Maji hakuna.Lakini pia maji yapo? Yanatoka wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maji hakuna.Lakini pia maji yapo? Yanatoka wapi?
Nyie na hiyo timu yenu acheni kabisa kumpangia rais. Pia muacheni Makamba afanye kazi maana nyie zamu yenu imeshapita.Rais angemuacha Dr. Kelemani kwenye nafasi hii ya January Makamba.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkuu hakika umenenaNi Wapi January ,alikaa na kuacha Alama chanya ya kazi Yake ??
January Makamba, Hajawahi kufaa kua kiongozi wa kuaminiwa .
Na kwa uongo wake huuu wakudhan Watanzania wote ni Wajinga..
Kila mmoja amemjua ni MTU wa Aina Gani.
Huyu MTU, yeye alipoteuliwa tu. Ndo Mashine zikaanza kuharabika, Umeme ukawa wa Ovyo..
Tukisema JK ndio anaongoza, Tunakosea???.
effco plant and crane hire mbona wapo pale kitambo na wana crane zakutosha sio hao tu wapo wengi paleNafikiri sio crane za kawaida, naamini waziri hawezi kudanganya nchi nzima, serikali yooote na bunge loote.
Wabunge walipiga makofi nakudemka,huo ndio utaratibu.Kabisa
Makamba huyu huyu???? Ama mwingine???Nafikiri sio crane za kawaida, naamini waziri hawezi kudanganya nchi nzima, serikali yooote na bunge loote.
Umequote wrongIna maana Adio yako mkubwa ni makamba pekee mbona mambo ya ajabu
Ukiamka Makamba
Ukilala Makamba
Ukigeuka Makamba
Mbona hawasemi mbolea ni Elfu 95 saiv au hawaoni kila kitu Makamba
Utamuitaje kijana wakati ana miaka 47?Amejibu swali kiboya sana. Nilikuwa namuona ana maana kumbe hamna kitu. Kwanza iweje ujibu kwa kutumia maneno "inasemekana"?? Taarifa za kujaza maji mwezi Novemba si suala la inasemekana, bali ni taarifa iliyotolewa na serikali yenyewe kupitia mtangulizi wake. Ni jambo la ajabu nchi nzima kukosa crane ya tani 26, unless Ange specify labda aina hiyo ya crane ni unique. Yaani sio uwezo wake katika uzito bali aina yake. Kea kifupi. Huyu kijana kumbe mweupe sana.
Tunakuona tu jinsi ulivyo na jamaa yako aliyetangulia na lilegacy lake UCHWARAHalafu na wewe, watu wanaongelea crane wewe unaongelea kiswahili. Tukisema una issue upstairs unalalamika tunakuonea.
Bora life tu kwani hatutapoteza kitu. Miradi yote ya CCM Ife. Hii nchi inasonga Bila hata serikali. Ni misaada kutoka kwa mabeberu NDIO uhai wetu baas Bila wao hatuwez savaivu. Ife tu huo mradi migesi sijui mimwendo kasi mibarabara UCHWARA yote Ife tu haina misaada. Akina zinja binadamu wa awali waliishi Maisha bora hata kutuzidi sisi wenye mibarabara UCHWARA, mireli UCHWARA ya SGR , migesi UCHWARA, mimwendo kasi UCHWARA, midege UCHWARA, mihospitali UCHWARA haina dawa inajengwa kwa ajili ya wengine mimahakama UCHWARA yenye mijaji UCHWARA. Mungu angamiza wote let gharika fyeka NO MERCY. WATU WAMEPORWA HELA ZAO, WAMEPORWA WAKE ZAO, WAMEBOMOLEWA NYUMBA ZAO, WAMEULIWA NDUGU ZAO. WASTAAFU MAFAO YAO YAMEDHULUMIWA. ALMIGHTY GOD SORT US AND WIPE THEM ALL.Kaka kimahesabu tu.hyo milango Ina tani 26.
hao waturuki Wanaojenga reli Wana winch ya kubeba tani 40 na kitu.
Hii pia unataka uone picha?
hilo bwawa la nyerere.samia akifanya masikhara linakufa bila kuwaka umeme.
Shida mnaogopa kivuli cha magufuliAcheni unaa nyinyi Sukuma Gang