Nakujuza, Kuanzia 2030 nusu au zaidi ya Watanzania watakuwa Wasukuma

Nakujuza, Kuanzia 2030 nusu au zaidi ya Watanzania watakuwa Wasukuma

Orketeemi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,063
Reaction score
12,866
Habari
Huu ni utafiti binafsi nilioufanya na ambao sio rasmi.

Maeneo ya utafit NI pamoja na mikoa ya Mwanza, Geita, Simiyu, Shinyanga, Tabora, Katavi. Rukwa, Morogoro, DSM, Pwani na Mbeya.

Utafit huu umebaini kwamba kufikia ,mwaka 2030 nusu au zaidi ya Watanzania watakuwa NI wa kabila la kisukuma.

Nilijikita katika mambo kadhaa ikiwa pamoja na
1.ongezeko la idadi ya watu mikoa ya Kanda ya ziwa. Kupitia vyanzo kadhaa ikiwemo taarifa mbalimbali na takwimu za kiserikali nilibaini kuna ongezeko kubwa la watu katika mikoa ya Kanda ya ziwa hususani mikoa ya jamii ya kisukuma . Ongezeko hili ni kubwa maradufu ukilinganisha a ongezeko la Kanda zingine.

2. Birth rate ya familia za kisukuma. Hapa nilibaini kwamba kwa familia ya kisukuma kuzaa watoto wengi bado ni Jambo linaloleta sifa kwenye familia ambapo familia yenye watoto wachache huwa ni kuanzia 7 na kuendelea ilihali makabila mengine familia zimeathiriwa Sana na usasa Kwa kujikita kwenye uzazi wa mpango na kuishia watoto wachache sana.

4. Hali ya kiafya kiujumla na lishe. Jamii za Kisukuma bado zinathamin Sana tiba mbadala na vyakula vya asili . Hali hii inafanya kiafya familia nyingi za Kisukuma kuwa vizuri.

5. Usambaaji wa jamii za Kisukuma mikoa mbali mbali nchini. Zamani wasukuma hawakusambaa Sana tofauti na sasa ambapo mikoa Mingi Kwa sasa wamejaa wao .

Nini faida au hasara ya utafiti huu?

Faida ya utafiti huu NI kuonyesha muelekeo kijamii Kwa taifa la Tanzania na kutahadharisha mamlaka kuona namna ya kubalance ongezeko la watu ili kuendelea kulinda mshikamano wa kitaifa.

Hasara ya utafiti huu ni pamoja na kwamba inaweza kuleta tafsir hasi Kwa baadhi ya wadau.
 
Habari
Huu ni utafiti binafsi nilioufanya na ambao sio rasmi.

Maeneo ya utafit NI pamoja na mikoa ya Mwanza, Geita, Simiyu, Shinyanga, Tabora, Katavi. Rukwa, Morogoro, DSM, Pwani na Mbeya.

Utafit huu umebaini kwamba kufikia ,mwaka 2030 nusu au zaidi ya Watanzania watakuwa NI wa kabila la kisukuma .

Nilijikita katika mambo kadhaa ikiwa pamoja na
1.ongezeko la idadi ya watu mikoa ya Kanda ya ziwa. Kupitia vyanzo kadhaa ikiwemo taarifa mbalimbali na takwimu za kiserikali nilibaini kuna ongezeko kubwa la watu katika mikoa ya Kanda ya ziwa hususani mikoa ya jamii ya kisukuma.

2. Birth rate ya familia za kisukuma. Hapa nilibaini kwamba kwa familia ya kisukuma kuzaa watoto wengi bado ni Jambo linaloleta sifa kwenye familia ambapo familia yenye watoto wachache huwa ni kuanzia 7 na kuendelea ilihali makabila mengine familia zimeathiriwa Sana na usasa Kwa kujikita kwenye uzazi wa mpango na kuishia watoto wachache sana.

4. Hali ya kiafya kiujumla na lishe. Jamii za Kisukuma bado zinathamin Sana tiba mbadala na vyakula vya asili . Hali hii inafanya kiafya familia nyingi za Kisukuma kuwa vizuri.

