokata tamaa ya maisha. Hata kama chakula ni muhimu kiwango gani lakini lazima kipatikane Kwa gharama zitakazomlipa mlimaji kama hilo haliwezekani basi serikali iingilie Kwa kutoa ruzuku ya kutosha ili kushusha gharama za uzalishaji .Wewe acha ujinga, Kwanza tambua kwamba Hakuna Maisha kama Hakuna chakula na tambua kuwa njaa haina mbabe, ukitaka wazungu wachukue Mali zetu kirahisi basi ruhusu njaa katika nchi watakuletea chakula Kwa kubadilishana na Mali asili.
Pia naomba uelewe kuwa ni rahisi kuwanyamazisha wakulima Kwa kuwapa pungufu ya walichokistaili kuliko kuwanyamazisha watu wenye njaa,ukiwa rais unapaswa uelewe kuwa kitu muhimu kustable utendekaji WA mipango ya Maisha ya wanainchi.
Kwa maana kuendesha nchi lazima kutegemeane kama ilivyo mbugani ambako Wanyama wanaishi hivyo Kati ya wala nyasi na wala nyama, ikitokea kutokana na mungu alivyotengeneza mazingira yakaenda ndivyo sivyo basi Kuna kundi litaangamia.
Sumry tulikuwa tunanunua naye mazao kwa wakulima msimu wa mavuno au kabla,japokuwa pia alikuwa analima.Hata sumry alisema ana gunia 46k ambazo ni sawa na tani kama 800 hiv na huyo ni top Farmer kwenye nch halafu unataka wa kawaida wawe na tani 500? Kuwa realistic bas
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Ebu tukumbushe kipindi cha Mwinyi na Kikwete walipofunga mipaka,maana mi sikumbuki kabisa kama ilitokea.Maraisi wote wa Tanzania walizuia mazao kuuzwa nje ilipobidi why picked on Magufuli?
Sasa kwa nini hakuna mkulima anaye lalamika kwa bei za mazao kuwa juu na badala yake malalamika nyinyi msiyolima?.Na huuu ndio ukweli usiopingika! Ukweli mtupu yani ukweli ulio uchi!
Mkulima havuni na kuweka ghalani anavuna na kuuza papo hapo kwa walanguzi, walanguzi wanaweka kwenye maghala wanasubiri msimu wa kupanda mazao wanaamua Bei wanayotaka!
Wamechukulia advantage zifuatazo:
1. Rais wa nchi kwa kinywa chake alitamka wazi wazi kuwa lazima bei za bidhaa zitapanda kwahiyo Kuna clear Goa ahead ya kupandisha Bei!
2. Serikali ilishaingiza fedha kwenye mafuta kustabilize Bei wakati gharama za ushafirishaji zilishapanda tayari kwahiyo hakuna kikichoshukq
3. Vita ya Ukraine na Uviko 19 imekua Chaka la kujificha kuanzia waziri wa fedha na wanasiasa wote wenye dhamana.
....