mkuu achague moja msaada au mahabusu😀😀😀Vijana wa Dar mnashindwaje kujioganize vijana watatu mpaka wa tano muonane na huyu kijana muongee naye na kuridhika kama asemayo ni kweli?
Mim sipo Dar ila kama anayosema ni kweli nipo tayari kumsaidia pesa kidogo sana ya kuendelea kujikimu na kama ni tapeli pia nitahakikisha atalala kituo chochote cha polisi kilicho karibu na yeye.
Nipo serious mtoa mada nitafute nikupe nilichokuahidi au mahabusu.
Umejuaje? Au ulipitia hali kama hiyo ukapatiwa dawa mapema?
Matusi yamekujaje hapa mdogo wangu?jifunze kuwa na busara aseeAu wewe ndio huyo shoga ulimyeshika mkono huyo chalii akakumwagie manii?
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] wanaotafutiwa ni waliotoka kigoma tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio. Nenda Kigoma halafu uje utapata kazi
Matusi yamekujaje hapa mdogo wangu?jifunze kuwa na busara asee
Hahahaa dear una roho nzr sana[emoji2] Mungu akujaalie kheri kwa ukarimu wako[emoji8]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubarikiwe mkubwa.Vp umeshameza dawa zako?
Sent from my iPhone using JamiiForums
manengelo anaonekana ni mkarimu sana.
Tuacheni mazoea basi, mimi nimejiweka wazi kabisa ili nisaidiwe, ajabu watu mnasema mimi ni tapeli! Acheni hivo, Unaposema mimi ni tapeli, Umekaa na mimi nikakufanyia utapeli?
Au umekuja sehemu nilipo na hujanikuta? Tuacheni mambo ya utani jamani kwa inshu muhimu kama hizi za kusaidiana. Leo inanitokea mimi, kesho itakupata wewe, hata kama haitakupata wewe, itampata mwanao au hata mjukuu wako. Kuna mtu amenipigia simu anasema nimsubiri, muda wa mchana anakuja kunichukua hapa nilipo. Asanteni, nawasilisha! Kama mpaka hapo hujanielewa, basi endelea na unavyo amini kuhusu mimi.
Mkuu hongera kwa moyo safi na wa huruma. Msaidie pa kulala.
Baada ya kupigana hapa na pale humu JF nikiwaomba mnisaidie hata kibarua ili nipate hela ya kula nitakapofika Dar, Maombi yangu yanaonekana ni upuuzi!
Watu wananiita mimi ni Muongo, na wengine wakasema mimi ni Tapeli!
Treni kabla haijafika Dar, nikalia lia sana hapa JF nikiomba nisaidiwe nitakapo fika, lakini watu wanazidi kusisitiza "eti, mimi ni tapeli" Huku simu nayo imekaribia kuisha chaji, na treni ndiyo imeshafika Pugu.
Simu ikaisha chaji!
Na hapo niweshawafuata watu kadhaa PM hapa JF akiwemo manengelo na wengine wengi.
Wengine wananipigia simu, ila hawaongei, ambao walisema watanisaidia nikifika, wananiambia kwamba wako Safarini, kwahiyo hawataweza kunisaidia.
Mpaka hapo, nimebaki na elfu moja na mia nne tu.
Baada ya kukosa mtu wa kunipokea, nikaanza kuzurura hapa mjini. Nimezurura sana, na begi langu mgongoni huku nikitembea bize kama wenyeji wa mji wanavyo tembea. Naendelea hapo chini, maana hapa simu imefika mwisho wa kuandika, Kwahiyo naendelea hapo chini!
Kakufuata hadi pm hujamsaidia😂😂😂 mimi kwakulala tu naweza mdirect
Tuacheni mazoea basi, mimi nimejiweka wazi kabisa ili nisaidiwe, ajabu watu mnasema mimi ni tapeli! Acheni hivo, Unaposema mimi ni tapeli, Umekaa na mimi nikakufanyia utapeli?
Au umekuja sehemu nilipo na hujanikuta? Tuacheni mambo ya utani jamani kwa inshu muhimu kama hizi za kusaidiana. Leo inanitokea mimi, kesho itakupata wewe, hata kama haitakupata wewe, itampata mwanao au hata mjukuu wako. Kuna mtu amenipigia simu anasema nimsubiri, muda wa mchana anakuja kunichukua hapa nilipo. Asanteni, nawasilisha! Kama mpaka hapo hujanielewa, basi endelea na unavyo amini kuhusu mimi.
Na mimi nitaleta stori yangu uje uniongeze bando