Nakujuza, Kuanzia 2030 nusu au zaidi ya Watanzania watakuwa Wasukuma

Nakujuza, Kuanzia 2030 nusu au zaidi ya Watanzania watakuwa Wasukuma

Juzi juzi nilitembelea vijiji kadhaa huko Katavi, ni kweli kabisa wasukuma wamejaa sana huko. Moja ya tabia ya ajabu niliyoiona huko ni kwamba hawataki kujenga vyoo na majority wanajisaidia maporini, jambo linalofanya kipindupindu kupiga kambi huko. Nilikutana na mdada mzuriii katika maongezi akaniambia tokea azaliwe huko kwao wanajisaidia maporini,nikabaki mdomo wazi.
Unashangaa nini ? Mbona hata wapemba wanajisaidia baharini
Huyu mtafiti kakurupuka, wakinga sehemu zote zenye biashara wapo
Siyo kweli kwenye biashara ya dhahabu hatuwaoni
 
Habari
Huu ni utafiti binafsi nilioufanya na ambao sio rasmi.

Utafit huu umebaini kwamba kufikia ,mwaka 2030 nusu au zaidi ya Watanzania watakuwa NI wa kabila la kisukuma.
Mkuu Orike, Orketeemi , utafiti wako ni kweli tupu!.
2. Birth rate ya familia za kisukuma. Hapa nilibaini kwamba kwa familia ya kisukuma kuzaa watoto wengi bado ni Jambo linaloleta sifa kwenye familia ambapo familia yenye watoto wachache huwa ni kuanzia 7 na kuendelea ilihali makabila mengine familia zimeathiriwa Sana na usasa Kwa kujikita kwenye uzazi wa mpango na kuishia watoto wachache sana.
Ni kweli, hata mimi, most ya rafiki zangu wana watoto wawili watatu au wanne, mimi nina timu ya watoto 9 wa nyumbani tuu!, hapa bado sijaingiza idadi ya magoli ya mipira ya kona, wale zile mechi za ugenini!.
4. Hali ya kiafya kiujumla na lishe. Jamii za Kisukuma bado zinathamin Sana tiba mbadala na vyakula vya asili . Hali hii inafanya kiafya familia nyingi za Kisukuma kuwa vizuri.
Ni kweli tuko vizuri!, kitu cha kwanza Wasukuma tunapenda sana kula vyakula vizuri na vya kushiba, mimi mwenyewe napenda kula ila napenda kula vitu vizuri tuu, sio mazagazaga Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?

Kitu cha pili, bunduki zetu zinaendelea kupiga risasi hata kwenye umri mkubwa!, ni kawaida kukuta Mzee wa miaka 70 bado analega shabaha na bunduki inafyatua risasi!, wakati kwa makabila mengi, wakisha fika 50, wana piga blanks!, mimi mwenyewe hili limenikuta ! Changamoto za kupata mtoto mchanga ukiwa umri wa kustaafu, unakuwa ni Baba Babu. Dawa ni kujipanga kabla, vinginevyo ni kubebesha watu mizigo yako
5. Usambaaji wa jamii za Kisukuma mikoa mbali mbali nchini. Zamani wasukuma hawakusambaa Sana tofauti na sasa ambapo mikoa Mingi Kwa sasa wamejaa wao .
Ni kweli, na sio tuu wanajaa na wanazaliana sana!. Kungekuwa na utamaduni wa kupima DNA kila mtoto anayezaliwa kama ni wa familia hiyo, familia nyingi zingeparanganyika!, kabila linaongoza kwa kupiga mipira ya kona na kufunga mabao ya ugenini ni Wasukuma, ila Usukumani, kuna kabila la jirani zetu wametuzidi kete, wanapiga mashooti marefu na timu za ugenini, halafu magoli yanahesabiwa ni magoli ya mechi za ndani, hili nimetoa ushauri. Ili kuepuka possibility ya kutawaliwa na wageni, kuna haja kutumia DNA kuthibitisha asili halisi za viongozi wetu wakuu?
Faida ya utafiti huu NI kuonyesha muelekeo kijamii Kwa taifa la Tanzania na kutahadharisha mamlaka kuona namna ya kubalance ongezeko la watu ili kuendelea kulinda mshikamano wa kitaifa.
Asante
P
 
Mkoa wa Tabora naona unakaribia wote unakarbia kumilikiwa na wasukuma ingawa wanyamwezi na wasukuma ni ndugu.
Nimepita Katavi,Kigoma,Lindi na Wilaya ya Tunduru Ruvuma napo muda si mrefu patakuwa na idadi kubwa ya Wasukuma
 
Huku chunya kwenye sekta ya madini tumekamata kila kona, nenda broker zote nenda dealer nenda porini tumeenea. Siku zinakuja sisi ndio tutakua tunaendesha uchumi wa hii nchi.
 
Sisi makabila mengine Wala hatuna shida waache tuu
 
Wasukuma tuna kazi maalumu ya kusambaza mbegu za kisukuma kwa mabint wa kabila mbalimbali ndani na nje ya nchi,uzuri hatuchagui hata singo maza sisi tunatia mimba tu.

Kufika 2030 kila kabila au uko Tz utakua na katotoo au kajukuu ka kisukuma.

