Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Kuna mtu amesema mimi ninajikweza, ndiyo maana nikamwambia kuwa, mwenye kazi ataleta mrejesho hapa, kama ninajikweza au sijikwezi. Naimani nimeeleweka hapo. Samahani kwa kunielewa tofauti. Asante!

Dogo siyo kila comment lazima uijibu.
 
Ni kweli kabisa kama anautambuzi haya maneno ni mujadabu sana na ayatunze kwenye moyo wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa kunifuatilia na kunielewa, Asante na Shukrani kwa kunisaidia kujibu.!
 
Mkuu huyo muongo nimemwambia anipe namba hajanipa wala kufika kweli anacheza na akili zetu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona muda analalamika hakuoni hukuja kusema jambo humu,,,. Hata humu ulipotea, . muache ajitaftie maisha,,kama hakuweza kumuona acha aendelee kuhangaika mbele kwa mbele,, ungekua muungwana muda ule ungesema jambo hata humu jf
 

Sure, ni big courage.
 
Mbona muda analalamika hakuoni hukuja kusema jambo humu,,,. Hata humu ulipotea, . muache ajitaftie maisha,,kama hakuweza kumuona acha aendelee kuhangaika mbele kwa mbele,, ungekua muungwana muda ule ungesema jambo hata humu jf

Alijua dogo anatania, kwa hiyo dogo alivyofika ikabidi ajifiche. Msome between lines utamwelewa lengo lake lilikuwa nini.
 
Msaada wangu mie huo wapigie simu wakupe muongozo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo maneno hupaswi kuyatumia anajikweza maana yake nini kwanini ajikwezwe kwako lengo likiwa nini? Ninakusadia kwa roho nyeupe tukishindwana nakupiga chini naona unaanza shidankabla hata kazi ujapata..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi ni proffesional HR, kama umesoma comment yangu hapo juu, huyu jamaa responce zake zinatia shaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesema kweli kabisa, mimi nina madhaka sana na huyu bwana kutokana na majibu yake, nadhani hata kazi hatafanya atakua busy mitandaoni kujibizana, he doesnt sound kama mtu mwenye uhitaji at all

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi natamani kupiga picha na kijana niitunze kama shujaa ambaye haogopi fedheha katika kutafuta.
Ungeweza kuwa mwizi, jambazi nk. Lakini umechagua njia ya kudhalilika lakini ufikie ndoto zako. Ni wachache sana wenye udhubutu wa namna hii.
Halafu watu bado mnapiga kelele kijana ni tapeli ni mwongo.
Ametoa mawasiliano yake na pia sehemu ambayo yupo, je ni nani kaenda hajamkuta? Acheni kukatisha watu tamaa. Mbona nilivyofuatilia nimegundua hajifichi na yupo radhi kukutana na yeyote?
Halafu nyie mnaosema I'd mpya zinamsuport sijui za 2018 acheni utoto. Kwahiyo hizo I'd zote ni zakwake au?
Mara usalama wa taifa,[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]nani awateke nyie wenyewe mnashinda majukwaa ya udaku na mapenzi[emoji119][emoji119].
Kila la kheri age mate wangu. Hongera kwa udhubutu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesema kweli kabisa, mimi nina madhaka sana na huyu bwana kutokana na majibu yake, nadhani hata kazi hatafanya atakua busy mitandaoni kujibizana, he doesnt sound kama mtu mwenye uhitaji at all

Sent using Jamii Forums mobile app

He just sounds that, lakini uhitaji anao.

Akipata kutuliza kichwa atatoboa, he is young and he has courage. Anahitaji kuweka akili kwenye kazi atakayokuwa ameipata.
 
Kwa kumalizia, acheni masimango.
Eti kwa sababu ana shida ashindwe hata kupiga chafya?
Naamini mwenye nia ya kumsaidia atamsaidia kweli.
Comments karibia 2k nusu yake ni masimango na msaada hamtoi.[emoji13][emoji42].
Kuna mtu kasema eti dogo picha yake anacheka hivyo ni mchezo.
Jamani nani kasema kisa umelala njaa ndiyo usinawe uso? Wengine tabasamu kwao ni kawaida hata kama Ana shida.

Nitaendelea hapo chini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…