Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Ni aibu kubwa sana. Umhangaishe mtu kutoka mbali aje halafu ujifiche.
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma comments hizo chini, fanya evaluation then niambie zinakupa picha gani.
Kanitumia meseji saa kumi na mbili ushahidi upo na nimekaa hakuna simu wala nini kumbuka sio kila maa nitakuwa jf tu nilimpa mwongozo atume namba nimpgie akifika sasa yeye saa kumi na mbili katuma meseji isiyo mashiko
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimempigia simu jamani mwambie a screeshot simu zake za leo tano za mwisho nimemwambia akishindwa magari saba huko aseme nimuelekeze sasa sina zaidi halafu baad ya kuongea nae nimejifunza kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiweka wazi bado kuna watu DIE HARD FANS wake wataanza kuleta maneno...binafsi nimejifunza kitu maana pia mimi ni mmoja kati binadamu uwezo mkubwa wa kufikiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilichogundua jamaa ni kweli anahitaji msaada tumsapoti kwa nguvu zote.....(no more drama)
Sent using Jamii Forums mobile app