Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane



๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ we mtoto umepotelea wapi jaman๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚huwa napenda unavyoandika humu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚tuliwaj badilishana pic pm upo km kamdoli๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ namis stry zako mnooo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nikikumbuka ile ulotaka kukabwa dar mie hoiii๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚hawajnambo zenji dogo..i miss u๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Dogo siyo kila comment lazima uijibu.

wewe huenda hukumwelewa

alikua anamjibu yule aliyesema anajikweza akasema kazi itatoa majibu yenyew km anajikweza..jaman ht km.ndo mtafta kibarua msimuumize hisia namna hii mbnmie namuona poa tu?yaan hy km.ndo hana kitu asijibu jaman?msipende kuweka kamsyari ka mwenye nacho na asiye nacho.jaman..BINADAMU WOTE SAWA..ukiheshim hisia za huyu dogo naye ataheshimu..juu mlimwita tapeli sasa hv mnamwita ana majibu ..khaa wabongo mie๐Ÿ‘Ž

namalizia kwa hapa.chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