Nakukumbusha tena, "acha kubeti" mwisho wa betting sio mzuri

big up kwa kukiri hilo, uko ktk hatua nzuri maana tayari umeshatambua mahala ulipo. Sijajihusisha sana na forex lakini nakumbuka mwanzo wa kuijua forex ndo ulikuwa mwanzo wa kuanza kwangu kubeti, (ni stori ndefu kidogo) lakini kwa mtazamo 'wangu' betting na forex tofauti ni majina
 
Hakika haya maneno mwenyezi mungu alishatuonya karne na karne zilizopita kwenye quran tukufu suratul maidah aya ya 90 , leo tunajionea wenyewe vijana wanavyoharibika ,mungu hajawahi kukosea kwenye kauli zake
 

Attachments

  • Screenshot_20241027-161439_Chrome.jpg
    99.6 KB · Views: 8
Sio kweli kama vijana wengi wametusua. Wengi wanaliwa, na wanachezea vipigo hawasemi, wakipata siku moja wanapiga kelele.

Waambie waliotusua wakuonyeshe account zao kwa miaka miwili iliyopita.
 
hahah nakuelewa vizuri na najua ilivyo ngumu kukubalia na mimi.
Mimi nimewahi kupata pesa nyingi sana kupitia betting(elewa ninaposema "nyingi")

Hapo juu nimezungumzia "bajeti" sijajiandikia tu kufurahisha msomaji!

betting ni ulimwengu mwingine kabisa tofauti na unavyodhani
 
Sawa mkuu maana forex wanadai ni fani kabisa na unaisomea that's why kuna vitabu vyake kabisa na kwamba uki specialize una kuwa huna tofauti na profession zingine kitu ambacho ni tofauti kabisa na betting ambayo wala haina kanuni isipokuwa taratibu zake tu ambazo hata layman anaweza zifuata.. Hii ikoje mkuu?
 
Kila kitu ni kamari katika hii dunia hata ukilima shamba ni kamari,, hata kuoa au kuolewa ni kamari,, ukigombea uongozi ni kamari...faida kuu ya betting inafanya mtu aishi kwa matumaini ya baadaye kama ulikuwa hujui.
kamali ya shambani (kulima) haiwezi kukuathiri kama kama ya mtandaoni
 
Shsr
Share kidogo nasi ulibutua mpaka shilingi ngapi mkuu?
 
siwezi kuizungumzia sana forex lakini kuna nyuzi humu zimeielezea kwa upana, ukitaka kujifunza unaweza kuzisearch hapa hapa JF
 
Bas Amna ndugu yangu Ben-adam
 
amini amin nakuambia.
Umeandika kinyume.
Ieweke tu kwamba betting inaua nguvu za kiume.
Betting ni aina ya ulevi unaokumiliki viungo vyako vyote na hisia.
Ila betting tunapenda kuijadiri kijuu juu mno bila kuelewa aina za betting na uwezekano wa kukosa na kupata na kwa kias gani!
Wanaojua betting na aina zake hawafikirii kuacha bali chaguzi bora za kubet.
Kuanzia aina ya betting, machaguo na kiasi.
 
thread zako nyingi ni kupinga betting,unaonaje uegemee zaidi kuandika makala za ndoa?
Nafikiri ungeegemea zaidi ktk kushauri wana ndoa
 
Hii nimekutana nayo mahali flani, wanasema kuwa uoga wa kupoteza pesa umewagawanya wawekezaji(investors) katika makundi manne kama yalivyooneshwa kwenye picha niliyoattach hapo. Na kundi mojawapo ni la Gamblers. Tofauti kati ya gambler na true investor ni kwamba, for a gambler investing is a game of chance and for a true investor, investing is a game of skills...
 
hahah umeanza vizuri, ila hapo mwisho hapo; betting ikishakukamata vizuri, ukikosa unahisi kama uliweka option mbovu! hivyo ndivyo ilivyo
 
Kuna ukweli hapa.
Sema wale wamiliki wa betting ni illuminated, wana nguvu kubwa nyuma na mbele yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…