InterestingVijana wa Dar mnashindwaje kujioganize vijana watatu mpaka wa tano muonane na huyu kijana muongee naye na kuridhika kama asemayo ni kweli?
Mim sipo Dar ila kama anayosema ni kweli nipo tayari kumsaidia pesa kidogo sana ya kuendelea kujikimu na kama ni tapeli pia nitahakikisha atalala kituo chochote cha polisi kilicho karibu na yeye.
Nipo serious mtoa mada nitafute nikupe nilichokuahidi au mahabusu.
Jamii Forum hakuna msaada kaka!kaka.umefanikiwa kwenda kwa yule wa baracuda?
Jamii Forum hakuna msaada kaka!
naona bora niende mtaani kujieleza! Ili kama ni kusaidiwa, nisaidiwe na wanao niona jinsi nilivyo. Hapa JF Ni watu wanapiga stori tu na kupotezeana muda.
Ni mambo ya kijinga kweli. anatokea mtu anasema mimi ni Tapeli/muongo, Kweli? Yaani mtu hujakutana na mimi, halafu unasema mimi ni tapeli? Sawa jamani, nawashukuruni kwa maoni yenu kwangu.
Ngoja nipambane na hali yangu. Asanteni sana pia kwa kunipotezea Muda.
nini tena.khaaNikimkumbuka Ima Sina hamu
pm me your number uje ulime huku mkurangaJamii Forum hakuna msaada kaka!
naona bora niende mtaani kujieleza! Ili kama ni kusaidiwa, nisaidiwe na wanao niona jinsi nilivyo. Hapa JF Ni watu wanapiga stori tu na kupotezeana muda.
Ni mambo ya kijinga kweli. anatokea mtu anasema mimi ni Tapeli/muongo, Kweli? Yaani mtu hujakutana na mimi, halafu unasema mimi ni tapeli? Sawa jamani, nawashukuruni kwa maoni yenu kwangu.
Ngoja nipambane na hali yangu. Asanteni sana pia kwa kunipotezea Muda.
Maskini marinda ya mwanakigoma yako hatarini sasa. Mkuu amini nakwambia jua halitazama Leo ukiwa salama mitaa ya tigo huko. Kwa mbaali naona punga jipya in town
πππ natafta kijana wa namna hyo.mkuu..ila.awe na leseni pia mkuu awe ana kifua fulan amazing..misuli km yt....nna fence sumbufu sana...!
Heri ya mwaka mpya na nakuona unafuatilia story ya huyu kilaza π πduu!!!!
Jamii Forum hakuna msaada kaka!
naona bora niende mtaani kujieleza! Ili kama ni kusaidiwa, nisaidiwe na wanao niona jinsi nilivyo. Hapa JF Ni watu wanapiga stori tu na kupotezeana muda.
Ni mambo ya kijinga kweli. anatokea mtu anasema mimi ni Tapeli/muongo, Kweli? Yaani mtu hujakutana na mimi, halafu unasema mimi ni tapeli? Sawa jamani, nawashukuruni kwa maoni yenu kwangu.
Ngoja nipambane na hali yangu. Asanteni sana pia kwa kunipotezea Muda.
Njooo hapa kariakooo...ukifika ulizia Valentine hotel nikupe 20k ya kula... Im seriouslyJamii Forum hakuna msaada kaka!
naona bora niende mtaani kujieleza! Ili kama ni kusaidiwa, nisaidiwe na wanao niona jinsi nilivyo. Hapa JF Ni watu wanapiga stori tu na kupotezeana muda.
Ni mambo ya kijinga kweli. anatokea mtu anasema mimi ni Tapeli/muongo, Kweli? Yaani mtu hujakutana na mimi, halafu unasema mimi ni tapeli? Sawa jamani, nawashukuruni kwa maoni yenu kwangu.
Ngoja nipambane na hali yangu. Asanteni sana pia kwa kunipotezea Muda.
Uki panic utajitoa kwenye lengo, na kama unategemea kila mmoja awe positive kwako utakwama. Hao wanaokuponda ni lazima wawepo na wewe siyo lazima uwajibu.
Kadri unavyowajibu kwa jazba ndivyo unavyojitoa kwenye lengo, watu wanakuona siyo mvumilivu, shida zipo sana, na wengine wanaokuponda wana shida kama zako, lengo lao usifanikiwe muwe sawa.
ππMKUU
Heri ya mwaka mpya na nakuona unafuatilia story ya huyu kilaza π π
Njooo hapa kariakooo...ukifika ulizia Valentine hotel nikupe 20k ya kula... Im seriously
Acha uongo basi, PM Nimesha mfuata, ila hajanijibu. Halafu acha kusema una uhakika 100% Nime mtafuta, ila yeye ndiyo hanijibu.
Kwahiyo acha mazoea!
Njooo hapa kariakooo...ukifika ulizia Valentine hotel nikupe 20k ya kula... Im seriously
Iyo ndo inazidisha kabisaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Makeup ipo bana itarejesha ujana
kwamba anaweza kujieleza kwa ufanisi kwa njia ya maandishi. Kitu ambacho kina nitatiza Sana..πππSawa, mkuu!!! Mazingira mapya na uchovu wa safari inafanya mtu ajisahau. Nakutakia kila ya kheri! Jihakikishe umejiweka salama!!! Maandishi yako mazuri sana na unaweza kujieleza kwa ufanisi mkubwa! Ubarikiwe na nisamehe kama nimekukwaza!!!