Nakukumbusha Waziri Makamba, kama tuliweza kuileta crane yenye tani 70 tushindwaje tani 26?

Nakukumbusha Waziri Makamba, kama tuliweza kuileta crane yenye tani 70 tushindwaje tani 26?

Ni ajabu kweli mtu useme unachenga msingi wa nyumba afu baadae uje kulalamika huna koleo la kuchimbia msingi. Makatani ni muongo na janja
 
May be you're being visualized as DEAD-MAN-WALKING.
 
Tumerudi kwenye porojo na uzuri wanajua hakuna la kuwafanya. Sasa umeme wenyewe unapatikana kama kuna mgao vile while tulishasau adha za kukatika ovyo kwa umeme.
 
Nafikiri sio crane za kawaida, naamini waziri hawezi kudanganya nchi nzima, serikali yooote na bunge loote.
 
Upo mgao wa maji kwa sababu ya kiangazi kikali kilicholikumba Taifa. Kama maji hakuna kwenye mito ni dhahiri kwamba maji ya kupeleka kwenye Bwawa linalojengwa Rufiji hayapo.

Lakini Mh. Januari anatuambia wanasubiri Kreini kubwa kutoka nje. Namuuliza aliyetangaza tarehe 15/11 maji yataaanza kujaa Ni Nani kama siyo serikali? Hizi Kreini awakuziona kwamba zinahitajika? Lakini pia maji yapo? Yanatoka wapi?

Ni jambo jema kwa Mhe. Kukaa kimya kuliko kujibizana na watu akiamini yeye ndiyo anajua kila kitu. Angesema tu wanasubiri mvua inyeshe wafungulie maji, tungeelewa.

Juzi kamdhalilisha Mataragio kwa kutaka kupata popularity na kwa namna walivyopishana atamwondoa Mataragio ila huo siyo uongozi.

Akubali team work na ajifunze kunyamaza wajibu wa chini yake itamsaidia kusoma atmosphere, mengine yanaletwa kwake Kama majaribu lazima ajifunze kuyashinda.

Kwa muda mfupi tu amechukiwa mitandaoni kwanini? Lazima kuna sehemu anataka kulazimisha aonekane best wakati angeweza kutulia kazi zake zikamjadilisha mitaani.

JPM hakuwahi kuwaza urais lakini alivyokuw anafanya akiwa Waziri ilimlazimu Jk na mkapa wamteue kwa maana yeye pekee ndiye alikuwa na cv ya uchapakazi.

Ni bahati mbaya tu kwamba utawala wake uliumiza watu wengi, asingekuwa na hili doa angekuwa Rais mzuri Sana.

January waachie wa chini waseme wewe chochea kuni
 
Daaaa kazi ipo kubwa mbeleni maana huyu ndio next President baada Hangaya.....
 
Huyu maza nae anaboa sana!as if mwendazake alikua mke mwenza maana alivoingia katoa watu kaweka makapi yake dah

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Hahahahaha January hivi ana muda gani pale Tanesco....narudia tena shida inaanza pale tunapoanza kuleanaleana, ubabe na ukatili ndio dawa sahihi ya watendaji wa kitanzania kwa wakati huu...ukianza kutumia usomi na diplomasia kwa wapumbavu utashindwa tu...maana uvivu, ujinga,unafiki, uchawi na upumbavu kwa watu hawa ndio aina yao sahihi ya maisha ...
 
Mtoa mada kwani ni mwisho wa mvua kunyesha au msimu bado.
 
Hiyo Stigler kwa hii nchi ni kama mfupa kwa kibogoyo, tungeendelea na umeme wa gesi tu.
 
Mabadiliko ya tabia ya nchi inamaanisha misimu ya mvua na kiangazi itakuwa haitabiriki. Wenzetu wanaofikiria miaka 200 ijayo wameamua kujikita kwenye nishati mbadala na Nuclear.
Mtoa mada kwani ni mwisho wa mvua kunyesha au msimu bado.
 
Upo mgao wa maji kwa sababu ya kiangazi kikali kilicholikumba Taifa. Kama maji hakuna kwenye mito ni dhahiri kwamba maji ya kupeleka kwenye Bwawa linalojengwa Rufiji hayapo.

