Nakukumbusha Waziri Makamba, kama tuliweza kuileta crane yenye tani 70 tushindwaje tani 26?

Nakukumbusha Waziri Makamba, kama tuliweza kuileta crane yenye tani 70 tushindwaje tani 26?

Watanzania acheni kutia aibu, CRANE TON 26 na hiyo TON 70 jamani ni ndogo saaana hizo kwenye uwanja huu hapa TZ...

Tanzani zipo mpaka crane mobile na crawler za mpaka ton 300.... hapa nazungumzia kuanzia 100,200 to 300tons can be either crawler or mobile nendeni pale EFFCO DSM, ALSTAIR, au hata kwa Raphael logistic...
Mimi wamenishangaza sana,hapo hongeza Bollore logistics na Perfect Machinery
 
Mh Janury Yusuph Makamba nakukumbusha kuwa mwezi March, 28 2021 TPA ilileta Crane yenye uzuto wa Tani 70 ila kwa Bahati mbaya ilitumbukia baharini palepale Bandarini Jijin Dar es salaam, na TPA waliahidi kuwa wanauwezo wa kuitoa, sasa kama TPA walileta mzigo wa Tani 70 iweje useme Tanzania nzima hakuna Crane yenye uwezo wakubeba tani 26?

Mh. Makamba wanyetidhaji wangu wananiambia picha inayonekana hapo chini imepigwa na mfanyakazi wa huko eneo la mradi na hizo crane unaziona hapo mbili ziko 3 na kila moja inauwezo wakubeba Tani 10 kwa maana zote tatu mzigo wa tani 26 unabebeka, sasa unatuambia hakuna crane inayoweza kubeba tani 26 kweli?

Mh Makamba angalia lile daraja la SGR la KM 2.5 toka station mpaka shaurimoyo zile berms zilizopandishea kule juu unajua zina usito gani? Tutake radhi Mh January unatupa mashakha sana.View attachment 2007794View attachment 2007795View attachment 2007796

View attachment 2007829
Huyu kiumbe anataka fedha kwa pupa ,ila ataa gamia tu,ni suala la muda
 
Amejibu swali kiboya sana. Nilikuwa namuona ana maana kumbe hamna kitu. Kwanza iweje ujibu kwa kutumia maneno "inasemekana"?? Taarifa za kujaza maji mwezi Novemba si suala la inasemekana, bali ni taarifa iliyotolewa na serikali yenyewe kupitia mtangulizi wake. Ni jambo la ajabu nchi nzima kukosa crane ya tani 26, unless Ange specify labda aina hiyo ya crane ni unique. Yaani sio uwezo wake katika uzito bali aina yake. Kea kifupi. Huyu kijana kumbe mweupe sana.
 
Amejibu swali kiboya sana. Nilikuwa namuona ana maana kumbe hamna kitu. Kwanza iweje ujibu kwa kutumia maneno "inasemekana"?? Taarifa za kujaza maji mwezi Novemba si suala la inasemekana, bali ni taarifa iliyotolewa na serikali yenyewe kupitia mtangulizi wake. Ni jambo la ajabu nchi nzima kukosa crane ya tani 26, unless Ange specify labda aina hiyo ya crane ni unique. Yaani sio uwezo wake katika uzito bali aina yake. Kea kifupi. Huyu kijana kumbe mweupe sana.
CCM kumejaa wafoji vyeti na watu wenye elimu za kuungaunga.
 
Mh Janury Yusuph Makamba nakukumbusha kuwa mwezi March, 28 2021 TPA ilileta Crane yenye uzuto wa Tani 70 ila kwa Bahati mbaya ilitumbukia baharini palepale Bandarini Jijin Dar es salaam, na TPA waliahidi kuwa wanauwezo wa kuitoa, sasa kama TPA walileta mzigo wa Tani 70 iweje useme Tanzania nzima hakuna Crane yenye uwezo wakubeba tani 26?

Mh. Makamba wanyetidhaji wangu wananiambia picha inayonekana hapo chini imepigwa na mfanyakazi wa huko eneo la mradi na hizo crane unaziona hapo mbili ziko 3 na kila moja inauwezo wakubeba Tani 10 kwa maana zote tatu mzigo wa tani 26 unabebeka, sasa unatuambia hakuna crane inayoweza kubeba tani 26 kweli?

Mh Makamba angalia lile daraja la SGR la KM 2.5 toka station mpaka shaurimoyo zile berms zilizopandishea kule juu unajua zina usito gani? Tutake radhi Mh January unatupa mashakha sana.View attachment 2007794View attachment 2007795View attachment 2007796

View attachment 2007829
Aisee kama ilitumbukia baarini wazamiaji watakuwa washabeba vifaa! Yaaan
 
MAKAMBA yuko mahususi Kwa ajili ya kurudusha ule mchezo mchafu wa kina lowasa zamani na inawezekana ametangulizwa tu mbele ila wakuu wako Nyuma
Biashara ya majenerata ndio hiyo inarudi

Watanzania tuombe sana nchi inarudishwa mikononi mwa wale Jamaa wa enzi zile

Kwa MAKAMBA Mama Samia umechemka.
Kinachonisikitisha ni kuwa Tanzania ina historia ya kushtaki mawaziri wastaafu na wakashitakika, hatimaye wakafungika. Historia ina kawaida ya kujirudia. Nampenda Januari nisingependa hayo yampate.
 
Huyo mtangazaji hajui hata Kiswahili, Kenya wanaongea kiswahili kizuri kutuzidi kwa sasa.
Halafu na wewe, watu wanaongelea crane wewe unaongelea kiswahili. Tukisema una issue upstairs unalalamika tunakuonea.
 
Mara 100 tupigwe kuliko utawala wa awamu iliyoisha.
Lah, hii ni ngumu.

Hivi hatuwezi kuishi bila ya hizi pande mbili zote mbovu? Hii nchi itakuwa na laana ya namna gani!

Wewe unakubali "mara 100 upigwe", na huyo mwingine naye anajiapiza "dikteta" ndiye chaguo lake!
 
Sasa umeshasema ilitumbukia baharini TPA walisema wana uwezo wa kuitoa lakini inavyoonekana haijatolewa mpaka sasa ndio maana wameamua kuagiza.
na wewe kwa akili zako unaona kweli kabisa haiwezi kuwa distmantled? na kuwekewa maboya?
 
Back
Top Bottom