Bhasukuma dolebhachangamkušŸ˜…
 
Huku chunya kwenye sekta ya madini tumekamata kila kona, nenda broker zote nenda dealer nenda porini tumeenea. Siku zinakuja sisi ndio tutakua tunaendesha uchumi wa hii nchi.
Hasa wanyantuzu, hivi wanyantuzu pia ni wasukuma, au ni kipengele ndani ya wasukuma!?
 
Habari
Huu ni utafiti binafsi nilioufanya na ambao sio rasmi.

Maeneo ya utafit NI pamoja na mikoa ya Mwanza, Geita, Simiyu, Shinyanga, Tabora, Katavi. Rukwa, Morogoro, DSM, Pwani na Mbeya.

Utafit huu umebaini kwamba kufikia ,mwaka 2030 nusu au zaidi ya Watanzania watakuwa NI wa kabila la kisukuma.

Nilijikita katika mambo kadhaa ikiwa pamoja na
1.ongezeko la idadi ya watu mikoa ya Kanda ya ziwa. Kupitia vyanzo kadhaa ikiwemo taarifa mbalimbali na takwimu za kiserikali nilibaini kuna ongezeko kubwa la watu katika mikoa ya Kanda ya ziwa hususani mikoa ya jamii ya kisukuma . Ongezeko hili ni kubwa maradufu ukilinganisha a ongezeko la Kanda zingine.

2. Birth rate ya familia za kisukuma. Hapa nilibaini kwamba kwa familia ya kisukuma kuzaa watoto wengi bado ni Jambo linaloleta sifa kwenye familia ambapo familia yenye watoto wachache huwa ni kuanzia 7 na kuendelea ilihali makabila mengine familia zimeathiriwa Sana na usasa Kwa kujikita kwenye uzazi wa mpango na kuishia watoto wachache sana.

4. Hali ya kiafya kiujumla na lishe. Jamii za Kisukuma bado zinathamin Sana tiba mbadala na vyakula vya asili . Hali hii inafanya kiafya familia nyingi za Kisukuma kuwa vizuri.

5. Usambaaji wa jamii za Kisukuma mikoa mbali mbali nchini. Zamani wasukuma hawakusambaa Sana tofauti na sasa ambapo mikoa Mingi Kwa sasa wamejaa wao .

Nini faida au hasara ya utafiti huu?

Faida ya utafiti huu NI kuonyesha muelekeo kijamii Kwa taifa la Tanzania na kutahadharisha mamlaka kuona namna ya kubalance ongezeko la watu ili kuendelea kulinda mshikamano wa kitaifa.

Hasara ya utafiti huu ni pamoja na kwamba inaweza kuleta tafsir hasi Kwa baadhi ya wadau.
uzi wa kipuuzi wa kuanzia mwaka. Unawaza ukabila badala ya utaifa. Unajua jinsi utafiti unavyofanyika? Ndio maana mnadharauliwa kuwa ni washamba wa kudumu
 
wasukuma wangekuwa waislamu sipati picha mwenendo wa hii nchi ungekaaje
 
Wamissionari kutoka Ulaya na Marekani walioeneza ukristo hapa nchini; walikuja kutoka mashirika mbalimbali ya huko kwao, na waligawana maeneo ya uinjilishaji; ambapo African Inland Mission (ambao ndio chimbuko la dhehebu la AIC), kutoka Amerika; walianzia uinjilishaji Kanda ya Ziwa hususan Mwanza (maeneo ya Nassa, Kijima, Sumve, Geita, n.k)
Baadae kanisa lilienea taratibu maeneo ya jirani na Mwanza na milia jirani kama Shinyanga; (maeneo ya Kolandoto, Ilula - Kishapu, Nyamalogo - Nindo n.k)
Makao makuu ya AICT ni Makongoro jijini Mwanza.
Askofu wa kwanza wa AICT alikuwa Jeremiah Kisula Mahalu; ambaye kwa wakati huo alikuwa ni Askofu pekee Tanzania nzima, alifuatiwa na Askofu Nyagwaswa, ambaye baadae alileta mabadiliko ya muundo wa kanisa kwa kuanzisha maeneo mbalimbali ya kiutawala; ambapo zilianzishwa Dayosisi mbalimbali zikipngozwa na Maaskofu wa kuchaguliwa.
Sasa AICT imepanuka; iko nchi nzima mpaka Mtwara, Sumbawanga, Kigoma; Dar n.k.
Safi sana mkuu!!
 
Kikao Cha disemba 9, 1971 pale Malampaka tulikubaliana kuwatia mimba wanawake WA kabila lolote wakikatiza mbele ya wasukuma.

Mpaka muda huu Kuna wasumbwa, wazinza na walongo wote wamebakiza DNA tu lakini wote wanaongea Kisukuma.


Kuhusu kujisaidia kichakani ni fresh tu mbona. Kuongeza mbelea.

Nenda chuo chochote, shule yoyete ya serikali ya advance utakuta wasukuma ni zaidi ya 10% na zile za Kanda ya ziwa ni 50%•



Kupiga mti ni ndo ajenda ya kudumu.
 
Back
Top Bottom