Lakini Mh. Januari anatuambia wanasubiri Kreini kubwa kutoka nje. Namuuliza aliyetangaza tarehe 15/11 maji yataaanza kujaa Ni Nani kama siyo serikali? Hizi Kreini awakuziona kwamba zinahitajika? Lakini pia maji yapo? Yanatoka wapi?

Ni jambo jema kwa Mhe. Kukaa kimya kuliko kujibizana na watu akiamini yeye ndiyo anajua kila kitu. Angesema tu wanasubiri mvua inyeshe wafungulie maji, tungeelewa.

Juzi kamdhalilisha Mataragio kwa kutaka kupata popularity na kwa namna walivyopishana atamwondoa Mataragio ila huo siyo uongozi.

Akubali team work na ajifunze kunyamaza wajibu wa chini yake itamsaidia kusoma atmosphere, mengine yanaletwa kwake Kama majaribu lazima ajifunze kuyashinda.

Kwa muda mfupi tu amechukiwa mitandaoni kwanini? Lazima kuna sehemu anataka kulazimisha aonekane best wakati angeweza kutulia kazi zake zikamjadilisha mitaani.

JPM hakuwahi kuwaza urais lakini alivyokuw anafanya akiwa Waziri ilimlazimu Jk na mkapa wamteue kwa maana yeye pekee ndiye alikuwa na cv ya uchapakazi.

Ni bahati mbaya tu kwamba utawala wake uliumiza watu wengi, asingekuwa na hili doa angekuwa Rais mzuri Sana.

January waachie wa chini waseme wewe chochea kuni
Nimependa hiyo ya ajifunze kunyamaza wajibu wa chini yake itamsaidia kusoma atmosphere.
Hapo sahihi kabisa, wa chini wakijibu wakakosea wa juu anakuja kusahihisha, akijibu wa juu akakosea hakuna wa kusahihisha.
 
Mabadiliko ya tabia ya nchi inamaanisha misimu ya mvua na kiangazi itakuwa haitabiriki. Wenzetu wanaofikiria miaka 200 ijayo wameamua kujikita kwenye nishati mbadala na Nuclear.
Huo umeme wa nuclear tutaupata wapi? gharama zake tutaziweza? vinu vya kuhifadhi tutaweza kuvimudu na gharama zake?

Kwani kinachowashinda kuzalisha umeme wa upepo ni kitu gani ikiwa tuna mikoa yakutosha yenye upepo mkali? kifupi ni kwamba CCM na serikali yake hawajawahi kuwa serious na hii issue ya umeme.

Makamba nae ndio msanii kabisa, anatoa majibu ya kubahatisha asiyo na uhakika nayo ili mradi aonekane yeye ndie waziri, matokeo yake alongside wa chini yake akamsaidia kurekebisha anaanza kuhangaika.
 
Umeme wa Nuclear hatuwezi kwa sasa ila wa gesi ulikuwa ndani ya uwezo wetu kabisa na pesa nyingi zilishatumbukizwa kwenye bomba la gesi, ilipaswa tujikite huko kwanza badala ya kukimbilia Stigler.
Huo umeme wa nuclear tutaupata wapi? gharama zake tutaziweza? vinu vya kuhifadhi tutaweza kuvimudu na gharama zake?

Kwani kinachowashinda kuzalisha umeme wa upepo ni kitu gani ikiwa tuna mikoa yakutosha yenye upepo mkali? kifupi ni kwambs CCM na serikali yake hawajawahi kuwa serious na hii issue ya umeme.
 
Umeme wa Nuclear hatuwezi kwa sasa ila wa gesi ulikuwa ndani ya uwezo wetu kabisa na pesa nyingi zilishatumbukizwa kwenye bomba la gesi, ilipaswa tujikite huko kwanza badala ya kukimbilia Stigler.
We are poor for a reason, hata yule aliesema hajui kwanini Tanzania ni masikini licha ya utajiri iliyonayo alikuwa "mjanja" kukwepa swali, jibu alikuwa nalo, na chama chake ndio sababu ya umasikini wa Tanzania, ila kwasababu yeye ndie alikuwa kiongozi akaona bora aseme hajui.
 
Back
Top Bottom