Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Ni aibu kubwa sana. Umhangaishe mtu kutoka mbali aje halafu ujifiche.


Sent using Jamii Forums mobile app

Soma comments hizo chini, fanya evaluation then niambie zinakupa picha gani.

Kanitumia meseji saa kumi na mbili ushahidi upo na nimekaa hakuna simu wala nini kumbuka sio kila maa nitakuwa jf tu nilimpa mwongozo atume namba nimpgie akifika sasa yeye saa kumi na mbili katuma meseji isiyo mashiko

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimempigia simu jamani mwambie a screeshot simu zake za leo tano za mwisho nimemwambia akishindwa magari saba huko aseme nimuelekeze sasa sina zaidi halafu baad ya kuongea nae nimejifunza kitu

Sent using Jamii Forums mobile app

Nikiweka wazi bado kuna watu DIE HARD FANS wake wataanza kuleta maneno...binafsi nimejifunza kitu maana pia mimi ni mmoja kati binadamu uwezo mkubwa wa kufikiri

Sent using Jamii Forums mobile app

Nilichogundua jamaa ni kweli anahitaji msaada tumsapoti kwa nguvu zote.....(no more drama)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenyeji wangu kanipeleka sehemu ili kuniombea nafasi ya kufanya kazi kwenye banda la chips, ila tumekuta nafasi hakuna. Niombeeni wakuu!
Mdogo wangu usivunjike moyo,tegemea zaid misukosuko na mitihani lukuki katika hii safar yako. Mm nakupa silaha mbili za mapambano naomba zitumie vizur sana utaona mafanikio yake.

1/Subra, ni lazma utakutana na shida ya njaa,mahali pakulala,matusi ya watu na kejeli zao na n.k Wewe simama kweny uvumilivu na subra,usithubutu kumtukana au kumpiga aliyekuudhi,kuwa imara zidhibiti hasira zako uwe na subra.

2/ uaminifu, hata uzidiwe vipi usikubali shatani akuharibie mwisho mzur wa safar yako kwa tamaa ya nafs. Ukipata kaz hata iwe ndogo vp bas ifanye kwa uaminifu usiibe wala kuchukuwa kitu cha mtu bila ya ridhaa yake.

"Naendelea hapo chini"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
On contrary.. nadhani umewasilisha ujumbe wako kwa busara na kiutu uzima lakina kuna jambo zaidi umeligundua ambalo ni negative na umeamua usiliweke hapa kwa maslahi mapana ya mashabiki wa mleta uzi

As cor me, from HR point of view naweza kusema yafuatayo

Kwanza mleta uzi ni mtu wa majigambo na asieweza kujishusha...unajua the way mtu anavyorespond kwenye baadhi ya comments na reactions zake towards wale anaowaomba msaada unapata kumsoma na kujua kiwango chake cha uvumilivu

jamaa hapendi kukosolewa..i mean negative comments kutoka hapa jamvini na kwa maana hiyo hana uvumilivu...napata. mashaka kama ataweza kujishusha kwenye ajira atakayoipata na kukubali kuelekezwa,kujifunza na kubwa zaidi kujifanya mjinga alimradi atimize malengo yake

Mengine ntaendelea hapo chini



Sent using Jamii Forums mobile app
umeona niliyoyaona mkuu



Ila acha niendelee hapa Chini......
 
Back
Top Bottom