Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Yule mtu wa Barakuda ni kweli jana alikutumia namba yake ya simu PM na kwenye msg ya kawaida? Hem tujulishe basi unajua wengine tunachungulia hapa kutizama ulipofikia naona unapuuzia

Sent using Jamii Forums mobile app
PM sijapokea namba yoyote, ila simu napigiwa sana, kwahiyo siwezi kujua ni nani ananipigia. Isitoshe wote wanaopiga simu, hawajitambulishi. Kwahiyo kama yupo hapa huyo Wa Barakuda, ningependa anipigie na aseme kuwa yeye ni yule wa Barakuda. Asante!
 
PM sijapokea namba yoyote, ila simu napigiwa sana, kwahiyo siwezi kujua ni nani ananipigia. Isitoshe wote wanaopiga simu, hawajitambulishi. Kwahiyo kama yupo hapa huyo Wa Barakuda, ningependa anipigie na aseme kuwa yeye ni yule wa Barakuda. Asante!
sasa tuliza akili huko mjini mdogo wangu..usiingie kwenye makundi utajikuta unaishia kuwekwa lockup mbezi pale..changamka jitume kaa bidii utatoka
 
PM sijapokea namba yoyote, ila simu napigiwa sana, kwahiyo siwezi kujua ni nani ananipigia. Isitoshe wote wanaopiga simu, hawajitambulishi. Kwahiyo kama yupo hapa huyo Wa Barakuda, ningependa anipigie na aseme kuwa yeye ni yule wa Barakuda. Asante!
Sasa aise unatusingizia mbona wengine tumejitambulisha [emoji23][emoji23]
 
Si bora wangeuunganisha huku?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…