Nakukumbusha Waziri Makamba, kama tuliweza kuileta crane yenye tani 70 tushindwaje tani 26?

Nakukumbusha Waziri Makamba, kama tuliweza kuileta crane yenye tani 70 tushindwaje tani 26?

itakuwa machine kama hii
 
 
Watanzania acheni kutia aibu, CRANE TON 26 na hiyo TON 70 jamani ni ndogo saaana hizo kwenye uwanja huu hapa TZ...

Tanzani zipo mpaka crane mobile na crawler za mpaka ton 300.... hapa nazungumzia kuanzia 100,200 to 300tons can be either crawler or mobile nendeni pale EFFCO DSM, ALSTAIR, au hata kwa Raphael logistic...
Nahiyo iliyo dumbikia Baharini pia ilikuwa ya Raphael logistic hapa Tz bahna hadisi zimekuwa nyungi sana na saingine kutufanya ma mbu mbu sana kwakweli inauma sana.
 
Nahiyo iliyo dumbikia Baharini pia ilikuwa ya Raphael logistic hapa Tz bahna hadisi zimekuwa nyungi sana na saingine kutufanya ma mbu mbu sana kwakweli inauma sana.
Itakuwa hawakufanya balancing na footing vizuri ndio maana ikaelemewa
 
Back
Top Bottom