5. Usambaaji wa jamii za Kisukuma mikoa mbali mbali nchini. Zamani wasukuma hawakusambaa Sana tofauti na sasa ambapo mikoa Mingi Kwa sasa wamejaa wao .
Bora waongezeke kwa sababu nu wachapa kazi
 
Kanda ya ziwa si ya kabila moja buashee hivyo unapodai kuna ongezeko la watu kanda basi kila kabila linakua.

Nje ya mada, vikabila uchwara vya watoto wa mama wana hofu sana na majita ya kisukuma na sijui hofu yao ni nini. Wametumia mbinu ya kuwanda washamba, mara sijui nini ila jamaa wanachanja mbuga tu na mikoa yao iko na maendeleo kwa kasi ya ngiri kiasi cha watoto wa mama mavi kugonga chupi hadi wameanza kuitisha serikali iangalie namna kanda ya ziwa wasiongezeke, kweli? Achaneni na vigodoro na midundiko na ushoga pigeni pumbu dada zenu wazae ili muongezeke pia.
 
Bora waongezeke kwa sababu nu wachapa kazi
Juzi juzi nilitembelea vijiji kadhaa huko Katavi, ni kweli kabisa wasukuma wamejaa sana huko. Moja ya tabia ya ajabu niliyoiona huko ni kwamba hawataki kujenga vyoo na majority wanajisaidia maporini, jambo linalofanya kipindupindu kupiga kambi huko. Nilikutana na mdada mzuriii katika maongezi akaniambia tokea azaliwe huko kwao wanajisaidia maporini,nikabaki mdomo wazi.
 
inavyoonekana hujui statistics wala hesabu za kawaida za compunding

Nakupa sehemu ya kuanzia, ingia wikipedia wasukuma ni 16% ya watanzania


1735756768557.png
 
Umesahau Lindi wanakuja kwa kasi, Mara wilaya ya Bunda, Singida, Kigoma, wengine wameshavuka mpaka hadi Zambia.
 
Kuna siku Rais Samia alitoa takwimu za wanawake wanaojifungua kituo cha afya katoro, Geita, kwa mwezi, it was absolutely shocking and alarming. The good thing is, it is not a radical community, wao wanachapa kazi ya kilimo na ufugaji tu. Akishavuna hana shida na mtu. Hawana makuu. Wanapenda watu, na wanaweza kuishi popote.

Mahala akikaa msukuma, maendeleo yapo. Pale ifakara wamelima mpunga na kuweka mashine za kusaga. Now ifakara ni zaidi ya Morogoro mjini. Nadhani mbali na faida za kiuchumi, waluguru na wakaguru watapata faida ya mbegu za madume marefu yenye nguvu, na wataachana na vimbegu fupi vyenye vigimbi

Kule Kagera wasukuma walikuta mabonde, wakaanza kulima mpunga, wahaya wakawa wanawadharau, majamaa yakaanza kuvuna, jamaa wakaingia wivu, kila siku kesi kwa Mkuu wa Wilaya. Ukienda boda ya Minziro, mpakani mwa Uganda, wapo.

But, and I repeat, but, wanataka haki tu basi, na wanaheshimu utawala sana. Hata Mwalimu Nyerere wakati anamteua Jaji Mkuu Nyalali, nadhani, pamoja na mengine, alizingatia hilo.

Tatizo lao hawapendi miti, akiwa na shida na mti wa kupigia mswaki, na tawi lililomvutia liko juu sana, yuko radhi aukate mti mzima apate kipande cha mti cha kupigia mswaki
 
Sawa tu! Kitaeleweka baadae! Tunanunua maeneo yenu na kuanzisha miradi ya kilimo na ufugaji.

Tunawekeza kwa Kasi!
Tatizo mbinu zao za kilimo na ufugaji ni za kizamani na ndiyo maana kila siku wanagombana na serikali. Wanalazimisha kuchungia mifugo yao kwenye hifadhi za taifa, hawafanyi kilimo cha kisasa hivyo matokeo yake kufyeka misitu daily ili kufungua mashamba mapya. Nilimpeleka mmoja kwenye shamba langu la ekari 5 ambako nilivuna mahindi gunia zaidi ya 100 ya mahindi akaenda kuwaambia wenzake natumia uchawi kuvuta mavuno ya wengine hahaaaaa...wao gunia 100 lazima walime zaidi ya ekari 15.
 
Back
Top Bottom