kila kona kuna ushauri wa aina hiyo, kwahiyo mimi naona mambo ya ndoa yana wasemaji wengi inatosha, hata hivyo kamari inaweza kuwa sababu ya hizo ndoa (baadhi) kufarakana.thread zako nyingi ni kupinga betting,unaonaje uegemee zaidi kuandika makala za ndoa?
Nafikiri ungeegemea zaidi ktk kushauri wana ndoa
nishawahi ona mtu kasema hivi akajibiwa kuna shamba la buku??Nilivyoona makampuni ya betting yanazidi kuwa mengi nikastuka nikaacha hii michezo ya kubahatisha. Kama mnataka mali mtaipata shambani.
ndio maana ya pili ikawa "true investor" tena ni "a game of skills..."Hii nimekutana nayo mahali flani, wanasema kuwa uoga wa kupoteza pesa umewagawanya wawekezaji(investors) katika makundi manne kama yalivyooneshwa kwenye picha niliyoattach hapo. Na kundi mojawapo ni la Gamblers. Tofauti kati ya gambler na true investor ni kwamba, for a gambler investing is a game of chance and for a true investor, investing is a game of skills...
Ebu tupe data za waliokufa Ulaya kwasababu ya betting maana huko ndipo ilipoanzia.Hili halina ubishi kabisa, ila wanakuja hapa kupinga kwa nguvu zote
Vijana hatuwezi kukuelewa, wwngine hiyo nd'o kazi pekee inayotuweka hapa mjini!
Upo sahihi mkuu"Kamari imewaua wengi"
Sio wote waliokufa wameuawa na kamari
Kikubwa ushawaambia wakamariaNo haki yao kabisa 😂binadamu kaumbiwa kubishabisha na kubishana
Matumaini ni kitu muhimu sana kwa binadamu. Betting inafanya watu waishi kwa matumaini, inapunguza uhalifu mwingi sana unaotokana na kukata tamaa.
Betting inabidi uicheze kwa akili na bila mihemko. Cha msingi, weka matumaini ila ya kiasi kuwa "one day yes".
Ata sinwaari alisema kwani wasiopgania nchi hawafi?Watakuja kuuliza wasiojihusisha na kamari hawafi?
Makampuni mengi yaliyofanikiwa duniani yamewekeza kwenye hisia. Furaha, matumaini, status, nk. Hakikisha bidhaa au huduma yako inagusa hisia fulani kali ya watu. Ukishateka hisia za binadamu hauwezi kumpoteza kirahisi.Nakubali matumaini ni kitu muhimu kwa binadamu ndio maana kuna manabii feki kibao, kampuni kibao za kubet, forex.
Ukitaka utajiri wa haraka na wa uhakika anzisha, kampuni ya kubet. kuuza forex, anzisha kanisa, kuwa chawa wa watawala,, uganga wa kienyeji uwasaidie waliologwa.
Ndivyo ilivyo na kuna yule aliewahi sema wazuri hawafiAta sinwaari alisema kwani wasiopgania nchi hawafi?
ukishaamini ktk betting akili inafungiwa humo humo huwezi kuona fursa nyingine nje ya hapoMatumaini ni kitu muhimu sana kwa binadamu. Betting inafanya watu waishi kwa matumaini, inapunguza uhalifu mwingi sana unaotokana na kukata tamaa.
Betting inabidi uicheze kwa akili na bila mihemko. Cha msingi, weka matumaini ila ya kiasi kuwa "one day yes".
Sidhani kama hilo unalosema ni kweli kwa wengi.ukishaamini ktk betting akili inafungiwa humo humo huwezi kuona fursa nyingine nje ya hapo